30 June, 2010

Sikiliza Antvirus ya Sugu A.K.A Mr II

Hi ndio antvirus ya MR Sugu ambaye siku za karibuni aliwekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa mahojiano kwa kilicho daiwa 'kutaka kuua kwa maneno'' kama vyombo mbalimbali vilivyo ripoti. Hata hivyo bwana Sugu amedai kuachiwa kwa kujidhamini yeye mwenyewe.Pamoja na mambo mengine watu wengi wanasema kukamatwa kwake ni kutokana na kua mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kwani kuua kisanii ama kimuziki ni neno la kawaida mfano: jamaa kaua leo stejini/jamaa kavunja mbaya... yaani kaimba vizuri zaidi au sasa nakuchana live ikiwa na maana 'sasa nakusema hadharani'

Hata hivyo hakuna anaye jua ukweli halisi ulioko nyuma ya pazia katika zogo hilo japo kua watu wame chanwa live katika huu wimbo maarufu kwa jina la antvirus.Binafsi pamoja na kuheshimu haki za binadamu (freedom of expression/freedom of speech) naona nyimbo iligusa zaidi maisha binafsi ya watu kwa mtindo wa kukashifu na sio kutoa ujumbe unao kemea uonevu ama ukandamizaji wa baadhi ya vituo vya Radio kwenye tasnia ya muziki maarufu kama bongo flava/hip hop.Ni mtazamo tu zaidi sikiliza wimbo then toa maoni yako kama jamaa yuko sawa au(sio sawa) na harakati za kuikomboa tasnia hio inayo daiwa kujaa unyonyaji wa hali ya juu,upendeleo na udididmizi wa chini chini.

Mjue demu wa Jaffarai....hahahahah

Huyu ndio demu wa Jaffarai yaani sina mbavu dakika ya 1:28-30 na 1:52.yeye anasema hata akitumia hela kibao kwa 'huyo demu wake' hakuna noma na haoni shida. Je wangapi tuna mademu wa hivi? Je ni kweli ukiwa na demu unakua stress free? Na je pombe inafaa kufananishwa na demu? Kama jibu ni hapana toa sababu za msingi na Kama jibu ni ndio, je ni kweli kwamba inaondoa stress kama wengi wanao kunywa na kusema wanaondoa stress?

object width="480" height="385">

More from my inbox....

NB:Whenever you see an e-mail of this kind in you are inbox just delete or spam it.Be informed!


DEAR,

I AM MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO.I WORK IN THE REMITTANCE DEPARTMENT OF AFRICAN DEVELOPMENT BANK, OUAGADOUGOU BURKINA FASO.I HAVE A BUSINESS WHICH WILL BE BENEFICIAL TO BOTH OF US.

THE AMOUNT OF MONEY INVOLVED IS [$36.2MILLION US DOLLARS] WHICH I WANT TO TRANSFER OUT OF THE COUNTRY TO YOUR BANK ACCOUNT, ALL TO MY FINANCIAL BENEFIT AND YOURS TOO AND ALSO TO FLY MY WIFE TO UNITED STATE OF AMERICA FOR TREATMENT OF LUNG/BREAST CANCER, THIS MONEY IS OWNED BY A MAN CALLED [JAMES HEBREW] A BUSINESS COMMERCIALIST IN WEST-AFRICAN REGIONS. HE HAS BEEN DEAD SINCE TWO YEARS AGO AND SINCE THEN NO CLAIM HAS BEEN PLACED ON HIS BANK ACCOUNT BALANCE.

I WANT TO TRANSFER THIS MONEY OUT OF THE COUNTRY BUT SUCH FUND CAN NOT BE TRANSFERRED WITHOUT A NEXT OF KIN ATTACHED TO THE FUND. THE FUND COULD BE TRANSFERRED IN THESE WAY; [YOU SHALL PRESENT YOURSELF AS A RELATIVE & BUSINESS ASSOCIATES TO THE DECEASED PERSON [JAMES HEBREW] DETAILS SHALL BE THAT YOU ARE THE CARE-TAKER TO MR.JAMES HEBREW PROPERTIES.

I SHALL MAKE AVAILABLE TO YOU MATERIALS AND INFORMATION WITH WHICH A SUCCESSFUL CLAIM SHALL BE PLACED ON THE FUND. I SHALL BE YOUR GUIDIANCE AND INSTRUCTOR THROUGHOUT THE DURATION OF THIS TRANSACTION SO AS TO ENSURE A SWIFT AND SURE TRANSFER OF THE FUND TO YOUR BANK ACCOUNT.

AS TO YOUR BENEFITS, YOU SHALL BE ENTITLED TO 40% OF THIS FUND, FOR YOUR CO-OPERATION IN THIS TRANSACTION. SO IF YOU ARE INTRESTED, SEND A REPLY TO ME IN YOUR REPLY PLEASE INCLUDE YOUR [PRIVATE PHONE AND YOUR FAX NUMBERS] URGENCY HAS TO BE IMPLIED AND THIS BUSINESS MUST STRICTLY BE A DEAL BETWEEN BOTH OF US.

BEST REGARDS,
MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO
+22678300289

29 June, 2010

My inbox 4u....

As usual today I've got this e-mail in my inbox out of hundreds and I thought it's important to share it with my readers .You can think i'm funny but factually at least everyday I do delete e-mails of this kind just to clean up my inbox.

And as I promised some days back that, I will not stop posting them in this blog just to attract public attention within the context of fraud and the need to take precautions. So,this is just a sample of many others within which illegal money is being generated.So be informed and where possible let others know about this and or ignore it at you are own risk!.

I know for some people this may seem ridiculous and useless 'by the looks of it'.As such, that will not stop me from posting them with full confidence under this very sub title'' To whom it may concern'' and so if any one out there falls prey without his/her knowledge that will be a bad luck.

Hereunder is what i'm talking about,you can go through and see it for yourself!
.....................................................................................................................................................................


Dear Sir,

First, I must apologise to you for using this medium to communicate to
you about this project.I am a highly placed official of Government of Nigeria and also a founding member of the ruling party in Power now, the Peoples Democratic Party
(PDP).

I am member of the contract review committee of the Nigerian national
petroleum co-operation which is in charge of managing and supervising the
disbursement of oil sales revenues for the Nigerian government which
covers payment to foreign and local contractors who has executed contracts
for our country.

The revenues under our control runs into several hundred
of millions of dollars monthly. My self and other colleagues in the (NNPC)
are currently in need of a foreign partner with whose bank account we
shall transfer the sum of eleven million united states dollars United
States Dollars($11m).

In the year 2004 the federal government of Nigeria through the ministry of finance awarded contracts estimated to the tuneof seventeen million united states dollars while My self and other colleagues in the (NNPC) sumbmitted receipt for the tune of $28 million increase or inflate the amount to twenty eight million united states dollars) to the Nigerian national petroleumco-operation (NNPC) as a joint venture with a foreign partner, alveco oil of which the said contract have been
implemented and carried out with a total amount of ($17 million) seventeen million united states dollars) leaving behind the balance of ($11 million)eleven million united statesdollars) in excess have been deposited in a security account deposited (sad)here in Nigeria.

However, to make fortune out of this opportunity,
by virtue of our position as civil servants and members of the (NNPC), we cannot acquire this fund in our name. This is because as top civil servants, we are not
allowed by law of the land to own or operate foreign bank accounts outside
our country for now.

And there is the need to transfer this fund to a reliable account. It is
therefore on this note that i have been delegated as a matter of trust by
my colleagues, to look for an overseas partner in whose account we would
transfer the fund hence the reason for this mail.

I will want to front this buisness by standing as the contarctor/sub-contractor of project We shall be Transferring the money to your account with your company as the beneficiary and you are been paid for a contract which you executed for our country through the (NNPC) and any other Federal Ministry that we decide to use to siphon the
funds through.

Firstly, our conviction of your transparency.
Secondly, that you treat this transaction with utmost secrecy and
confidentiality. Finally and above all, that you will provide an account
that you have absolute control over.

Note that we have concluded arrangements for the release of the
aforementioned sum to your bank within the shortest possible time as soon
as we conclude talks as we have put in place perfect machineries that will
ensure a hitch free transfer into your account upon acceptance, my
colleagues and myself have made arrangements as to how the eleven million
united states dollars) will be shared; (25%)twenty five percent for you,
(65%)sixty five percent for us,(10%) ten percent for miscellaneous
expenses.

should you be interested please endeavor to send me your tel/fax
number to my personal e- mail address; whether or not this offer is
acceptable to you, so as to enable us make other alternative contact on
the contrary.

Finally, let me state here that this transaction will take (10-14) working
days to conclude depending on your quick response, and it is legitimate
and there is no risk or legal disadvantages either to ourselves or
yourself now or in the future you are to treat with utmost
confidentiality.

I await your urgent reply on this transaction while you acknowledge your
receipt upon this letter
Best regard
Bello Kareem

26 June, 2010

Ingekua vipi.....

je uko tayari kua kama huyu responsible father? je ndugu, jamaa na marafiki wakikuona uko hivi watasemaje? Limbwata? je ni vibaya kumsaidia wife kama hivi? Mimi naona hii too much hata kama kazi kusaidiana home.Yani nioshe vyombo na mtoto mgongoni tena pengine wife anaangalia TV!!! Sijaoa bado lakini nadhani hii haijakaa sawa. siwezi osha vyombo na mtoto mgongoni na wife anaangalia TV... wewe unaonaje hii?

World Cup Excuse to cheating...

Cheating is not an easy task as some people would think.As such cheating is even harder when the person you intend to cheat knows better than you (Brave). To me it is ridiculous cheating unnecessarily to your beloved one.And the funniest thing is, You call him/her the one and only literally in essence. Why literally? the reason is obvious you don't mean what you said earlier. Wonderful enough big events including World Cup seems to be used as an excuse
for cheating to couples, so Abiria chunga mzigo wako!

If you look at this cartoon, you will definitely know the position of yours in line with cheating and lying.I don't want to go into details but I hope everyone knows 'cheating' has been there since, the only difference between now and them days back is basicly the so called globaliziation.With the introduction of new technologies including Mobile phones, internets the World has now been made smaller than before.

It is said the world is as small as a village and the increased mobility of people and the means of communications has over time fostered the situation. Taking mobile phones as an example you can contact the person instantly based on the network coverage locally/internationally.

Phones in general have both merits and demerits depending on the usage.Mobile phones for example are good to cover unpleasant behaviour including cheating as seen in the cartoon hereunder. Imagine you make call to a person and he/she answers like this ''sorry dear i'm so sleepy i can't speak clearly'' At the very same minute you hear this,''please two pints of VODKA for me and my love'' In essence this is what exactly happens in this cartoon, You all watch the same match!! why different teams????? Egypt is not among the teams in the 2010 World Cup! shame on you kama upo lol! hapo usikute hallo na mbona sikusikii nyingi mpaka basi. I call it failed cheating!.

See for yourself how instant mobile phone works here hahahahaha! So funny.



Kama haitoshi Now for those who are married, they think land line/home phones are better than mobiles because you've to be there (Home) in order to pick up the phone.So with the introduction of phones cheating has seemingly spotted to have increased due to easy and increased commuincations/interactions which is true but that shouldn't be a point to say cheating has just began.

It is just that, now is easy to reach the person/identify and finally know if there is any cheating going on or about to happen if the person is not smart enough though it is not always the case since there is no perfect being, no one is smart all days, that means one day you will fall prey (Caught) so stop cheating!

What would be you are views on the introduction of phones in relation to cheating?

21 June, 2010

Kazi kweli kweli...

Kufuatia maandalizi ya kombe la Dunia ambalo kwa sasa limepamba moto na timu za Kiafrica kuendelea kuadabishwa huko kwa mzee madiba/South Africa.Kuna habari kwamba maandalizi hayo yali enda sambamba na kung'arisha jiji la Cape Town kwa kuhamisha masikini wote kwenda sehemu nyingine kwa kile kilicho daiwa kuweka mji safi 'wageni/waheshimiwa wanakuja!.

Hio imesemekana kutokea ili kujenga taswira nzuri ya mazingira kwa kuzingatia ujio wa kombe la dunia ambalo South Africa ndio wenyeji.Kutokana tukio hilo maalum kabisa na kuzingatia ujio wa mastaa/matajiri/viongozi mbalimbali duniani, wenyeji hao wamelazimika 'kung'arisha mji'.

Habari zinasema kiini macho hicho ni kwajili ya kufanya wageni watambue kua nchi hio imeendelea na haina matatizo makubwa ya umasikini kwa kuficha masikini wote walio kua wakiishi karibu na uwanja ambako mashindano ya kombe la dunia yana fanyika/endelelea hivi sasa.Hii haina tofauti na ile ya kujenga barabara vizuri mara tu kiongozi mashughuli akiwa anatembelea eneo fulani, ni kiini macho cha kawaida kwa nchi nyingi za Africa.

Soma zaidi hapa http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2010/06/10/AR2010061002060.html.

11 June, 2010

Tyson wa sasa......

Je wewe ni mpenzi wa Mike Tyson, they call him 'the one and only' kutokana na record yake nzuri katika anga za boxing (aka Ngumi za kulipwa). Basi 'the one and only; ni kama lilikua jina kila kwenye mpambano lazima usikie 'the one and only'.Je wewe ni mmoja wao wa waliokua wanaamka usiku kuangalia mpambano wake? Mbaya zaidi kwakua ni usiku sana hasa kwa wale tuliokua bongo basi kabla usingizi haujaisha vizuri pambano limeisha kwa ile maarufu kama 'knock out' hii ilikua ndio style yake at the very first beginning ya mpambano wake.Ilikua inaboa kiasi fulani, je una kumbuka enzi hizo ulikua wapi? Twambie.. (LOl!)

Tukiachia mbali vurugu zake mtaani mwana masumbwi huyu amestaafu fani hio na sasa anajiita baba safi wa familia na ule wote ulikua utoto tu sasa ashakua.

Msikilize hapa:


Basi kwa wale ambao hatujamuona karibuni leo mtamuona hapa hapa The Network.Kama ilivyokua taabu kumtambua aka 50 ambaye kwa sasa amepungua kiasi cha kutisha kimuonekano.Msanii huyo maarufu toka marekani yuko bize na kusaka noti hadi kwenye movie!! Aidha hali imekua tofauti kwa Tyson ambaye sasa amekua bonge la mtu kutoka six pacs mpaka sijui niite one pac hahahahaha!

Basi ni maisha tu yana badirika kutokana na malengo kama ilivyo kwa 50 Cent ambaye ameamua kwa maksudi kupunguza uzito ili aendane na movie ya 'Things Fall Apart' ambayo imetengenezwa kwa kumbukumbu ya rafiki yake aliye kufa kwa cancer. Na katika kuuvaa uhusika wa mgonjwa wa Cancer ilibidi apunguze uzito kiasi ambacho kila mtu ameshangaa ama kuendelea kushangaa

50 Cent wa zamani:


50 Cent wa sasa baada ya kupunguza uzito:



Tyson wa sasa katika picha:


(Picha toka starpulse.com)

Na hii



Tyson wa zamani japo kwasababu zinazo julikana sitaweka pambano alilo pigwa (LOL!):


Hii pia


Ya mwisho zaidi nenda YOUTUBE!

09 June, 2010

Maswali yangu leo!

Tazama hii picha kisa niambie wewe ungekua ndo mkuu wa Mkoa/Wilaya ya nanihii na watoto ndio wako darasani kama hivi je ungekubali kutembelea LANDCRUISER VX/GX/TX tena V6 /V8 yenye injini size 4.7 Litres au zaidi???




Au ungesema upewe Escudo/Vitara,Hilux Surf, Rav4,Discovery,Freelander,Honda –CRV???? Nimetaja hizi gari kwani zote ziko na 4WD (kama kigezo ni 4WD) tena injini size haizidi 3 Litres. Tutasema hatuna hela au katika vipaumbele vyetu Elimu haipo??? Sijawahi sikia serikali imekosa hela ya kununua shangingi!!! Na kama wanapata ya mkopo basi wakope wajenge shule hii sio haki!!Je mtoto aliesoma shule kama hii na kwa mazingira haya ataelewa anacho fundishwa maana hapo MAKALIO YANA WAKA MOTO!!

Akifeli huyu nwanafunzi nani alaumiwe?? (mbaya zaidi siku zote mwanafunzi akifeli atalaumiwa HASOMI,JINGA, HALI HUDHURII VIPINDI(TRUANT) na maneno mengi ya aina hio) Hapa hata ningekua mimi kwa kuheshimu umuhimu wa makalio yangu nisinge soma!!! Niite jina lolote sawa tu (Lol!) kisa cha kuota sugu ya makalio?!!

Je mwalimu pamoja na wanafunzi wana raha gani kukaa katika pagari kama hili??? Hapo kuna kuelewana kweli?!! Kwani ni wazi hapa mwalimu ana woga jengo laweza anguka muda wowote, hali kadhalika wanafunzi!! Hivi wimbi la wanafunzi watoro likiongezeka nani alaumiwe?? Je tuseme sehemu kama hii hakuna viongozi?? Kama wapo nini mchango wao kwa jamii au ndo tuseme aliye shiba hamjui mwenye njaa?? Au tuseme eneo kama hili halina mgao wa bajeti?? Ok je hata wananchi imeshindikana kukusanya nguvu kupitia viongozi (kupitia mpango wa kushirikisha wananchi kujenga shule) ili kuboresha mazingira kama haya?? Ni kweli serikali haiwezi fanya kila kitu ila hii haijakaa sawa!

Cha ajabu kabisa ukute kiongozi aliye pewa dhamana na eneo hili hana habari kama kuna shule ipo namna hii kwani yeye na ofisi ofisi na yeye.Swali la mwisho…Kuna haja gani kua na VX/GX nyingiiiiiii wakati kuna sehemu kama hizi zinazo hitaji kuboreshwa? Hii ni sehemu moja tu ya Elimu sasa tukienda mambo ya Afya sijui hali ikoje sehemu kama hii!! Sitashangaa kama wamama wale wajawazito wanajifungulia PORINI!! Na vitanda hospitali zilizo na aspirin na panado tu au kukosa vyote na kulala mzungu wa nne ni anasa!!

Kwakweli nilishindwa kushangaa kuona eti Mbunge wa CHADEMA Mh Ndesamburo alitaka toa gari kituo cha afya huko moshi kama alivyo ahidi kwenye kampeni badala yake akapewa masharti magumu ikiwemo kufuta jina la mtoa msaada!! Hii sijui niite nini kwani hakuna asiyejua kama magari ya misaada yana majina ya wafadhili ubavuni, huyu ni MTanzania kabisa kaambiwa afute jina lake kama sio chuki za kisiasa ni nini? (hio ni aka Cheap politics) Siku nyingine mtu kama huyu/mwingine mwenye huruma kama hio atakua na moyo wa kusaidia??

Kwa habari zaidi soma hapa : http://www.habaritanzania.com/articles/2624/1/Moshi-waukana-msaada-wa-mbunge-wa-upinzani.

Pamoja na mambo mengine changamoto yangu ya leo kama kweli tunahitaji maisha bora kwa kila Mtanzania tuwe makini na vipaumbele vyetu na tusiweke chuki za kisiasa mbele kwani mwisho wa siku 'fahari wawili wakigombana nyasi ndio huumia' hapa wananchi/walipa kodi ndio wanaoumia. Tubadirike!

08 June, 2010

2 doctoral studentships in Psychology at Goldsmiths, University of London - Department of Psychology (UK)

Overview
Two doctoral studentships funded by the European Research Council (ERC) are available from September 2010 in the Department of Psychology, Goldsmiths, University of London. You can apply for either a 1+3-year (Masters and PhD) or a 3-year doctoral programme. You will work under the supervision of Dr Andy Bremner, as part of a research team funded by a 5-year ERC grant, ‘HEMSDEV: An Investigation of the Construction of Human Embodied Multisensory Experience in Infancy and Early Childhood', and will have access to, and training in, both behavioural and neurophysiological (ERP) methods.

Allowance

A stipend of £19,250 per annum will be provided. You will be expected to pay your own university fees (£3,500 per annum).


Qualifications


Applicants for a 1+3 studentship should have a good first degree (1st class, high 2:1, or equivalent) in Psychology or a closely allied discipline. Applicants for a 3-year doctorate will normally be expected to hold a Master's degree in an area related to Psychology. The successful candidate will demonstrate a strong aptitude and motivation to work in a research team, undertaking both collaborative and individual research projects in a scientifically rigorous way. We are also looking for a candidate who will be able to work with infants, children and parents, present research at national and international scientific meetings, and submit research manuscripts for publication on a regular basis.


How to apply
There are a number of forms to submit, as outlined below. You must complete the first two of these, and you may need to complete the third, so please read the explanations carefully here: http://www.gold.ac.uk/psychology/programmes/studentships/howdoiapply/

For more information on the application process, please visit our website www.gold.ac.uk/psychology/programmes/studentships/kindsofresearch/hemsdevprojects and/or contact Dr Bremner on +44 (0) 207 078 5142 or a.bremner@gold.ac.uk.

Application deadline

Applications should be submitted by 30 June. Short-listed candidates should expect to be notified by 7 July for an interview between 15-20 July
For More Read: http://www.gold.ac.uk/psychology/programmes/studentships/kindsofresearch/hemsdevprojects/



07 June, 2010

Hivi ndivyo ilivyokua leo Tanzania vs Brazil

Angalia mwenyewe kisa toa maoni yako!



Aidha sishangai kwa wale walosema hawashabikii Tanzania (Taifa stars )hata kidogo japo kua ni wa Tanzania halisi!.Kama hii ilikua njia ya kutangaza Tanzania kiutalii ama vyovyote ni vema kungekua na njia mbadala kutangaza huo utalii.Tanzania ni nchi masikini sana na haistahili kufuru ya namna hii wakati huu ambao bajeti yetu bado haijitoshelezi bila misaada toka nje.

Au sivyo labda kama Brazil wamecheza na Tanzania kama ile soccer aid ya England vs ROW( The Rest of the World) kwa lengo la kusaidia nchi masikini.Lakini kama ndio tumejifanya kulipa basi walipa kodi hawana haki kwani hakuna asiyejua kama soka ni miongoni mwa michezo ya ghari duniani.Pamoja na kutambua kua ukitaka pesa tumia pesa kuna haja ya kuangalia namna hio pesa unayo wekeza italeta matokeo gani na si kuwekeza tu ilikufurahisha watu.

Nina amini watu wa utali wanao watalaamu wa kutosha kuweza kushauri namna endelevu na yenye manufaa katika kutangaza utalii.Sina hakika kama hii ndio njia nafuu wameweza shauri itumike kutangaza utalii.Na kwa mtindo huu neno 'misuse of public funds' halitakufa midomoni mwa walipa kodi mpaka hapo watakapo zinduka na kusema 'enough is enough bye bye doxa World!'

Mwisho kabisa labda niulize swali Ivi hela za kuwalipa hao Brazil nani anatoa/zimetoka wapi? Na kwa kiasi gani zitakua na manufaa kwa taifa changa kama Tanzania ukizingatia gharama ya kuwaleta? Je hio ndo njia nafuu kabisa ya kutangaza utalii Tanzania?