18 February, 2011

Jeshi litatoa taarifa kamili kuhusu Mabomu-JK

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete alonga na na vyombo vya habari na kusisitiza kuwa taarifa kamili ya mlipuko wa mabomu Gongo la mboto ni jeshi tu ndio litatoa taarifa kamili na ''SIO RADIO MBAO'' ikiwa ni pamoja na taarifa itakayo tolewa baada ya kukutana na baraza la usalama wa Taifa.Mimi sijaelewa tu Radio mbao ndo zipi, kuna anayejua anisaidie?wakati nasubiri msaada huo...TUJIUNGE!

No comments: