30 June, 2010

Sikiliza Antvirus ya Sugu A.K.A Mr II

Hi ndio antvirus ya MR Sugu ambaye siku za karibuni aliwekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa mahojiano kwa kilicho daiwa 'kutaka kuua kwa maneno'' kama vyombo mbalimbali vilivyo ripoti. Hata hivyo bwana Sugu amedai kuachiwa kwa kujidhamini yeye mwenyewe.Pamoja na mambo mengine watu wengi wanasema kukamatwa kwake ni kutokana na kua mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kwani kuua kisanii ama kimuziki ni neno la kawaida mfano: jamaa kaua leo stejini/jamaa kavunja mbaya... yaani kaimba vizuri zaidi au sasa nakuchana live ikiwa na maana 'sasa nakusema hadharani'

Hata hivyo hakuna anaye jua ukweli halisi ulioko nyuma ya pazia katika zogo hilo japo kua watu wame chanwa live katika huu wimbo maarufu kwa jina la antvirus.Binafsi pamoja na kuheshimu haki za binadamu (freedom of expression/freedom of speech) naona nyimbo iligusa zaidi maisha binafsi ya watu kwa mtindo wa kukashifu na sio kutoa ujumbe unao kemea uonevu ama ukandamizaji wa baadhi ya vituo vya Radio kwenye tasnia ya muziki maarufu kama bongo flava/hip hop.Ni mtazamo tu zaidi sikiliza wimbo then toa maoni yako kama jamaa yuko sawa au(sio sawa) na harakati za kuikomboa tasnia hio inayo daiwa kujaa unyonyaji wa hali ya juu,upendeleo na udididmizi wa chini chini.

Mjue demu wa Jaffarai....hahahahah

Huyu ndio demu wa Jaffarai yaani sina mbavu dakika ya 1:28-30 na 1:52.yeye anasema hata akitumia hela kibao kwa 'huyo demu wake' hakuna noma na haoni shida. Je wangapi tuna mademu wa hivi? Je ni kweli ukiwa na demu unakua stress free? Na je pombe inafaa kufananishwa na demu? Kama jibu ni hapana toa sababu za msingi na Kama jibu ni ndio, je ni kweli kwamba inaondoa stress kama wengi wanao kunywa na kusema wanaondoa stress?

object width="480" height="385">

More from my inbox....

NB:Whenever you see an e-mail of this kind in you are inbox just delete or spam it.Be informed!


DEAR,

I AM MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO.I WORK IN THE REMITTANCE DEPARTMENT OF AFRICAN DEVELOPMENT BANK, OUAGADOUGOU BURKINA FASO.I HAVE A BUSINESS WHICH WILL BE BENEFICIAL TO BOTH OF US.

THE AMOUNT OF MONEY INVOLVED IS [$36.2MILLION US DOLLARS] WHICH I WANT TO TRANSFER OUT OF THE COUNTRY TO YOUR BANK ACCOUNT, ALL TO MY FINANCIAL BENEFIT AND YOURS TOO AND ALSO TO FLY MY WIFE TO UNITED STATE OF AMERICA FOR TREATMENT OF LUNG/BREAST CANCER, THIS MONEY IS OWNED BY A MAN CALLED [JAMES HEBREW] A BUSINESS COMMERCIALIST IN WEST-AFRICAN REGIONS. HE HAS BEEN DEAD SINCE TWO YEARS AGO AND SINCE THEN NO CLAIM HAS BEEN PLACED ON HIS BANK ACCOUNT BALANCE.

I WANT TO TRANSFER THIS MONEY OUT OF THE COUNTRY BUT SUCH FUND CAN NOT BE TRANSFERRED WITHOUT A NEXT OF KIN ATTACHED TO THE FUND. THE FUND COULD BE TRANSFERRED IN THESE WAY; [YOU SHALL PRESENT YOURSELF AS A RELATIVE & BUSINESS ASSOCIATES TO THE DECEASED PERSON [JAMES HEBREW] DETAILS SHALL BE THAT YOU ARE THE CARE-TAKER TO MR.JAMES HEBREW PROPERTIES.

I SHALL MAKE AVAILABLE TO YOU MATERIALS AND INFORMATION WITH WHICH A SUCCESSFUL CLAIM SHALL BE PLACED ON THE FUND. I SHALL BE YOUR GUIDIANCE AND INSTRUCTOR THROUGHOUT THE DURATION OF THIS TRANSACTION SO AS TO ENSURE A SWIFT AND SURE TRANSFER OF THE FUND TO YOUR BANK ACCOUNT.

AS TO YOUR BENEFITS, YOU SHALL BE ENTITLED TO 40% OF THIS FUND, FOR YOUR CO-OPERATION IN THIS TRANSACTION. SO IF YOU ARE INTRESTED, SEND A REPLY TO ME IN YOUR REPLY PLEASE INCLUDE YOUR [PRIVATE PHONE AND YOUR FAX NUMBERS] URGENCY HAS TO BE IMPLIED AND THIS BUSINESS MUST STRICTLY BE A DEAL BETWEEN BOTH OF US.

BEST REGARDS,
MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO
+22678300289