10 June, 2011

Maisha Ni Foleni by musema kweli

BHOKE:We Had Sex In The House,Not On The Street!!!!!!!!!!!!!!!!

                                                 


Habari zilizo zagaa mitandaoni zinatonya kwamba aliyekua mshiriki wa BBA kutoka Tanzania Bhoke Egna mbali na kufanya madudu dunia nzima ikiwa inaangalia amezidi kuwakera watu hususani Waafrica baada baada ya kujiachia facebook kama ilivyonukuliwa ''"What's the big deal? People were just making a lot of noise about the whole issue as if we were having sex on the street. BBA Amplified house is for adults and whoever cannot 'suck it' up should not even be watching." Hii imedaiwa kua facebook status ya bibie Bhoke  baada ya watu kushangaa mauza uza yake na katika kuthibitisha kua alichofanya na Ernest hakihitaji kujutia.


Mbali na Blogs na mitandao mbalimbali vikiwemo vituo vya Radio na Tv toka Tanzania huko Nigeria watu wameshindwa kuvumilia na hivyo wamemchambua kama karanga tena kwa hasira isiyo pimika. Nao imewauma utadhani wabongo vile lakini nadhani ile dhana ya uafrica  ndio maana wamefunguka sana kuhusu Bhoke ambaye yeye mwenyewe kakili kutojutia kufanya mapenzi mbele ya camera.Hivi huyu dada kama angekili kosa au hata asingizie alilewa au kupitiwa au kumsingizia shetani angepungukiwa nini? maana matusi wanayo toa watu mengi ni kutokana na kauli zake na kusema hajutii kile kitendo hapa kila mtu anashawishika kutukana maana ameaibisha nchi kwa ujumla ukiachia mbali familia.


 Kwa habari zaidi soma HAPA  pia facebook na twitter HAPA


Huko Twitter Bhoke azidi kuji nafasi kama hivi:
:- Bhoke Egina 

-We Had Sex In The House,Not On The Street. 8 hours ago
:- Bhoke Egina 




TASWIRAZZ...

Unaona nini katika hizi picha?