17 November, 2012

MHE.JACKSON MAKWETA AFARIKI DUNIA,SERIKALI YATANGAZA

17 Novemba, 2012  
 
                                                          
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 
MHE. MAKWETTA AFARIKI DUNIA
 
SERIKALI inasikitika kutangaza kifo cha Bw. Jackson Makwetta kilichotokea leo saa 11 jioni katika Hospitali ya
Taifa Muhimbili ya jijini Dar es Salaam ambako alikuwa amelazwa.
 
Msiba uko nyumbani kwake Boko kwa
Wagogo. Taarifa zaidi kuhusu mipango ya mazishi zitatolewa baadaye. 
 
Bw. Makweta aliwahi kuwa Waziri
katika wizara mbalimbali zikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu kama Waziri wa Nchi, Elimu,
Kilimo na Utumishi.
 
Pia amekuwa Mbunge kwa zaidi ya
miaka 35.
 
 
 (mwisho)
 
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
DODOMA.
JUMAMOSI, NOVEMBA 17, 2012.

15 November, 2012

CHANGAMOTO KUBWA KWA SUMATRA

Ni wazi kwamba suala la usafiri hususani ule usafiri wetu wa umma bado ni kero kubwa katika nchi yetu. Hali hii inatokana na ubovu wa miundombinu, ama mamlaka husika kutowajika ipasavyo au yote kwa pamoja
.
Hapa najaribu kuangazia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa majini na nchi kavu (SUMATRA) ambao ndio wenye dhamana hiyo. Kuna hii kasumba ya daladala nyingi kukatisha au kubadili ruti na kupandisha nauli nyakati za jioni hususani katika jiji la Dar es Salaam,,mfano wale wanaokaa kimara,mbezi Louis washaitwa sana kama 'mawe' (mawe/jiwe ni abiria ambaye anapanda basi mwanzo wa basi mpaka mwisho wa basi bila kushuka na ukitoka k/koo utaambiwa gari inaishia manzese au lipa 1000 kimara hali ambayo kwa sasa imeshazoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida. Ukiachilia mbali daladala,kuna mabasi yaendayo mikoani kujipandishia nauli kiholela hasa kuanzia mwezi novemba, desemba hadi januari

.
Kwa kawaida kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka na mwaka mpya, watu wengi husafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi kwa ajili ya kujumuika na ndugu na jamaa zao, hapo ndipo wasafirishaji huona wamepata fursa ya kujineemesha maradufu isivyo halali. Sasa hivi tayari zimeshaanza kuonekana dalili za nauli kupanda kwa zaidi ya asilimia 15 ya nauli ya kawaida. Mathalani nauli kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya baadhi ya mabasi inasemekana imeshafikia tshs 32,000 hadi 35,000 badala ya tshs 28,000-30,000 nauli ya kawaida

.
Nashindwa kuelewa hawa SUMATRA wanafanyaje katika kuwadhibiti hao wenye mabasi wanaojipa mamlaka ya kujipandishia nauli kwa sababu tu ya tamaa zao na kuwaathiri watumiaji wa usafiri huo. Nakumbuka kuna wakati fulani maafisa toka SUMATRA walikuwa wakifanya ukaguzi wa kushitukiza katika vituo vikuu vya mabasi hasa pale Ubungo. Walikuwa wanaingia kwenye mabasi hayo na kuzikagua tiketi za abiria ambapo wakibaini kuwa nauli iliyotozwa si halali, wenye mabasi walikuwa wakichukuliwa hatua stahili ikiwa ni pamoja na kuamuriwa wawarudishie abiria pesa zao zilizozidi katika nauli ya kawaida.
Lakini shida iliyopo ni kwamba operesheni za namna hii inaonekana ni kama 'nguvu ya soda' ndio maana tatizo huwa linajirudia na kujirudia.


SUMATRA kwa kushirikiana na mamlaka zingine husika wanapaswa kulivalia njuga suala hili, maana kwa jinsi inavyoonekana hii KAZI YAO SI RAHISI kama vile wanavyoichukulia. Ingefaa ule utaratibu wa kufanya ukaguzi wa tiketi liwe ni zoezi la kudumu badala ya kufanya kwa kushitukiza kisha kukaa kimya tena, hali inayowapa mwanya wenye mabasi kujiamulia watakavyo wao na hivyo kuzidi kuwaumiza wasafiri ambao hawana hatia yoyote.Pia abiria waache mtindo wa kununua tiketi vichochoroni badala ya kununua katika ofisi ya basi husika.Ijulikane wazi kua SUMATRA pekee yao bila ushirikiano na wenye mabasi pamoja na abiria haitaweza  baini matatizo/changamoto ambazo zinakua  sugu siku hadi siku

15 October, 2012

ILANI INAPOKUA HAINA MAANA!!!!

Hivi maana ya matangazo kama haya ni nini? Je kuna maana yoyote kua na matangazo/ilani kama hizi ambazo hakuna mtu anaona ni muhimu ziheshimiwe?.Binafsi naona hakuna haja ya kua na ilani ambazo hakuna anayetii.Hii ni dalili au ushahidi tosha kua hii nchi ni ya wavunja sheria, hakuna anayejali.


07 October, 2012

TANGAZA BIASHARA YAKO KIMATAIFA BURE!!!


Ukitaka tangaza biashara yako bure mcheki mdau kama anavo eleza hapa chini
Website http://www.absolutelyawesomethings.com/   inayomilikiwa na kuandikwa na Mtanzania hapa Newyork inatoa offer kwa Mtanzania mahali popote alipo duniani kutangaza biashara/sanaa yake katika website hiyo. Matangazo yatawekwa kwenye website kwa muda wa mwezi mzima, kuanzia  leo tarehe 5/10/2012 mpaka 5/11/2012. Kama wewe ni Mtanzania  na

1. unaduka lililosajiliwa online na unapenda kuitangaza biashara yako au

2. una sanaa ambayo unaifanya mwenye ungependa

 kuitangaza kimataifa.
 wasiliana nami kwa email sophie@absolutelyawesomethings.com.
Hii ni  kutoa shukrani na vilevile kuwapromote wazawa kimataifa kwa juhudi zao wanazozifanya.

04 August, 2012

KISA CHA MSICHANA ALIYESAMBAZA UKIMWI MAKUSUDI

Nimeona si vibaya wasomaji wangu mkaipata hii habari japo imepita muda lakini HIV/AIDS bado tunayo katika jamii na mtu kama huyu ni mfano tu.Ni wazi kua japo ni siri kubwa lakini kuna watu wenye magonjwa kama huyu dada wanaojua ni wagonjwa (mabibi kwa mabwana) wanaambukiza wengine kwa maksudi.Baadhi yetu tunawajua ila tuna kaa kimya na kuona kama haituhusu, lakini ukweli ni kwamba inatuhusu sana maana ile ni 'chain' tu hata wewe unaweza pata UKIMWI kupitia mtu huyohuyo unaysema hakuhusu.Naomba nieleweke kua wale wanaowajua wathirika na wanasambaza virusi vya 'UKIMWI'  kwa makusudi walipotiwe kwenye vyombo vya dola ili wachukuliwe hatua za kisheria kwani si ustarabu.


Kusoma kisa kilichonifanya niandike haya  bofya HAPA

ETI MBONA HUKUI KULIKONI?


04 June, 2012

Latest News - Diesel Vs Petrol


Diesel engines used to be noisy, smelly and somewhat agricultural. Then car makers wised up, made the engines cleaner, more powerful and refined, and with diesel cheaper than petrol at the pumps, the fuel suddenly became more viable. Not for long. With the Chancellor making diesel pricier than petrol, choosing between the two fuel forms is now no longer as clear cut.

If it was purely down to miles per gallon, diesel would win. Easily. A Ford Fiesta 1.4 TDCi returns a quoted Combined consumption of 69mpg. The petrol equivalent of the same capacity does 49mpg.

But petrol hits back with the model’s purchase-price advantage. The petrol Fiesta in three-door Edge trim would set you back £12,195. The diesel version costs £12,995. And the difference isn’t going to get smaller. Ford Powertrain’s director Andrew Fraser explains: “Diesel engines are getting more expensive to build due to increased legislation. Last year a diesel particulate filter (DPF) had to be fitted, which required an injection upgrade. In 2015, they’ll have to abide by Euro VI emissions standards, so most diesel engines will need a Nitrogen Oxide trap. It’ll all add up to making the payback period for diesel longer.”

The addition of DPFs in particular has been contentious. Vanessa Guyll from the AA’s technical services says: “The DPF and exhaust gas recirculation mean diesels really aren’t viable for short journeys and town work. The DPF doesn’t get hot enough to clear itself out. We get called to about 700 breakdowns a month for blocked DPFs.

“For anyone who potters around town and doesn’t do journeys that are a minimum of 10 miles we wouldn’t advise a diesel. Any savings owners might make on road tax would be quickly wiped out by fixing problems with the emissions equipment if usage isn’t suitable.”



 Wewe unasemaje?

28 April, 2012

MATANGAZO YALIYOSHAMIRI MAGAZETINI NA KWENYE MABANGO MITAANI


                                            Eti mafanikio siku 3, hivi hii imekaaje?

19 April, 2012

MZEE WA VIJISENTI WA NIGERIA AFUNGWA MIAKA 13

Gavana wa zamani wa moja ya majimbo tajiri Nigeria, (Delta State) bwana James Ibori afungwa miaka 13 jela.Bwana Ibori alikamatwa mwaka 2010 Dubai kwa makosa ya kujipatia mamilioni kwa njia ya udanganyifu.Mheshimiwa huyo wa ugavana jimbo tajwa kwa miaka ya 1997-2007 baada ya kukamatwa alipelekwa nchini Uingereza ambako alikua ameweka baadhi ya pesa na kununua majumba ya kifahari kwa mahojiano zaidi na polisi mpaka kufikia uamuzi huo wa kufungwa miaka 13 baada ya kuthibitika.Sambamba na hilo mheshimiwa atafilisiwa kwa maslahi ya taifa hilo kubwa kabisa balani Afrika,hususani Afrika Magharibi.


Jeshi la polisi nchini Uingereza lilishangazwa na manunuzi ya gavana ambaye inasemekana mshahara wake ni 4000£= 10Million za  Ki Tanzania kununua nyumba moja kwa gharama ya 2.2 million pounds sawa ma takribani Billion 2 na nusu za kitanzania, pia alinunua nyumba nyingine kwa  £ 311,000 (UK), pia kanunua mansion South Africa kwa £3.2Million, Magari kadhaa aina ya Range Rovers kwa £600,000, Gari aina ya Bentley £120,000, Mercedes Maybach kwa Euro 407,000.


Kweli Africa raha huyu ni kiongozi mmoja tu!! Je serikali zetu zina pesa kiasi gani? (TAFAKARI......!!!!!)


Kwa habari zaidi soma HAPA

10 April, 2012

KUMBE POLISI NAO HUIBIWA!!!

Habari toka majuu (Kwa Malikia/UK aka Ukerewe) zinasema maelfu ya pauni za Uingereza aka Great Britain Pound (GBP) yaliyokua mikononi mwa polisi yaibiwa. Pesa hizo ni zile ambazo zilikamatwa kutokana na upatikanaji wake kuhusisha njia ya udanganyifu na kuhifadhiwa katika ghala yenye ulinzi mkali katika kituo kimoja cha polisi wakati uchunguzi zaidi ukiendelea. Watu watatu walitiwa hatiani kuhusishwa na sakata hilo.Hata hivyo pesa hizo kiasi cha 113,000£ zapotea katika mazingira ya kutatanisha.Uchunguzi unaendelea na hakuna polisi wala raia aliyetiwa hatiani kutokana na upotevu huo..Inashangaza eti pesa ikaibiwa kituo cha polisi!!.Hivi polisi hazina bank accounts?.Kweli Duniani kuna mambo!!

Kwa habari zaidi soma HAPA

MAZISHI YA KANUMBA KUFANYIKA LEO KINONDONI MAKABURINI BAADA YA MISA NA KUAGWA RASMI VIWANJA VYA LEADERS CLUB




RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA

Kamati ya mazishi ya msanii Steven Charles Kanumba yatoa taarifa ya ratiba kwa vyombo vya habari ya utaratibu wa kumpeleka katika nyumba ya milele msanii huyo ambaye alikufa Ijumaa Aprili saba usiku.

Msanii huyo ambaye atazikwa katika makaburi ya Kinondoni amefanyiwa utaratibu ambao utamwezesha kila mwenye kuhitaji kushiriki mazishi hayo kuweza kumuaga. 

   Mwili wa marehemu utachukuliwa kwa msafara kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili saa 2.30 asubuhi. Utapitishwa barabara ya Umoja wa Mataifa na Ali Hassan Mwinyi hadi viwanja vya Leaders Club, Kinondoni ambako Misa ya kumuombea itasomwa pamoja na salamu mbalimbali kabla ya watu wote kumuaga. 

Kamati hiyo imetoa wito kwa watu kujitokeza kwa wingi kuanzia saa mbili asubuhi kumuaga katika barabara ambazo atapitishwa . Saa 3.30 asubuhi mwili wa Kanumba utapokelewa viwanja vya Leaders ukitanguliwa na mapokezi ya wazazi wake, viongozi mbalimbali wa serikali ambao juu yao kabisa atakuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Mohamed Gharib Bilal. 

 Saa 4.00 itakuwa ni muda wa kusoma Misa ambayo inakadiriwa kuchukua dakika 60 na saa 5 itakuwa kipindi cha salamu kutoka kwa watu mbalimbali. Saa 6.00 mchana ratriba ya kumuaga Kanumba itaanza mpaka saa 9.00 alasiri na baada ya hapo utakuwa wakati wa kuusafirisha mwili kwa msafara kutoka Leaders Club mpaka makaburi ya Kinondoni.Msafara huo utapitia barabara ya Tunisia, utakatisha barabara ya Kinondoni kuelekea makaburini. 

Sa 10.00 maziko yatafanyika kwa kufuata taratibu za imani ya marehemu. Kamati hiyo ya mazishi inayoongozwa na Gabriel Mtitu imewaomba wananchi watakohudhuria shughuli hiyo kwenda na maua ili kumuaga kwa heshima. Ibada na maziko vitafanyika kadri ya imani ya marehemu. Utulivu, unyenyekevu na ustahimilivu ni mambo muhimu yanayohitajika katika kipindi chote cha kumuaga mpendwa wetu Kanumba. 

BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA. Sisi wote tulimpenda kwa dhati na tulitamani aendelee kuwa nasi siku zote ila Mungu aliyemleta kwa mapenzi yake ameamua kumchukua. Jina lake lihimidiwe. 

                     K.N.Y GABRIEL MTITU MWENYEKITI WA KAMATI YA MAZISHI


24 March, 2012

LCD TV ORIGINAL KWA BEI POA


Brand new Original Panasonic plasma Tv 50 Inch (127cm) for sale ***Made in the United Kingdom (UK)*** For Serious inquiry please email: rijaki@ymail.com OR Call: 0655 222523;Location: Dar es salaam.Delivery + Installation  free of charge (In Dar es salaam only)


NB:Other brands include Toshiba & LG , size from 40 to 50 inches.(  Zote ni flat screen  unaweza bandika ukutani,  pia utaletewa TV popote Dar na kuunganishiwa  bure)
 

Product Features and Technical Details
Product Features

• VIERA HD Ready 50-inch Plasma TV
• 100Hz Double Scan for ultra-smooth picture quality
• Dynamic Contrast 2,000,000:1
• VSmart Networking with VIERA Link and VIERA Image Viewer (integrating Photo and Video)
• Game Mode, V-Audio Surround

TV Tuner:
Integrated Tuners: PAL-I, DVB-T
Tele text Reception: 1000P Level 2.5, FASTEXT/LIST

Display
Screen Size: 50" (127 cm) diagonal
Panel: G13 Progressive HD Plasma Display Panel with Tough Panel
Viewing Angle: Viewing Angle Free
Resolution: 1,024 x 768 (16:9)
Applicable Scanning Format:
FULL-HD 1125: (1080)/50i, 1125 (1080)/60i, 1125 (1080)/24p (HDMI only), 1125 (1080)/50p (HDMI only), 1125 (1080)/60p (HDMI only)
HD: 750 (720)/50p, 750 (720)/60p
SD: 525 (480)/60i, 525 (480)/60p, 625 (576)/50i, 625 (576)/50p
Contrast Ratio (in dark surroundings): 2,000,000:1 Dynamic
Moving Picture Resolution: 720 lines
Intelligent Frame Creation: 100 Hz Double Scan
24p Smooth Film/Plaback Plus/Playback: 24p Playback
Shades of Gradation: 4,096 equivalent steps of gradation
Deep Colour (10/12-bit): yes
3D Colour Management: yes
Picture Mode: Dynamic/Normal/Cinema/True Cinema/Game/Photo
Vreal: Vreal 5

Sound
Speakers: 2 x 10 watt 2 Speakers
Sound Mode: Music/Speech/User
Virtual Surround: V-Audio Surround
Dolby Digital Out/CoNEQ: Dolby Digital

Input/Output
CI (Common Interface)*: yes
VIERA Image Viewer: yes (AVCHD/SD-VIDEO/JPEG playback)
HDMI Input/ Support Feature: 3 (1 side, 2 rear)/ Audio Return Channel (Input 2)
Composite Video Input: AV3: RCA phono type x 1 (side)
Audio Input (for Video): AV3: RCA phono type connectors (L, R) (1 set, side)
Component Video Input: RCA phono type x 3 [Y , PB, PR] (rear)
Audio Input (for HDMI, PC, Component) RCA phono type connectors (L, R) (1 set, rear)
21-Pin Input/output: AV1: AV In/Out, RGB In, Q-Link (rear) / AV2: AV In/Out, S-Video In, RGB In, Q-Link (rear)
Analogue Audio Out: RCA phono type connectors (L, R) (1 set rear)
Digital Audio Output (Optical): yes
Headphone Jack: 1 (side)
Features
EPG: yes
VIERA Tools: yes
VIERA Link: yes (HDAVI Control 5)
Multi Window: PAT
C.A.T.S. (Contrast Automatic Tracking System): yes
Game Mode: yes
Q-Link: yes
Off Timer: yes
Child Lock: yes

General
Wall mountable: yes
Power Save Mode: yes
Power Supply: AC 220 - 240 V, 50/60Hz
Rated Power Consumption: 265 W
On mode Average Power Consumption: 201 W
Standby Power Consumption: 0.4 W
Dimensions (W x H x D) (w/o stand): 1,218 x 769 x 93 mm
Dimensions (W x H x D) (with stand): 1,218 x 814 x 401 mm
Weight (w/o stand): 31.5 kg
Weight (with stand): 33.5 kg
Boxed product : 40kg
Wall Bracket: TY-WK4P1RW (not included)
Remote Control:Yes (included)

11 January, 2012

Laptops,Tv na simu bei poa.!!!!!!!

Kwa mahitaji ya laptops i.e Acer (i3 Processor,HDD 750GB,6GB RAM) ,Dell (INSPIRON 5030, HDD 500GB, 3GB RAM;Compaq (CQ50, HDD 250, 3GB RAM), 


1.Acer:(Grey,15.6'HDD750GB,Ram 6GB,Cam)







2.Dell:(Black,15.6'HDD 500GB,Ram 3GB,Cam)

3.Compaq:(Colour Black,15.4'' HDD 250GB,Ram 3GB,Cam)




Plasma Tv (flat screen) i.e Toshiba,Sony,LG,Panasonic,Samsung (size from 32 inch to 50) :Simu i.e iphone4 (Capacity 8GB, Black),BlackBerry Curve (ile mpya) no 9360,& Bold no 9900 (ile mpya), Nokia C5, N8 zote toka Uingereza.Kununua piga simu :0655222523, bei poa