Showing posts with label Africa.. Show all posts
Showing posts with label Africa.. Show all posts

09 August, 2011

WANAWAKE WADAIWA KUBAKA WANAUME!!!

Huko kwa Mugabe nchini zimbabwe kuna tuhuma za wanawake kuwabaka wanaume kwa makusudi .Ubakaji huo umedaiwa kukua siku hadi siku kwani kwasasa ni kila wiki lazima mwanaume abakwe!.Mkuu wa polisi jijini  Harare Angeline Guvamombe amesema “  wanawake wanao endesha magari ya kifahari huwapa wanaume lifti na kuwapulizia maji maji usoni yanayowafanya wasinzie na baadae kulazimisha kufanya nao mapenzi'' Kwa mujibu wa  the Herald  wiki mbili zilizo pita wanaume wawili walitekwa na kulazimishwa kufanya nao mapenzi chini ya usimamizi wa bunduki. Wakati katika tukio lingine wanawake watatu walimteka mwanaume wa miaka 30 na kumlazimisha kufanya nae mapenzi kwa siku 5!!.


Cha ajabu tangu ubakaji huo kuanza hakuna mtu amekamatwa kwa kosa hilo na polisi wamesema wanawake hawawezi shitakiwa kubaka kwani sheria ya Zimbabwe haitambui kama mwanamke anaweza mbaka mwanaume na hivyo mwanamke anayebaka anaweza shitakiwa tu kwa kumvamia mwanaume kwa nguvu (assault) na kupata adhabu ndogo ikilinganishwa na ile ya mwanaume kubaka.


Hii ni changamoto katika nyanja ya sheria kwani mabadiriko ya wakati yamebadirisha mfumo wa mahitaji.Je kwetu Tanzania hali ikoje katika maswala haya? Wanasheria tuambieni ili tujue mie nikibakwa nijue kama haki yangu ipo ama laa kwani kwa mpango huu hakika wanaume watakua hatarini kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila kupenda!



Kwa habari zaidi soma: HAPA 


23 February, 2011

Pirates kill four U.S. hostages near Somalia.

Somali Pirates shot dead four U.S. hostages on a private yacht on Tuesday, the deadliest incident involving Americans kidnapped for ransom in the increasingly dangerous waters off Somalia.The incident is reported to have happened before the American special forces boarded the vessel,The U.S. military said.

In retaliation the U.S. troops killed two pirates as they took control of the boat, and took 15 pirates into custody. Apparently two other pirates were found dead when the U.S. special forces arrived but they were not killed by U.S. forces, the military said.The U.S Secretary of State Hillary Clinton said her government was "deeply saddened and very upset by the murder of four American citizens" and told reporters that,''more effective approach to maintaining security on the seas, in the ocean lanes are essential to commerce and travel''
(REUTERS)

Read More: http://www.reuters.com/article/2011/02/22/us-somalia-pirates-usa-idUSTRE71L3JP20110222