11 April, 2011

FULL FACE VEIL BANNED IN FRANCE.

                                 A woman with full-face veil (photo from upi.com)

France has banned Muslim women from wearing full  face veil.Today the law is put in effect and several emerges have been released depicting the type of veils that are not allowed.Generally the ban seems to be applicable (if the veil is worn)  mainly in public because according to the police guidelines in the implementetion of the law,victims will not be forced to remove veils and that the ban does not apply (if worn) inside private cars.

So far, those  violating the law will be fined up to  £132 (150 euros). Early reports shows police have already arrested 59 women in the exercise of enforcing the law.On the other hand Muslim leaders have said they support neither the veil nor the law banning it. (????!!!)

For more info read:  http://uk.news.yahoo.com/5/20110411/twl-french-ban-muslim-women-from-wearing-3fd0ae9.html

MWAKA WA VIKOMBE KATIKA PICHA

      Hii ndio foleni siku za mwanzoni kuelekea kwa Babu-Loliondo

       Foleni kwa mbali ilikua kama hivi kuelekea Loliondo kwa Babu


4x4 ndio ulikua mpango mzima kuelekea kwa babu ukizingatia barabara zetu ni mbaya zaidi hasa mvua ikinyesha.

Huyu ndiye Babu Mwaisapile akiwa kazini na hatimaye kuiteka Bongo sasa hivi uki google Loliondo wonders utapata habari nyingi za huyu Babu kwenye vyombo vya habari ndani na nje ya Tanzania.

Babu anazidi kugawa 'dose'


Mheshimiwa na mpiganaji tegemeo naye alikuwepo...


Waheshimiwa pia walikuwepo...

Serikali haikua na namna bali kuunga mkono jitahada za babu pamoja na kuahidi kuwepo kwa 'research kuhusu dawa ya babu ambayo mpaka sasa HATUNA MAJIBU KAMILI ni matumaini baada ya utafiti huo kukamilika tutapata kueleweshwa..


Babu alipata mpinzani toka Mbeya na Kikombe cha Mbeya ndio hiki maandalizi yanaendelea


Huyu ndio Dogo wa Mbeya (17yrs) Kikombe chake kilikua bure
Kwa dogo Mbeya hali ilikua kama hivi..


Huyu mtoto sijui hata anajua hio ni dawa usikute anadhani CHAI!! kazi kweli kweli!


Kikombe cha kwa dada Tabora ni maombi kwanza kabla hujakipata Kikombe!! 'Yaani sala na kazi'

Kwa dada Tabora watu kibao kama kawa
Kikombe cha Moro kikiwa kina andaliwa..


Baadae Kikombe cha Moro mambo yakawa hivi.. na bei ni 200/=


Safari hii Kikombe ni Njombe kwa Dr Mwandulami (58) ni bure 'until further notice'
Wananchi wakipata Kikombe cha Dr Mwandulami Njombe Mkoani Iringa.


Sasa hapa tumwamini nani katika hivi vikombe?? Na je ni lini serikali itatuambia ukweli kuhusu hivi vikombe? Je ikigundulika vikombe ni 'fake' nani wa kulaumiwa/kuwajibishwa?.Kusema kweli huu mwaka ni waajabu na mwamko kama mlivyoona ni mkubwa watu wana amini vikombe sana.Tujiulize ni kwanini??  je ni kutokana na matatizo yetu kiafya au wewe unaonaje?.Wizara ya afya ituambie baada ya utafiti kukamilika ili wananchi wajue kama kweli tiba ipo au ndio propaganda tu.