Showing posts with label Africa. Show all posts
Showing posts with label Africa. Show all posts

04 August, 2011

HOSNI MUBARAK KUVUNA ALICHOPANDA!


Aliyekua Rais wa Misri (Egypt) Hosni Mubarak-83 ambaye alijiuzulu kufuatia maandamano makubwa kufuatia tuhuma za rushwa na uongozi wa mabavu.Mnamo April,2011 aliwekwa chini ya ulinzi bila kujali afya yake iliyozorota na jana (Jumatano Agasti 03,2011)  pamoja na hali yake kiafya kuyumba alifikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya rushwa iliyo kithiri,kuua waandamanaji jitihada ambazo hazikuzaa matunda mpaka alipo achia ngazi mwezi Januari 2011. Wakati huo huo hali ya Misri bado tete kutokana mvurugano uliopo kati ya serikali ya sasa na waombolezaji ambao walizuiwa kuandamana ikiwa ni ishara ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha katika harakati za kumtoa Mubarak


Mubarak pamoja na mwanaye wamekana mashataka dhidi ya Rushwa na mauaji ya waandamanaji na kwa sasa waandamanaji wameahidi kutulia wakisubiri hukumu itolewe kwa Mubarak na vibaraka wake.Japo waliofika mahakamani waliweza wafukuza polisi kwa mawe. HII NI CHANGAMOTO KWA SERIKALI ZETU KATIKA UWAJIBIKAJI NA MATUMIZI YA NGUVU WANAPOWAKOSEA WANANCHI (WAPIGA KURA),KASHFA ZA RUSHWA NA UWAJIBISHWAJI.


Kwa habari zaidi soma HAPA,HAPA,HAPA na HAPA

10 July, 2011

SUDAN KUSINI YAWA TAIFA JIPYA AFRICA

                                             Raia wa Sudan kusini wakisherekea uhuru
Sudan ilikua ni nchi ambayo imekua na mvutano na mapigano ya hapa na pale kati ya Sudan  kusini na kaskazin kwa muda mpaka Sudan ya kusini ilipoamua kujitenga na kujiita Taifa linalojitegemea japo halikutambulika na Umoja wa Mataifa (UN) ama Umoja wa Africa (AU).Hatimaye mnamo July 9,2011 Sudan ya kusini imetambulika na Umoja huo kama taifa huru na kufanya bara la Africa kua na jumla ya nchi 54.


 Kushoto ni Rais wa Sudan kusini Jenerali Salva akiwa na Rais wa Tanzania  Dr Jakaya Kikwete katika hafla ya uhuru wa Sudan Kusini
Kutambulika kwa uhuru wa Sudan ya kusini ni njia moja wapo kuzuia umwagaji damu uliodumu kwa muda mrefu ambapo UN na AU zimeridhia na kutambua hatua hio kama njia ya kuzuia machafuko zaidi..Ripoti ya BBC inaonyesha takribani watu Million moja na nusu wamepoteza maisha.Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Ban Ki Moon alikua moja ya viongozi mbalimbali waliohudhuria sherehe za uhuru mjini Juba ambapo Jenerali Salva Kiir Mayardit ndio Rais wa kwanza wa Sudan ya Kusini.Ujumbe wa umoja wa mataifa ulikua ni kulitambua Taifa hilo jipya na kushirikiana nalo japo changamoto ni nyingi hasa kuwepo kwa vikundi kadhaa vya waasi, elimu duni na mengineyo (BBC).


Kwa habari zaidi SOMA HAPA




23 February, 2011

Muammar Gaddafi Vows

Col Muammar Gaddafi said he was ready to die "a martyr" in Libya, vowing to crush a growing revolt rejecting his 41-year rule and that has resulted to deadly unrest to the capital and other cities.

He further went on saying "I am not going to leave this land. I will die here as a martyr, "I shall remain here defiant,Anti-government protesters are "rats and mercenaries" who deserved the death penalty, he said in the rambling, 75-minute speech.He also said he would call upon the people to "cleanse Libya house by house" unless protesters surrendered" Gaddafi said all this on state television on tuesday 22nd March 2011.

In response to Libyan ongoing political unrest,The White House said the international community must speak with one voice in response to the "appalling violence" in Libya and Secretary of State Hillary Clinton added, The United States would take "appropriate steps" in time.On the other hand German Chancellor Angela Merkel said she would back sanctions on Libya if Gaddafi did not stop the violence.

While the U.N. Secretary General Ban Ki-moon accused Libya of firing on civilians from warplanes and helicopters, the U.N. high commissioner for human rights said "systematic attacks" on civilians may amount to "crimes against humanity."
(REUTERS)

Latest news has the death toll standing at more than 300, with an 18 month old boy the latest casualty.The conflict in Libya still escalates

Read More:
>>http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-libya-protests-idUSTRE71G0A620110222
>>http://www.allvoices.com/contributed-news/8255290-libya-latest-news-has-the-death-toll-standing-at-more-than-300-with-an-18-month-old-boy-the-latest-casulaty

22 February, 2011

Gaddafi Akanusha kutoweka Libya.


Gaddafi akikanusha kuikimbia Libya (picha toka msnbc)

Mkuu wa nchi ya Libya akanusha kutoweka nchini humo na kusema yupo ila mvua inamzuia kuongea na wananchi.Amekaririwa akisema "I am in Tripoli and not in Venezuela. Don't believe those misleading dog stations," he said, referring to media reports that he had left the country.
Zaidi soma hapa:
http://www.msnbc.msn.com/id/41700027/ns/world_news-mideast/n_africa/

Pia imeripotiwa kuwa ndege mbili za kivita za Libya zimetua kisiwa cha malta baada ya marubani wa ndege hizo kukaidi maagizo kutumia ndege hizo kushambulia waandamanaji nchi humo.Marubani hao ambao wametua Malta kuomba hifadhi ya muda wamekaririwa kuomba kutua kisiwani humo kwa sababu 2, kuomba hifadhi pamoja na kujaza mafuta.


Libyan F1 Fighter jets in Malta International Airport

Marubani hao bado wanaisaidia polisi kwa habari na maelezo zaidi.Pia imedaiwa kuwepo kwa helicopter mbili zilizotua Malta kwa dharura ya msaada zikiwa na raia 7 wa ufaransa.

Zaidi soma hapa:
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.boingboing.net/2011/02/21/mystery-behind-two-l.html

20 February, 2011

Libya crisis death toll doubled

Details have emerged of huge casualty figures in the Libyan city of Benghazi, where troops have launched a brutal crackdown on protesters.So far More than 200 people are known to have died, doctors say, with 900 injured. Benghazi, the country's second city, has been a leading focus of protests against Col Muammar Gaddafi's rule.

The most bloody attacks were reported over the weekend, when a funeral procession is said to have come under machine-gun and heavy weapons fire.One doctor, said the fresh gunfire had broken out,and was "a real massacre".BBC was told.

Human Rights Watch says at least 173 people have been killed in Libya since demonstrations began on Wednesday.

Libya is one of several countries in the region to have seen pro-democracy campaigns since the fall of long-time Tunisian President Zine El Abidine Ben Ali in January. Egypt's Hosni Mubarak was forced from power on 11 February.

Source:BBC.

12 February, 2011

Mubarak’s Swiss assets frozen...(Vijisenti kapuni)

While Egyptians celebrate the departure of Mr Mubarak the president of Egypt who ruled the country for 30 years; The Swiss government has announced the freeze of all possible Mubarak’s assets after his departure late yesterday. The process includes any potential asset belonging to the then president and his associates. Apparently the Global Financial Integrity, a Washington group that tracks corruption in the developing world, estimates $57 Billion (vijisenti) illicit assets left Egypt between 2000 and 2008.

The freeze will prevent Mr. Mubarak access to the money until its proven the money were legally acquired and the source is succinctly clarified. Recent information says similar freeze is been applied to the Ex-President of Tunisia Zine El Abidine Ben Ali.
Read more: http://online.wsj.com/article/SB10001424052748704329104576138451664628050.html?mod=googlenews_wsj#articleTabs%3Darticle (11-02-2011)

Blogger’s opinion: Developing countries leaders must know the responsibilities and honor that the citizens have bestowed in them. It’s no doubt they know accountability is a must for they were put in office by the so called people power. It’s therefore clear that, the same people who have the right and power to remove irresponsible leaders out of office.

In essence being in office as a representative of the people does not mean the time to represent the family, friends and yourself. But working diligently to represent fully the people in all aspects of life; I. e social, political, economical, technological and cultural aspects that could foster the national development in general.

NB: I wish constitutions had acts that allow electing leaders ‘IN’ and ‘OUT’ of office. This means irresponsible leaders, power mongers, puppets and corrupt leaders could have been voted out of office in an orderly, democratic and peaceful means. Easy!