31 March, 2011

MWAKA WA VIKOMBE NI HUU, MORO KUMEKUCHA KIKOMBE KINGINE!!

Baada ya Babu wa Loliondo kuvuma kwa kasi ya ajabu tukasikia wa Rombo (fundi baiskeli) bahati mbaya hakuvuma!!!,kaja dogo wa Mbeya Mabatini, mara dada wa Tabora wote bei ya KIKOMBE ILIKUA Tshs 500/= na sasa ni Dada wa Morogoro!!. Tena huyu kaja na 'sale' KIKOMBE 200/=. Toka tusikie KIKOMBE  watu Kibao wapo bize na Vikombe sasa mie sijui  ngoja tuone mwisho itakuwaje HUU MWAKA WA VIKOMBE, inatishaa..


Kwa habari zaidi tembelea kero nyingi blog hapa: http://keronyingi.blogspot.com/2011/03/breaking-news-kuna-dada-wa-mji-kasoro.html