Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
15 March, 2011
KWA BABU HUDUMA KAMA KAWA HABARI ZAIDI KUPITIA ITV & STAR TV
13 March, 2011
11 March, 2011
JAPAN YAKUMBWA NA TSUNAMI
Japan imekumbwa na tetemeko kubwa la bahari maarufu kama Tsunami ambalo limesababisha uharibifu mkubwa wa mali na maisha ya binadamu mapema leo.Tetemeko hilo kubwa kiasi cha 8.9 magnitude limeripotiwa kuathiri sehemu kubwa ya maeneo ya pwani kaskazini mashariki mwa Japan ambako mamia ya watu wana hofiwa kufa kwa kuangukiwa na nyumba na mafuriko makubwa ya maji yaliyo tapakaa toka baharini na kubomoa nyumba,kuzamisha magari,meli na kusababisha moto mkubwa baadhi ya maeneo.
Tetemeko hilo la kihistoria limepelekea kuzimwa kwa mitambo minne ya Nuclear ambayo hutumika kufua umeme wa Gigawatts 11.Halihiyo imepelekea maeneo mengi kuwa bila umeme.Japan ni moja kati ya nchi zinazo zalisha umeme kutumia Nuclear na asilimia 30 ya umeme wake hutokana na nishati hio.
(Ramani ya Japan)
Wataalam wa mitambo hio wame tahadharisha kuhamisha watu wote karibu na mitambo hio iliopo pwani ya Japan maeneo ya Fukushima na Fukui kwani tetemeko limeathiri mitambo hio na kuweza kupelekea uwepo wa mionzi inayo athiri watu au hata kusababisha vifo.Kudhibiti hilo marekani imeripotiwa kupeleka kipozeo cha mitambo hio baada ya kilichokuwepo kuharibiwa kutokana na tetemeko hilo.
Kwa picha zaidi na Video toka BBC bonyeza kwenye link :http://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-12709847. Pia videoa toka RT angalia chini
RT (2 mins Video footage 11/03/2011)
Tetemeko hilo la kihistoria limepelekea kuzimwa kwa mitambo minne ya Nuclear ambayo hutumika kufua umeme wa Gigawatts 11.Halihiyo imepelekea maeneo mengi kuwa bila umeme.Japan ni moja kati ya nchi zinazo zalisha umeme kutumia Nuclear na asilimia 30 ya umeme wake hutokana na nishati hio.
(Ramani ya Japan)
Wataalam wa mitambo hio wame tahadharisha kuhamisha watu wote karibu na mitambo hio iliopo pwani ya Japan maeneo ya Fukushima na Fukui kwani tetemeko limeathiri mitambo hio na kuweza kupelekea uwepo wa mionzi inayo athiri watu au hata kusababisha vifo.Kudhibiti hilo marekani imeripotiwa kupeleka kipozeo cha mitambo hio baada ya kilichokuwepo kuharibiwa kutokana na tetemeko hilo.
Kwa picha zaidi na Video toka BBC bonyeza kwenye link :http://www.bbc.co.uk/news/world-asia-pacific-12709847. Pia videoa toka RT angalia chini
10 March, 2011
50 INCH PANASONIC PLASMA TV OFFER
Brand new Original Panasonic plasma Tv 50 Inch (127cm) for sale ***Made in the United Kingdom (UK)*** Very cheap!!!!For Serious inquiry please email: rijaki@ymail.com OR Call: 0653624150;Location: Dar es salaam.Delivery:Free (In Dar es salaam only

Product Features and Technical Details
Product Features
• VIERA HD Ready 50-inch Plasma TV
• 100Hz Double Scan for ultra-smooth picture quality
• Dynamic Contrast 2,000,000:1
• VSmart Networking with VIERA Link and VIERA Image Viewer (integrating Photo and Video)
• Game Mode, V-Audio Surround
TV Tuner:
Integrated Tuners: PAL-I, DVB-T
Tele text Reception: 1000P Level 2.5, FASTEXT/LIST
Display
Screen Size: 50" (127 cm) diagonal
Panel: G13 Progressive HD Plasma Display Panel with Tough Panel
Viewing Angle: Viewing Angle Free
Resolution: 1,024 x 768 (16:9)
Applicable Scanning Format:
FULL-HD 1125: (1080)/50i, 1125 (1080)/60i, 1125 (1080)/24p (HDMI only), 1125 (1080)/50p (HDMI only), 1125 (1080)/60p (HDMI only)
HD: 750 (720)/50p, 750 (720)/60p
SD: 525 (480)/60i, 525 (480)/60p, 625 (576)/50i, 625 (576)/50p
Contrast Ratio (in dark surroundings): 2,000,000:1 Dynamic
Moving Picture Resolution: 720 lines
Intelligent Frame Creation: 100 Hz Double Scan
24p Smooth Film/Plaback Plus/Playback: 24p Playback
Shades of Gradation: 4,096 equivalent steps of gradation
Deep Colour (10/12-bit): yes
3D Colour Management: yes
Picture Mode: Dynamic/Normal/Cinema/True Cinema/Game/Photo
Vreal: Vreal 5
Sound
Speakers: 2 x 10 watt 2 Speakers
Sound Mode: Music/Speech/User
Virtual Surround: V-Audio Surround
Dolby Digital Out/CoNEQ: Dolby Digital
Input/Output
CI (Common Interface)*: yes
VIERA Image Viewer: yes (AVCHD/SD-VIDEO/JPEG playback)
HDMI Input/ Support Feature: 3 (1 side, 2 rear)/ Audio Return Channel (Input 2)
Composite Video Input: AV3: RCA phono type x 1 (side)
Audio Input (for Video): AV3: RCA phono type connectors (L, R) (1 set, side)
Component Video Input: RCA phono type x 3 [Y , PB, PR] (rear)
Audio Input (for HDMI, PC, Component) RCA phono type connectors (L, R) (1 set, rear)
21-Pin Input/output: AV1: AV In/Out, RGB In, Q-Link (rear) / AV2: AV In/Out, S-Video In, RGB In, Q-Link (rear)
Analogue Audio Out: RCA phono type connectors (L, R) (1 set rear)
Digital Audio Output (Optical): yes
Headphone Jack: 1 (side)
Features
EPG: yes
VIERA Tools: yes
VIERA Link: yes (HDAVI Control 5)
Multi Window: PAT
C.A.T.S. (Contrast Automatic Tracking System): yes
Game Mode: yes
Q-Link: yes
Off Timer: yes
Child Lock: yes
General
Wall mountable: yes
Power Save Mode: yes
Power Supply: AC 220 - 240 V, 50/60Hz
Rated Power Consumption: 265 W
On mode Average Power Consumption: 201 W
Standby Power Consumption: 0.4 W
Dimensions (W x H x D) (w/o stand): 1,218 x 769 x 93 mm
Dimensions (W x H x D) (with stand): 1,218 x 814 x 401 mm
Weight (w/o stand): 31.5 kg
Weight (with stand): 33.5 kg
Boxed product : 40kg
Wall Bracket: TY-WK4P1RW (not included)
Remote Control:Yes (included)
09 March, 2011
YALIYO JIRI-LOLIONDO
ITV na Taarifa kuhusu kinacho endelea Loliondo
Hali livyo hivi sasa Loliondo kwa babu.
Hakika huyu babu anahitaji msaada wa haraka maana pamoja na watu kwenda wakitembea wenyewe, kuna wale wagonjwa walio bebwa ambao bila shaka hali zao sio nzuri.Si hivyo tu pia hali ya usalama kufuatia kugombea huduma kunaweza zua jambo lingine la hatari.Kila mtu anataka kuishi, kila mwenye mgonjwa angependa mgonjwa wake atibiwe mapema iwezekanavyo ila kwa uwingi huu wawatu hakika huyu babu hataweza kumudu akiwa hana msaada wa ziada kwani watu hawataweza vumilia kulala nje kila siku.Si hivyo tu kuna wagonjwa ambao kwa msongamano huo wa watu lazima watapoteza maisha.Serikali ichukulie jambo hilo uzito wa ziada ikiwa ni pamoja na kuhakiki ukweli wa tiba hio. Ni hayo tu kwa leo.
08 March, 2011
BABU ANAYE SADIKIKA KUTIBU UKIMWI AFURISHA WATU-ARUSHA
Babu mmoja kwa jina Ambilikile Mwasapile (76) wa Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha amejipatia umaarufu wa ghafla baada ya kugundulika anatibu magonjwa lukuki ukiwemo UKIMWI.Babu huyo ambae inasaidikika ni mchungaji mstaafu wa kanisa la KKKT-Loliondo amesema mwanzo ilikua ni ndoto ambayo amekua akiiota toka mwaka 1991 ambayo Mungu amemuagiza aponye watu.Ndoto hio imejirudia rudia mpaka Augusti mwaka 2010 ambapo aliamua kuanza kutoa tiba rasmi kwa gharama ya sh.500 tu.
Mpaka sasa maelefu ya watu mbalimbali,vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake wamekuwa wakienda kwa mzee huyo kupata tiba na baadhi wamekili ni TIBA HALISI.Mpaka sasa ni kama kitenda wili machoni pa watu kila mtu akiuliza ni kweli au sio kweli.Kwenye mitandao mbalilimbali kama facebook,blogs,webisites na chatrooms gumzo ndo hilo japo bado hawaamini kama ni kweli na wanasema kama ni kweli na wao wataenda
Kwa walio ona foleni ni kubwa kupita maelezo katika kufata tiba hio ya asili na huenda babu huyo akavunja rekodi ya utojai tiba asili nchini Tanzania tena kwa muda mfupi. Kama utavyo ona picha hapo chini watu ni wengi sana kama nilivyozitoa Facebook.
Siku zote mimi huwa nasema kwa watu wa karibu UKITAKA KUJUA KAMA KUNA WATU WANAUMWA NENDA HOSPITALI NA UKITAKA JUA KAMA WATU WANAKUFA NENDA MAKABURINI.Bila hivyo hutajua labda kama anaye umwa ama kufa ni ndugu ama jirani au wale ambao utaona ama kusikia kupitia vyombo vya habari.
Msafara kwenda kwa babu
Babu akiwa amezungukwa na watu waliofata tiba pamoja na kushangaa
msafara ndio kama hivi ( babu asababisha foleni)
By
Rik Kilasi
On
Tuesday, March 08, 2011
0
comments
Labels:
Arusha,
Loliondo,
Tanzania,
Tiba Ya Asili
07 March, 2011
LIVE TOKA ENEO LA TUKIO..
Katika kupita pita kupata habari hapa na pale nikaja kutana na habari ya mada kuhusu urembo wa wasichana wakitanzania dhidi ya wale wanaijeria kupitia http://u-turn.co.tz/index.php?start=10. post ya tarehe 01/03/2011. Mada hio iliambatana na pichaa kadhaa za wasichana wa kitanzania yamezaa maoni lukuki yaliyo katika mtindo wa kubishana/kujibishana tena kwa maneno makali. Mpaka sasa haijajulikana nani ameanzisha malumbano hayo makali pamoja na kutuma picha kwa blogger aitwae Linda wa Nigeria.
Wengi wanasema pengine imekua gumzo kwa mshindi wa BBA (Kevin-Nigeria) kumuoa Mtanzania (Elizabeth) wakiuliza kwani Nigeria wasichana wazuri hakuna? kwenye comments za wanaijeria wakaka wanasema wadada wakitanzania hujipendekeza kwao kwa uzembe wakutaka vya bure na wao ndio wanawachukua ila si kwamba ndio wazuri.Mimi sijui ukweli ndio upi zaidi ya kusikia wasichana (Baadhi) wakitanzania kuwasifia wanaijeria ndio wanaume wa ukweli na wanajua kujali (mimi sina maoni juu ya hilo)
Ukisoma maoni yaliyo tolewa wameitukana hadi Tanzania kama nchi (Too bad) hasa katika swala zima la umasikini na kwamba wengi wetu ni vihiyo,washamba,lugha haipandi na masikini wakubwa.Hata hivyo wa kaka wa kinaijeria wamesema kuwa wasichana wao ni wazuri kupita wakitanzania ila kwakua hawa wa Tanzania ni cheap ndio huwachukua.Wakati huo huo wasichana wakinaija wamesema (kupitia maoni) kua huyo aliye olewa na mume wao (yaani kaka wa kinaija) basi watakula naye sahani moja!
Malumbano hayo ambayo hayana miguu wala kichwa yamezaa maoni mengi kupita kawaida katika blog hio kwa kulaani hio mada ya kulinganisha kazi ya Mungu (ambayo siku zote haina makosa) na kupelekea kila mmoja kwa nafasi yake kujitetea tena kwa hasira na Lugha kali.
Blog hii inalaani yeyote aliyepelekea kuazishwa kwa mjadala huo duni na kutoa wito wa kutoa mada za kujadili mambo ya msingi na maendeleo na sio 'Urembo/beauty' ambao uko subjective kwa kiasi kikubwa kwani kila mmoja anaweza kuwa na mtazamo tofauti katika Urembo wahenga walisema 'Beauty is according to the eyes of the beholder'. Kwahio tujadili mambo mengine sio haya yanayo lete mabishano yasiyo na umuhimu.
Sitaki kuongea mengi ili kuona mjadala ulivyokua na maoni ambayo mpaka naandika hapa yamefika 134 ingia hapa: http://lindaikeji.blogspot.com/2011/02/are-tanzanian-women-more-beautiful-than.html
Pia ukitaka ona post na comments za u-uturn kuhusiana na mada hio hio na comments za watanzania ingia hapa: http://www.u-turn.co.tz/index.php/kwanza/1588-ohoooo-wanaigeria-wanatutafuta#JOSC_TOP
Wengi wanasema pengine imekua gumzo kwa mshindi wa BBA (Kevin-Nigeria) kumuoa Mtanzania (Elizabeth) wakiuliza kwani Nigeria wasichana wazuri hakuna? kwenye comments za wanaijeria wakaka wanasema wadada wakitanzania hujipendekeza kwao kwa uzembe wakutaka vya bure na wao ndio wanawachukua ila si kwamba ndio wazuri.Mimi sijui ukweli ndio upi zaidi ya kusikia wasichana (Baadhi) wakitanzania kuwasifia wanaijeria ndio wanaume wa ukweli na wanajua kujali (mimi sina maoni juu ya hilo)
Ukisoma maoni yaliyo tolewa wameitukana hadi Tanzania kama nchi (Too bad) hasa katika swala zima la umasikini na kwamba wengi wetu ni vihiyo,washamba,lugha haipandi na masikini wakubwa.Hata hivyo wa kaka wa kinaijeria wamesema kuwa wasichana wao ni wazuri kupita wakitanzania ila kwakua hawa wa Tanzania ni cheap ndio huwachukua.Wakati huo huo wasichana wakinaija wamesema (kupitia maoni) kua huyo aliye olewa na mume wao (yaani kaka wa kinaija) basi watakula naye sahani moja!
Malumbano hayo ambayo hayana miguu wala kichwa yamezaa maoni mengi kupita kawaida katika blog hio kwa kulaani hio mada ya kulinganisha kazi ya Mungu (ambayo siku zote haina makosa) na kupelekea kila mmoja kwa nafasi yake kujitetea tena kwa hasira na Lugha kali.
Blog hii inalaani yeyote aliyepelekea kuazishwa kwa mjadala huo duni na kutoa wito wa kutoa mada za kujadili mambo ya msingi na maendeleo na sio 'Urembo/beauty' ambao uko subjective kwa kiasi kikubwa kwani kila mmoja anaweza kuwa na mtazamo tofauti katika Urembo wahenga walisema 'Beauty is according to the eyes of the beholder'. Kwahio tujadili mambo mengine sio haya yanayo lete mabishano yasiyo na umuhimu.
Sitaki kuongea mengi ili kuona mjadala ulivyokua na maoni ambayo mpaka naandika hapa yamefika 134 ingia hapa: http://lindaikeji.blogspot.com/2011/02/are-tanzanian-women-more-beautiful-than.html
Pia ukitaka ona post na comments za u-uturn kuhusiana na mada hio hio na comments za watanzania ingia hapa: http://www.u-turn.co.tz/index.php/kwanza/1588-ohoooo-wanaigeria-wanatutafuta#JOSC_TOP
03 March, 2011
KUMBE WIZI WAHITAJI UBUNIFU MKUBWA KIASI HIKI?
I just hope this article will be useful to most people wale wanao tumia internet kwa namna moja ama nyingine.Kwa muda sasa nimekawia kutoa post yenye kuhusu athari mbali mbali while surfing on the internet.Lakini nimeona nirudi tena kwasababu ya umuhimu wa jambo lenyewe.Kama mtumiaji wa Internet ni lazima utambue athari hizo nakua makini wanapo tumia tekinolojia hii ya mtandao ambao kwasasa kuna wizi wa hali ya juu.
Pamoja na mimi mwenyewe kutumiwa meseji zisizo pungua 100 za kutatanisha kwa siku.Mfano wa email ni zle za ''umeshinda million moja pounds (£ au $) toka coca cola au British national lottery etc; au wanasema kuna pesa za urithi nisaidie kuziokoa bank ukiwa kama mdhamini wangu'' Baada ya ujumbe huo utaambiwa kuna percentage itakua yako ikiwa hiyo pesa itatoka.
Kuna pia mbinu kama hii mfano nimewaletea hapa chini ni kama vile ananitaka.Actually kuna email address moja ambayo siitumii officially huwa na reply hizi email nione reaction basi wanatuma picha za wasichana wazuri kunitega, mwisho wa siku anakwambia yuko mji jirani na unako ishi yuko stranded mtumie pesa kidogo ili aje kukutembelea kwani pesa imemuishia.Sasa huyu mtu kwakua kuna google translator amediliki kutumia google translation ya barua ya kiingereza kwenda kiswahili just because anajua natumia kiswahili ili anipate.Bahati mbaya amelamba jokeri.
So tuwe makini usidhani ndio bahati imekudondokea utaibiwaaa!!.Kuna wale tunaopenda nunua magari na vitu vingine online KUWENI MAKINI NA KAMPUNI UNAYO NUNUA, KUNA KAMPUNI NYINGI FAKE ZIPO ONLINE NA HAZINA PHYSICAL OFFICE AND ALL TRANSACTIONS ZIPO ONLINE.ZINA FULL CONTACT ADDRESS LAKINI NO FACE TO FACE TRANSACTION.MPAKA SASA NIMEOKOA WATU ZAIDI YA 10 AMBAO TRANSACTION ZAO ZILIKUA FAKE NA AT LEAST WOTE WALIKUA LAST STAGE YA PAYMENT THROUGH BANK CARDS (INTERNET BANKING).MFANO MTU ANASEMA ANAUZA GARI HALAFU CONTACT NI VIA EMAILS PEKE YAKE HIO JUA FAKE STRAIGHT AWAY. NITALETA TRICKS NYINGINE PUNDE.
MOJA NILIYOTUMIWA MIMI HII HAPA:
Hi! Mimi ni miss Lisa
jinsi wewe! matumaini wewe ni faini na katika hali ya ukamilifu wa health.I safari kwa kupitia profile yako juu (dinahicious.blogspot.com) na i kusoma na kuchukua riba juu yake, kama huna akili i kama wewe kuwasiliana na mimi kwenye hii ID (lisa.samuel1@yahoo.com) ili kwamba naweza kukutumia picha yangu OK matumaini ya kusikia kutoka kwenu hivi karibuni, nami kuwa kusubiri kwa barua yako kwa sababu labda tunaweza kuwa rafiki mwema anyway i nitakuambia zaidi wakati wasiliana nami kwenye email yangu lisa.samuel1@yahoo.com
my Language is English====================
Hi! I am miss Lisa
how are you! hope you are fine and in perfect condition of health.I went through your profile on (dinahicious.blogspot.com) and i read it and took interest on it, if you don't mind i will like you to contact me on this ID (lisa.samuel1@yahoo.com) so that i can send you my photo OK hope to hear from you soon, I will be waiting for your mail because maybe we can be a good friend anyway i will tell you more when you contact me on my email lisa.samuel1@yahoo.com
Pamoja na mimi mwenyewe kutumiwa meseji zisizo pungua 100 za kutatanisha kwa siku.Mfano wa email ni zle za ''umeshinda million moja pounds (£ au $) toka coca cola au British national lottery etc; au wanasema kuna pesa za urithi nisaidie kuziokoa bank ukiwa kama mdhamini wangu'' Baada ya ujumbe huo utaambiwa kuna percentage itakua yako ikiwa hiyo pesa itatoka.
Kuna pia mbinu kama hii mfano nimewaletea hapa chini ni kama vile ananitaka.Actually kuna email address moja ambayo siitumii officially huwa na reply hizi email nione reaction basi wanatuma picha za wasichana wazuri kunitega, mwisho wa siku anakwambia yuko mji jirani na unako ishi yuko stranded mtumie pesa kidogo ili aje kukutembelea kwani pesa imemuishia.Sasa huyu mtu kwakua kuna google translator amediliki kutumia google translation ya barua ya kiingereza kwenda kiswahili just because anajua natumia kiswahili ili anipate.Bahati mbaya amelamba jokeri.
So tuwe makini usidhani ndio bahati imekudondokea utaibiwaaa!!.Kuna wale tunaopenda nunua magari na vitu vingine online KUWENI MAKINI NA KAMPUNI UNAYO NUNUA, KUNA KAMPUNI NYINGI FAKE ZIPO ONLINE NA HAZINA PHYSICAL OFFICE AND ALL TRANSACTIONS ZIPO ONLINE.ZINA FULL CONTACT ADDRESS LAKINI NO FACE TO FACE TRANSACTION.MPAKA SASA NIMEOKOA WATU ZAIDI YA 10 AMBAO TRANSACTION ZAO ZILIKUA FAKE NA AT LEAST WOTE WALIKUA LAST STAGE YA PAYMENT THROUGH BANK CARDS (INTERNET BANKING).MFANO MTU ANASEMA ANAUZA GARI HALAFU CONTACT NI VIA EMAILS PEKE YAKE HIO JUA FAKE STRAIGHT AWAY. NITALETA TRICKS NYINGINE PUNDE.
MOJA NILIYOTUMIWA MIMI HII HAPA:
Hi! Mimi ni miss Lisa
jinsi wewe! matumaini wewe ni faini na katika hali ya ukamilifu wa health.I safari kwa kupitia profile yako juu (dinahicious.blogspot.com) na i kusoma na kuchukua riba juu yake, kama huna akili i kama wewe kuwasiliana na mimi kwenye hii ID (lisa.samuel1@yahoo.com) ili kwamba naweza kukutumia picha yangu OK matumaini ya kusikia kutoka kwenu hivi karibuni, nami kuwa kusubiri kwa barua yako kwa sababu labda tunaweza kuwa rafiki mwema anyway i nitakuambia zaidi wakati wasiliana nami kwenye email yangu lisa.samuel1@yahoo.com
my Language is English====================
Hi! I am miss Lisa
how are you! hope you are fine and in perfect condition of health.I went through your profile on (dinahicious.blogspot.com) and i read it and took interest on it, if you don't mind i will like you to contact me on this ID (lisa.samuel1@yahoo.com) so that i can send you my photo OK hope to hear from you soon, I will be waiting for your mail because maybe we can be a good friend anyway i will tell you more when you contact me on my email lisa.samuel1@yahoo.com
01 March, 2011
Gaddafi azidi kuishangaa dunia..
Kanali Gaddafi anazidi kuishangaa dunia kwa kumshinikiza ajiuzulu eti wananchi wamemchoka.Gaddafi anauliza ajiuzulu kutoka wapi wakati yeye sio Mfalme wala Rais na pia watu wake wanampenda kiasi cha hata kufa kwaajili yake?.Amesema hayo alipo hojiwa na BBC huko Libya.Ameongeza kuwa wanao andamana ni Al-Qaeda na watu walio wengi ni mashabiki wake na si vinginevyo.Amemalizia kusema Dunia haiijui Libya ni nini na ina serikali ya namna gani ndio maana wana muharibia.''Libya watu wangu wananipenda, hao wengine ni Al-Qaeda'' Gaddafi alisema.
(BBC)
Zaidi soma hapa:http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-12603259
(BBC)
Zaidi soma hapa:http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-12603259
28 February, 2011
26 February, 2011
Marekani yafunga ubalozi wake Libya
Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha kufungwa kwa ubalozi wa Marekani nchini Libya mapema leo.Hilo limeenda sambambamba na kuiwekea Libya vikwazo.Pia Rais huyo amenukuliwa akisema machafuko ya kisiasa yanayo endelea nchini Libya yana hatarisha usalama wa raia wake katika balozi hio.
Sambamba na hio Rais Obama pia ame idhinisha kuiwekea vikwazo Libya.Vikwazo vilivyo wekwa ni pamoja na kufuta umiliki wa mali za Gaddafi, watoto wake na utawala mzima zilizomo nchini Marekani isipokua mali za nchi yaani Libya.
Pamoja na hayo Rais Obama anatarajia kukutana na katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon jumatatu kujadili hatua za kisheria dhidi ya Libya kwa mauaji yanayo endelea nchini Libya.
(voanews.com)
Soma zaidi kwa kiingereza hapa: http://www.voanews.com/english/news/US-Imposes-Sanctions-Closes-Embassy-in-Libya-116974548.html
Sambamba na hio Rais Obama pia ame idhinisha kuiwekea vikwazo Libya.Vikwazo vilivyo wekwa ni pamoja na kufuta umiliki wa mali za Gaddafi, watoto wake na utawala mzima zilizomo nchini Marekani isipokua mali za nchi yaani Libya.
Pamoja na hayo Rais Obama anatarajia kukutana na katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon jumatatu kujadili hatua za kisheria dhidi ya Libya kwa mauaji yanayo endelea nchini Libya.
(voanews.com)
Soma zaidi kwa kiingereza hapa: http://www.voanews.com/english/news/US-Imposes-Sanctions-Closes-Embassy-in-Libya-116974548.html
25 February, 2011
Vijisenti vya Gaddafi Hatarini Uingereza.
Bank kuu uingereza kuchunguza mali au pesa yoyote inayohusiana na Gaddafi na serikali yake.Imedaiwa kuwepo kwa mabillion ya dola nchini humo kutoka serikali ya Libya pamoja na Gaddafi mwenyewe.Kwa ufupi imebainika kuwepo mali zenye thamani ya pauni Billion 20 ikiwemo pauni Million 10 ya jumba la kifahari lililopo jijini London.Huo kwasasa ni mpango wa serikali ya Uingereza kumlazimisha aachie ngazi kama wananchi wake huko Libya watakavyo.
Tamko hilo la serikali limesisitiza kwa kuwatoa raia wake kwanza toka Libya na baada ya kumaliza ndio uchunguzi wa kina kutaifisha mali za Gaddafi na serikali yake kuendelea.Wakati huo huo Gaddafi amekaririwa akisema wasishangae yeye kuongoza nchi muda mrefu mbona hawashangai Queen?.Alimalizia kwa kusema ataongoza nchi hio mpaka ifikie miaka 57.Pia wataalamu wa umoja wa mataifa wamedai inawezekana zaidi ya watu 3000 wamepoteza maisha nchini Libya kutokana na vurugu za kisiasa zinazo zidi shamiri ichini humo.(Telegraph)
Tamko hilo la serikali limesisitiza kwa kuwatoa raia wake kwanza toka Libya na baada ya kumaliza ndio uchunguzi wa kina kutaifisha mali za Gaddafi na serikali yake kuendelea.Wakati huo huo Gaddafi amekaririwa akisema wasishangae yeye kuongoza nchi muda mrefu mbona hawashangai Queen?.Alimalizia kwa kusema ataongoza nchi hio mpaka ifikie miaka 57.Pia wataalamu wa umoja wa mataifa wamedai inawezekana zaidi ya watu 3000 wamepoteza maisha nchini Libya kutokana na vurugu za kisiasa zinazo zidi shamiri ichini humo.(Telegraph)
23 February, 2011
Mtoto apewa jina 'Facebook' huko Egypt
Mtoto mmoja ambaye kazaliwa hivi karibuni inchini Misri (Egypt) kapewa jina la 'Facebook' na wazazi wake ikiwa ni kumbukumbu ya mchango wa mtandao wa kijamii wa facebook kusaidia kusambaza habari nchini Misri na hata kufanikiwa kuung'oa utawala wa muda mrefu wa Hosni Mubaraka.
Soma zaidi hapa: http://www.digitaljournal.com/article/303954
Soma zaidi hapa: http://www.digitaljournal.com/article/303954
Buju Banton Guilty of Cocaine..

Reggae Singer Buju Banton Found Guilty Of Cocaine Charges; he Could face up to 15 years in jail.Florida jury found reggae singer Buju Banton, guilty on 3 counts of cocaine charges.
The verdict was handed down on Tuesday, found the Grammy winning singer guilty of "conspiracy to possess with intention to distribute cocaine; attempting to possess cocaine and aiding and abetting others in the use of a communication facility in the commission of a felony." So far the sentensing of the 37 year old Jamaican born Buju is still pending, the source said (allvoices.com
According to Reuters,A 12-member jury in Tampa found Banton, 37, guilty of conspiring with two other men to possess 5 kg or more of cocaine in Sarasota, Florida, in December 2009. The verdict came after a four-day trial
Banton, whose real name is Mark Myrie, won a Grammy for the best reggae album of 2010for "Before the Dawn" on February 13.Prior to his conviction Banton testified at the trial that he was entrapped by federal informant Alexander Johnson and never wanted to buy drugs.Banton said he met Johnson on a trans-Atlantic flight and talked about drugs to impress him because he thought he had connections in the music industry.
But Jurors were shown a video of Banton tasting cocaine in a Sarasota warehouse two days before his two associates were arrested trying to buy the drugs from an undercover officer.Banton was arrested at his home in Miami after the first trial ended last year when the jury could not agree on a verdict.So far the sentencing date is yet to be scheduled (abc.net.au).Hii ndio usije mjini kwa wasanii wetu!!
For those reggae fans you can memorise yourself through this song
Buju Banton-Destiny
Buju Banton-Champion
Pirates kill four U.S. hostages near Somalia.
Somali Pirates shot dead four U.S. hostages on a private yacht on Tuesday, the deadliest incident involving Americans kidnapped for ransom in the increasingly dangerous waters off Somalia.The incident is reported to have happened before the American special forces boarded the vessel,The U.S. military said.
In retaliation the U.S. troops killed two pirates as they took control of the boat, and took 15 pirates into custody. Apparently two other pirates were found dead when the U.S. special forces arrived but they were not killed by U.S. forces, the military said.The U.S Secretary of State Hillary Clinton said her government was "deeply saddened and very upset by the murder of four American citizens" and told reporters that,''more effective approach to maintaining security on the seas, in the ocean lanes are essential to commerce and travel''
(REUTERS)
Read More: http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-somalia-pirates-usa-idUSTRE71L3JP20110222
In retaliation the U.S. troops killed two pirates as they took control of the boat, and took 15 pirates into custody. Apparently two other pirates were found dead when the U.S. special forces arrived but they were not killed by U.S. forces, the military said.The U.S Secretary of State Hillary Clinton said her government was "deeply saddened and very upset by the murder of four American citizens" and told reporters that,''more effective approach to maintaining security on the seas, in the ocean lanes are essential to commerce and travel''
(REUTERS)
Read More: http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-somalia-pirates-usa-idUSTRE71L3JP20110222
Muammar Gaddafi Vows
Col Muammar Gaddafi said he was ready to die "a martyr" in Libya, vowing to crush a growing revolt rejecting his 41-year rule and that has resulted to deadly unrest to the capital and other cities.
He further went on saying "I am not going to leave this land. I will die here as a martyr, "I shall remain here defiant,Anti-government protesters are "rats and mercenaries" who deserved the death penalty, he said in the rambling, 75-minute speech.He also said he would call upon the people to "cleanse Libya house by house" unless protesters surrendered" Gaddafi said all this on state television on tuesday 22nd March 2011.
In response to Libyan ongoing political unrest,The White House said the international community must speak with one voice in response to the "appalling violence" in Libya and Secretary of State Hillary Clinton added, The United States would take "appropriate steps" in time.On the other hand German Chancellor Angela Merkel said she would back sanctions on Libya if Gaddafi did not stop the violence.
While the U.N. Secretary General Ban Ki-moon accused Libya of firing on civilians from warplanes and helicopters, the U.N. high commissioner for human rights said "systematic attacks" on civilians may amount to "crimes against humanity."
(REUTERS)
Latest news has the death toll standing at more than 300, with an 18 month old boy the latest casualty.The conflict in Libya still escalates
Read More:
>>http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-libya-protests-idUSTRE71G0A620110222
>>http://www.allvoices.com/contributed-news/8255290-libya-latest-news-has-the-death-toll-standing-at-more-than-300-with-an-18-month-old-boy-the-latest-casulaty
He further went on saying "I am not going to leave this land. I will die here as a martyr, "I shall remain here defiant,Anti-government protesters are "rats and mercenaries" who deserved the death penalty, he said in the rambling, 75-minute speech.He also said he would call upon the people to "cleanse Libya house by house" unless protesters surrendered" Gaddafi said all this on state television on tuesday 22nd March 2011.
In response to Libyan ongoing political unrest,The White House said the international community must speak with one voice in response to the "appalling violence" in Libya and Secretary of State Hillary Clinton added, The United States would take "appropriate steps" in time.On the other hand German Chancellor Angela Merkel said she would back sanctions on Libya if Gaddafi did not stop the violence.
While the U.N. Secretary General Ban Ki-moon accused Libya of firing on civilians from warplanes and helicopters, the U.N. high commissioner for human rights said "systematic attacks" on civilians may amount to "crimes against humanity."
(REUTERS)
Latest news has the death toll standing at more than 300, with an 18 month old boy the latest casualty.The conflict in Libya still escalates
Read More:
>>http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-libya-protests-idUSTRE71G0A620110222
>>http://www.allvoices.com/contributed-news/8255290-libya-latest-news-has-the-death-toll-standing-at-more-than-300-with-an-18-month-old-boy-the-latest-casulaty
By
Rik Kilasi
On
Wednesday, February 23, 2011
0
comments
Labels:
2011.,
Africa,
Gaddafi,
Libya Unrest
New Zealand has declared a national state of emergency.
New Zealand Prime Minister John Key has declared a national state of emergency as the death toll from Tuesday's earthquake in Christchurch rose to 75.Police have said there is "incredible carnage right throughout the city", with "bodies littering the streets".More than 300 people are still missing. Forty-eight were pulled out from collapsed buildings alive overnight.
It was Christchurch's second major tremor in five months, and New Zealand's deadliest natural disaster in 80 years.The ministry of civil defence said 22 people alone were missing in Christchurch Cathedral, which lost its spire and a section of roof.apparently the rescue is underway and the death toll might be higher officials said.(BBC)
Read more:
It was Christchurch's second major tremor in five months, and New Zealand's deadliest natural disaster in 80 years.The ministry of civil defence said 22 people alone were missing in Christchurch Cathedral, which lost its spire and a section of roof.apparently the rescue is underway and the death toll might be higher officials said.(BBC)
Read more:
22 February, 2011
6.3 Magnitude Earthquake hits New Zealand..

The building levelled by the 6.3 quake (tvnz.co.nz)
Multiple fatalities have been reported after a powerful 6.3-magnitude earthquake hit Christchurch on New Zealand's South Island, police have said.The powerful tremor started at 1251 on Tuesday (2351 GMT on Monday) only 10km (6.2 miles) south-east of the city, caused widespread destruction of buildings and many other infrastructures.
The tremor is claimed to have caused several fatalities much destruction compared to several earthquakes after the sepetember tremor of 7.1 magnitude and the chrismas time quake of 4.9.Airports closed and hospitals evacuation underway(BBC)
Gaddafi Akanusha kutoweka Libya.

Gaddafi akikanusha kuikimbia Libya (picha toka msnbc)
Mkuu wa nchi ya Libya akanusha kutoweka nchini humo na kusema yupo ila mvua inamzuia kuongea na wananchi.Amekaririwa akisema "I am in Tripoli and not in Venezuela. Don't believe those misleading dog stations," he said, referring to media reports that he had left the country.
Zaidi soma hapa:
http://www.msnbc.msn.com/id/41700027/ns/world_news-mideast/n_africa/
Pia imeripotiwa kuwa ndege mbili za kivita za Libya zimetua kisiwa cha malta baada ya marubani wa ndege hizo kukaidi maagizo kutumia ndege hizo kushambulia waandamanaji nchi humo.Marubani hao ambao wametua Malta kuomba hifadhi ya muda wamekaririwa kuomba kutua kisiwani humo kwa sababu 2, kuomba hifadhi pamoja na kujaza mafuta.

Libyan F1 Fighter jets in Malta International Airport
Marubani hao bado wanaisaidia polisi kwa habari na maelezo zaidi.Pia imedaiwa kuwepo kwa helicopter mbili zilizotua Malta kwa dharura ya msaada zikiwa na raia 7 wa ufaransa.
Zaidi soma hapa:
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.boingboing.net/2011/02/21/mystery-behind-two-l.html
21 February, 2011
Rumours-Gaddafi is heading Venezuela..

(Reuters)
Libyan leader Muammar Gaddafi may be heading to Venezuela, Foreign Secretary William Hague has suggested, citing "information that suggests he is on his way." Several media have also reported rumors that Colonel Gaddafi was headed to Venezuela
This follows the strike that has now covered almost the whole of Libya as protestors rock Tripoli,the Libyan capital.
More than 230 people have been killed in clashes between the army and protesters in Libya as anti-government rally reached the Libyan capital for the first time and the building where the country's parliament meets was set on fire. After Gaddafi's son of Libya vows to fight to the end " troops will fight until the last man standing" to defend his regime, his son, Saif al-Islam Gaddafi, said as forces battled protesters in the capital Tripoli.
Oil companies plans are underway to evacuate its employees and families as the turmoil rocks the capital of Libya (Tripoli)after Gaddafi's son speech.The political unrest has now disrupted most essential activities countrywide.The largest and most established foreign energy producer in Libya includes:-Eni of Italy,The Norwegian energy company Statoil,OMV of Austria and others.
For more information read: >>http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/africaandindianocean/libya/
>>http://www.nytimes.com/2011/02/22/world/africa/22oil.html
>>http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/africaandindianocean/libya/8338948/Libya-Colonel-Gaddafi-flees-to-Venezuela-as-cities-fall-to-protesters.html
20 February, 2011
Libya crisis death toll doubled
Details have emerged of huge casualty figures in the Libyan city of Benghazi, where troops have launched a brutal crackdown on protesters.So far More than 200 people are known to have died, doctors say, with 900 injured. Benghazi, the country's second city, has been a leading focus of protests against Col Muammar Gaddafi's rule.
The most bloody attacks were reported over the weekend, when a funeral procession is said to have come under machine-gun and heavy weapons fire.One doctor, said the fresh gunfire had broken out,and was "a real massacre".BBC was told.
Human Rights Watch says at least 173 people have been killed in Libya since demonstrations began on Wednesday.
Libya is one of several countries in the region to have seen pro-democracy campaigns since the fall of long-time Tunisian President Zine El Abidine Ben Ali in January. Egypt's Hosni Mubarak was forced from power on 11 February.
Source:BBC.
The most bloody attacks were reported over the weekend, when a funeral procession is said to have come under machine-gun and heavy weapons fire.One doctor, said the fresh gunfire had broken out,and was "a real massacre".BBC was told.
Human Rights Watch says at least 173 people have been killed in Libya since demonstrations began on Wednesday.
Libya is one of several countries in the region to have seen pro-democracy campaigns since the fall of long-time Tunisian President Zine El Abidine Ben Ali in January. Egypt's Hosni Mubarak was forced from power on 11 February.
Source:BBC.
Uganda elections 2011-Museveni wins..

The Electoral Commission declares President Museveni victor of Uganda’s Friday presidential ballot, winning with 68.38 per cent of 8, 272, 760 total votes. Mr Museveni obtained 5, 428, 369 votes, Electoral Commission chairman, Eng. Badru Kiggundu says.
“The Commission declares Yoweri Kaguta Museveni President elect of the Republic of Uganda,” says Eng. Kiggundu while announcing the final results at Namboole stadium today.
The results, however, excludes tallies from 117 polling stations whose results the Commissions says it is yet to receive. Eng. Kiggundu says they declared the incomplete results to beat the 48 hour constitutional, and so far what they received is more than the threshold tallies to make the declarations.
Inter-Party Cooperation flag bearer, Dr Kizza Besigye, has obtained 2, 064, 963 (representing 26%) votes while Democratic Party’s Norbert Mao is in third position polling 147, 708 votes.
Mr Museveni’s win gives him another five year elective term, setting him on course to lead Uganda for a cumulative 30 years since 1986.
Read more:
>>http://www.monitor.co.ug/News/National/-/688334/1111284/-/c4mwcqz/-/index.html
>>http://www.ugandaonline.net/news/view/10558/museveni_now_at_68_71__followed_by_besigye_at__25_88_
>>http://www.elections2011.co.ug/
Mgomo Libya waongeza idadi ya vifo..

Muammar Abu Minyar al-Gaddafi (Rais wa Libya)
Idadi ya waliokufa kutokana na machafuko yaliyotokea Libya imefikia imeongezeka mpaka kufika 84.Libya ambayo ipo chini ya Rais Muammar Abu Minyar al-Gaddafi ambaye aliingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi mwaka 1969 akiwa na umri wa miaka 27.Imeingia matatani muda mfupi baada ya machafuko ya Egypt/Misri ambapo Rais wa nchi hio amejiuzulu February 11 kufuatia mgomo wa nchi nzima kwa takribani siku 18.Mubarak alifata nyayo za Rais wa Tunisia Zine El Abidine Ben Ali ambaye alijiuzulu January 2011
Libya imeripotiwa kutumia silaha nzito za kijeshi kukomesha mgomo unaozidi kuenea inchini humo.Pia wanahabari wakimataifa wamepigwa marufuku kuingia Libya kiasi cha kuwa vigumu kupata taarifa halisi ya kinacho jiri nchini humo.Facebook,Aljazeera na mitandao ya simu imesitishwa.Mpaka sasa jeshi la nchi hio lipo mtaani kudhibiti mgomo ambao unazidi kuongezeka kutokana na kinacho daiwa kunyimwa hata muda wa kuzika wenzao walikufa katika mgomo huo ambapo watu kadhaa wanadaiwa kuuwawa kwenye mazishi ya baadhi ya waandamanaji waliopigwa risasi hadi kufa
Zaidi soma:http://www.abc.net.au/news/stories/2011/02/20/3143581.htm?section=justin AU http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-12512536

Ramani ya Libya
Muammar Gaddafi Rais tangu 1969
Idadi ya watu Libya ni 6.5m
Wananchi wamesoma kwa asilimia 88
Muda wa mtu kuishi ni maika 74 wanaume na 78 wanawake.
Kipato cha raia kwa kichwa: $12,020 (World Bank 2009)
18 February, 2011
Uchaguzi mkuu Uganda kufanyika leo..

Yoweri Museveni
VS
Dr Kizza Besigye

Leo ndio siku ya uchaguzi mkuu nchini Uganda.Mpaka mwisho wa kampeni za uchaguzi huo ambao una wagombea 8 kiti cha urais imeonyesha hali ya wasiwasi kwamba kuna uwezekano mkubwa kutokea machafuko ya kisiasa kutokana na mvutano mkubwa uliopo kati ya Museveni na Dr Kizza Besigye.Pia kuna taarifa kuwa police wengi wame ajiriwa kipindi hiki kuhofia machafuko (AfricanNews.com)
Besigye amesema atakubali matokeo ikiwa tu uchaguzi utafanyika kwa uhuru na haki na si vinginevyo.Hata hivyo mkuu wa majeshi nchini Uganda ametangaza kuwa hata vumilia hali yoyote ya vurugu katika uchaguzi huo unaotegemea kufanyika mapema leo.
Habari zaidi zinasema Muveni akishinda atakua ametoa historia ya aina yake kuongoza kwa miaka mingi (30) tangu uhuru wa nchi hio ambapo kwa Africa mashariki ukitoa Mfalme wa iliyokua Buganda (Uganda kwa sasa) Kabaka Daudi Chwa alie ongoza miaka 42(1897-1939), na Emperor Haile Selassie aliyeongoza miaka 44 (1930-1974) mpaka alipo pinduliwa na kuuwawa.Nyerere na Moi waliongoza miaka 24 tu
(Daily Monitor)
Jeshi litatoa taarifa kamili kuhusu Mabomu-JK
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete alonga na na vyombo vya habari na kusisitiza kuwa taarifa kamili ya mlipuko wa mabomu Gongo la mboto ni jeshi tu ndio litatoa taarifa kamili na ''SIO RADIO MBAO'' ikiwa ni pamoja na taarifa itakayo tolewa baada ya kukutana na baraza la usalama wa Taifa.Mimi sijaelewa tu Radio mbao ndo zipi, kuna anayejua anisaidie?wakati nasubiri msaada huo...TUJIUNGE!
17 February, 2011
Maafa Mlipuko wa Mabomu Gongo la Mboto
Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeahirishwa leo mpaka kesho kufuatia taarifa ya kulipuka mabomu.Waziri mkuu Mh Mizengo Pinda ametoa taarifa bungeni,takribani watu 19 wamepoteza maisha mlipuko wa mabomu kambi ya JWTZ Gongo la Mboto jijini Dar es salaam.Idadi hiyo inaweza ongezeka
Habari zaidi zinasema kuwa kambi ya Gongo la mboto ndio inayo hifadhi silaha nzito za kijeshi kwahio madhara ya mlipuko wa mabomu hayo huenda ikawa kubwa zaidi ya ile ya April 2009 kambi ya Mbagala

Nyumba iliyo dhurika kwa bomu
(Picha kwa hisani ya The Habari.com)

bomu katika makazi ya watu (Star Tv)

Darasa lililo bomolewa na bomu Pugu sec (Star Tv)

Kipande cha bomu kilichotua mtaani

msururu wa watu wakijaribu kuokoa roho zao
Rijaki blog inatoa pole kwa waathirika wa mlipuko huo wa mabomu Gongolamboto,ndugu,jamaa, marafiki na Mungu azilaze mahala pema peponi roho za walio tangulia mbele ya haki katika tukio hilo.
Habari zaidi zinasema kuwa kambi ya Gongo la mboto ndio inayo hifadhi silaha nzito za kijeshi kwahio madhara ya mlipuko wa mabomu hayo huenda ikawa kubwa zaidi ya ile ya April 2009 kambi ya Mbagala

Nyumba iliyo dhurika kwa bomu
(Picha kwa hisani ya The Habari.com)

bomu katika makazi ya watu (Star Tv)

Darasa lililo bomolewa na bomu Pugu sec (Star Tv)

Kipande cha bomu kilichotua mtaani

msururu wa watu wakijaribu kuokoa roho zao
Rijaki blog inatoa pole kwa waathirika wa mlipuko huo wa mabomu Gongolamboto,ndugu,jamaa, marafiki na Mungu azilaze mahala pema peponi roho za walio tangulia mbele ya haki katika tukio hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)






