09 April, 2010

Helpful kids......

Ni vizuri sana na ni furaha kwakweli kuona mtoto wako anakusaidia kazi za nyumbani.Japo familia nyingi wanaonekana kusaidia kazi hizo ni wasichana. Hata hivyo wapo walio sikika wakilalamika kwanini watoto wakike ndio wafanye hizo kazi hususani wale wakusoma ambao wanahitaji pata muda wa kujisomea warudipo nyumbani! kama ilivyo ada kwa watoto wakiume ambao kazi za jikoni si kawaida kuona wakisaidia.(hii ni kwa watoto walio day) mie ningetaka kusoma boarding straight kama mambo yenyewe ndo hayo hehehe japo unakua unajifunza kazi za jikoni pindi utapoa anza maisha yako.

Mtu anaweza cheka hili jambo ila ni aibu kuna watu unakuta ashakua mtu mzima hajui hata kuosha sahani ama kijiko.Zamani kuna baadhi ya shule walikua wanafundisha cookery course ambayo sijawahi ona mtoto wa kiume anasoma (Late 90s pale Njombe secondari maarufu kama NJOSS) Ila sina shaka na wale ambao wameishi ulaya maana ifikapo muda wa kurudi makwao wanakua wanakaribia kua ma-chef kabisa maana huku lazima ujue kupika ama sivyo utaishia kula burger na junk food ukaharishe vizuri nyumbani kwako hahahhahha.... Well, nilichotaka kusema hapa ni kua makini na mtoto anayekusaidia na kile anacho kusaidia vinginevyo haitakua kusaidia bali uharibifu wa vitu vyako kama ionekanavyo kwa hio picha. yaani sina mbavu na hio picha naona mama mtoto ashituka na kushindwa kushangaa....

kuwa makini na facebook maana......

yaani hii ni sawa na ile ''if walls could sing'', kuta zinaficha mengi ama kila mtu anacho fanya kingekua visible kwa wote. hehehhe nadhani watu labda watu wangekua makini na matendo yao. Kama uonavyo pichani mdada yamempata anajua mwenyewe alicho kosea lakini hayo ndo mambo yanayo jiri kwenye inbox nyingi facebook, sasa ukikosea ukaandika kwenye wall mambo yanakua kama yanavyo onekana hapo kwa picha. Tujiunge....!!






ungekua wewe ndo hii imekutokea ungefanyaje?

Pata ujumbe mzuri kwa kusoma hii

This is beautiful. Read it to the end...the message is awesome!!!

By T. D. Jakes

There are people who can walk away from you.

And hear me when I tell you this! When people can walk away from you: let them walk. I don't want you to try to talk another person into staying with you, loving you, calling you, caring about you, coming to see you, staying attached to you. I mean hang up the phone.

When people can walk away from you let them walk. Your destiny is never tied to anybody that left.

The bible said that, they came out from us that it might be made manifest that they were not for us. For had they been of us, no doubt they would have continued with us. [1 John 2:19]

People leave you because they are not joined to you. And if they are not joined to you, you can't make them stay..

Let them go.

And it doesn't mean that they are a bad person it just means that their part in the story is over. And you've got to know when people's part in your story is over so that you don't keep trying to raise the dead.. You've got to know when it's dead.

You've got to know when it's over. Let me tell you something.. I've got the gift of good-bye. It's the tenth spiritual gift, I believe in good-bye.. It's not that I'm hateful, it's that I'm faithful, and I know whatever God means for me to have He'll give it to me. And if it takes too much sweat I don't need it. Stop begging people to stay.

Let them go!!

If you are holding on to something that doesn't belong to you and was never intended for your life, then you need to.......

LET IT GO!!!

If you are holding on to past hurts and pains .......

LET IT GO!!!

If someone can't treat you right, love you back, and see your worth......

LET IT GO!!!

If someone has angered you.

LET IT GO!!!

If you are holding on to some thoughts of evil and revenge.....

LET IT GO!!!

If you are involved in a wrong relationship or addiction... ..

LET IT GO!!!

If you are holding on to a job that no longer meets your needs or talents

LET IT GO!!!

If you! u have a bad attitude.... ...

LET IT GO!!!

If you keep judging others to make yourself feel better......

LET IT GO!!!

If you're stuck in the past and God is trying to take you to a new level in Him.........

LET IT GO!!!

If you are struggling with the healing of a broken relationship. ....

LET IT GO!!!

If you keep trying to help someone who won't even try to help themselves.. ....

LET IT GO!!!

If you're feeling depressed and stressed ............

LET IT GO!!!

If there is a particular situation that you are so used to handling yourself and God is saying 'take your hands off of it,' then you need to......

LET IT GO!!!

'The Battle is the Lord's!'

During the next 60 seconds, Stop whatever you are doing, and take this opportunity.. ..

(Literally it is only ONE minute!)

All you have to do is the following:

You simply say 'The Lords Prayer' for the person that sent you this message:

The Lords Prayer

Our Father, who are in Heaven, Hallowed be Thy Name, Thy Kingdom Come, Thy Will be done, on Earth as it is in Heaven. Give us this day, our daily bread and forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us. And lead us not into temptation but deliver us from evil.

For Thine is the Kingdom, and the Power, and the Glory, forever.

Amen.

Next, send this message to everyone you know. In a while, more people will have prayed for you and you would have obtained a lot of people praying for others!

Next, stop and think and appreciate God's power in your life, for doing what you know is pleasing to Him.


If you are not ashamed to do this, follow the instructions!

Jesus said, If you are ashamed of me, I will be ashamed of you before My Father'


'Yes, I love my God. He is my fountain of Life and My Savior.

He Keeps me going day and night. Without Him, I am no one. But with Him, I can do everything, Christ is my strength.' This is a simple test.

If you love God and you are not ashamed of all the great things that He has done for you, send this to everyone you know.

God loves you and watches over you everyday