21 August, 2011

KUTOKA LIBYA:WAASI WAINGIA MJI MKUU TRIPOLI

Habari zilizojiri kutoka Libya zinasema mapigano makali yatikisa mji mkuu Tripoli kati ya waasi na wanajeshi wa serikali nchini humo.Watu zaidi ya 1000 wadaiwa kufa na wengine 5000 kuumia vibaya.Katika mapigano hayo makali yaliyozuka mida ya saa asubuhi leo waasi nchini Libya wamedai kumteka mtoto wa Gaddafi Saif Al-Islam. Kwa habari zaidi soma HAPA