14 April, 2011

GBAGBO KWISHNEY, OUATTARA APETA..

Wanasema mjumbe hauwawi  KUMBE CHA MTEMA KUNI ANAPATA?  hivi ndivyo ilivyokua kwa mshauri wa Gbagbo ( aliyekua Rais wa Ivory Coast).Hii ilitokea sambamba na kukamatwa kwa Gbagbo ambaye alishindwa uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka jana (2010) na kung'ang'ania kubaki madarakani kinyume na sheria.Gbagbo ambaye alishindwa kwenye uchaguzi  baina ya Alassane Ouattara  na hatimaye kuamua kuendelea kua Rais na nchi yake kua katika machafuko mpaka alipo tolewa kinguvu mnamo Tar 11/04/2011 kwa msaada wa jeshi la umoja wa mataifa.


                                     Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara kuanzia tar 11/04/2011

Gbagbo ambaye kwasasa amekamatwa na kupelekwa kusiko julikana kwa usalama wake, mpinzani wake Alassane ameahidi kumlindia heshima japo wakati wa kukamatwa ni kama vile alikua kibaka.Ouattara ndio rais wa Ivory Coast ambae ameanza kuitumikia ofisi kihalali tar 11/04/2011


Mwananchi mwenye hasira akimshambulia mshauri wa  serikali ya Gbagbo huko Ivory Coast mara baada ya kukamatwa hoteli ambayo walikaa wakati wa machafuko nchini humo.( kama mambo yenyewe ndio haya sasa ndio nime elewa  maana ya yale mashangingi kutembea kama yameibiwa!!)


Aliyekua Rais wa Ivory Coast Laurent Gbagbo

 Zaidi soma hapa http://www.metro.co.uk/news/860721-new-era-for-ivory-coast-as-leader-laurent-gbagbo-spirited-away