05 August, 2011

TUNE OF THE DAY ,,,FEEL FREE BY ALI KIBA


SIJUI TUNAELEKEA WAPI??

Kuangalia safari ya utamaduni wa ajabu  kuelekea kusiko julikana bonyeeee icheze!!!

            Video kwa hisani ya Tanzagiza!


Mimi sijaelewa lengo la hii disco vumbi  kama ni kufurahia au kufundisha utamaduni mpya kwa watoto? Au mimi ndio nimepitwa na fashion kama waosha vinywa wanavyoweza sema? Sidhani kama kuna maadili yoyote hapa by all means! Na hii haihitaji jitihada za serikali peke yake hata watu baki wanaweza kemea

ORIJINO KOMEDI MPOO?? BASI TUJIUNGE!!!!

Ushawahi sikia ule usemi wa unaruka mkojo  halafu unakanyaga...... basi ndio hapa bonyeza icheze!!
Sir Charlie Chaplin alikua balaa katika uchekeshaji.Na hii style sijui kaiga wapi maana mzaha mzaha mtu unaweza jikuta unaliwa  na simba badala ya watu kucheka wataanza kuomboleza.Nisimalize utamu click and watch for yourself hahahaa!!

Mbinu za masumbwi hahahha sina mbavu unaweza dhani ni rahisi kiasi hicho nawewe ujaribu halafu ukatolewa meno ya barazani yote (Don't try this i'm warning you!).Ila nimependa he is stylish and humorous yaani mbavu zangu hapa zinauma!