Showing posts with label Gaddafi. Show all posts
Showing posts with label Gaddafi. Show all posts

25 February, 2011

Vijisenti vya Gaddafi Hatarini Uingereza.

Bank kuu uingereza kuchunguza mali au pesa yoyote inayohusiana na Gaddafi na serikali yake.Imedaiwa kuwepo kwa mabillion ya dola nchini humo kutoka serikali ya Libya pamoja na Gaddafi mwenyewe.Kwa ufupi imebainika kuwepo mali zenye thamani ya pauni Billion 20 ikiwemo pauni Million 10 ya jumba la kifahari lililopo jijini London.Huo kwasasa ni mpango wa serikali ya Uingereza kumlazimisha aachie ngazi kama wananchi wake huko Libya watakavyo.

Tamko hilo la serikali limesisitiza kwa kuwatoa raia wake kwanza toka Libya na baada ya kumaliza ndio uchunguzi wa kina kutaifisha mali za Gaddafi na serikali yake kuendelea.Wakati huo huo Gaddafi amekaririwa akisema wasishangae yeye kuongoza nchi muda mrefu mbona hawashangai Queen?.Alimalizia kwa kusema ataongoza nchi hio mpaka ifikie miaka 57.Pia wataalamu wa umoja wa mataifa wamedai inawezekana zaidi ya watu 3000 wamepoteza maisha nchini Libya kutokana na vurugu za kisiasa zinazo zidi shamiri ichini humo.(Telegraph)

23 February, 2011

Muammar Gaddafi Vows

Col Muammar Gaddafi said he was ready to die "a martyr" in Libya, vowing to crush a growing revolt rejecting his 41-year rule and that has resulted to deadly unrest to the capital and other cities.

He further went on saying "I am not going to leave this land. I will die here as a martyr, "I shall remain here defiant,Anti-government protesters are "rats and mercenaries" who deserved the death penalty, he said in the rambling, 75-minute speech.He also said he would call upon the people to "cleanse Libya house by house" unless protesters surrendered" Gaddafi said all this on state television on tuesday 22nd March 2011.

In response to Libyan ongoing political unrest,The White House said the international community must speak with one voice in response to the "appalling violence" in Libya and Secretary of State Hillary Clinton added, The United States would take "appropriate steps" in time.On the other hand German Chancellor Angela Merkel said she would back sanctions on Libya if Gaddafi did not stop the violence.

While the U.N. Secretary General Ban Ki-moon accused Libya of firing on civilians from warplanes and helicopters, the U.N. high commissioner for human rights said "systematic attacks" on civilians may amount to "crimes against humanity."
(REUTERS)

Latest news has the death toll standing at more than 300, with an 18 month old boy the latest casualty.The conflict in Libya still escalates

Read More:
>>http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-libya-protests-idUSTRE71G0A620110222
>>http://www.allvoices.com/contributed-news/8255290-libya-latest-news-has-the-death-toll-standing-at-more-than-300-with-an-18-month-old-boy-the-latest-casulaty

22 February, 2011

Gaddafi Akanusha kutoweka Libya.


Gaddafi akikanusha kuikimbia Libya (picha toka msnbc)

Mkuu wa nchi ya Libya akanusha kutoweka nchini humo na kusema yupo ila mvua inamzuia kuongea na wananchi.Amekaririwa akisema "I am in Tripoli and not in Venezuela. Don't believe those misleading dog stations," he said, referring to media reports that he had left the country.
Zaidi soma hapa:
http://www.msnbc.msn.com/id/41700027/ns/world_news-mideast/n_africa/

Pia imeripotiwa kuwa ndege mbili za kivita za Libya zimetua kisiwa cha malta baada ya marubani wa ndege hizo kukaidi maagizo kutumia ndege hizo kushambulia waandamanaji nchi humo.Marubani hao ambao wametua Malta kuomba hifadhi ya muda wamekaririwa kuomba kutua kisiwani humo kwa sababu 2, kuomba hifadhi pamoja na kujaza mafuta.


Libyan F1 Fighter jets in Malta International Airport

Marubani hao bado wanaisaidia polisi kwa habari na maelezo zaidi.Pia imedaiwa kuwepo kwa helicopter mbili zilizotua Malta kwa dharura ya msaada zikiwa na raia 7 wa ufaransa.

Zaidi soma hapa:
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.timesofmalta.com/articles/view/20110221/local/two-libyan-fighter-jets-arrive-in-malta-two-helicopters-land
>>http://www.boingboing.net/2011/02/21/mystery-behind-two-l.html