13 May, 2010

Burudani anga za bongo flava..

Watu walisema sana kama huu muziki wa kizazi kipya hatutafika popote/mbali kutokana na watu kuingia kwa fujo/kasi lakini siku hadi siku wazidi kufanya vizuri na hatimaye kupiga hatua japo sio kwa wote. Ni vizuri kuona vijana walio wengi wanapata kujiajiri kupitia nyanja hii japo sio wote wameweza kutoka kimuziki.Si vibaya kuwapa moyo ili waweze fanya vizuri zaidi.Ukiachia mbali burudani muziki unaweza kuelmisha kwa kufikisha ujumbe mbalimbali kwa jamii.Kwa maana hio basi tunategemea kuona wahusika wakiwa wamejipanga kutoa burudani, elimu n.k

Nimependa collabo hii ya Albino fulani, Sugu, mwana FA, na Belle9 katika wimbo NAFASI.Mistari yote iko poa kwa mtazamo wangu ila nimeguswa na mistari ya FA eti ''wafungwa wangetembelewa na mademu na wake zao'' hili nalo ni neno hivi wale jamaa kule jela SEGEREA na kwingineko wanaishi vipi ukizingatia kama binadamu wanapata hamu ya kufanya mapenzi! Mbaya zaidi wengine wameacha wake zao wapendwa na wa ndoa kabisa huko majumbani.Kuna habari zisizo rasmi kugeuzana huko jela je wimbi la mashoga litaisha kweli kwa mtindo huu?? sasa hivi ukiingia chatrooms za kiswahili hukosi shoga ni wengi hadi kero lol..japo hata chatrooms za kiingereza wapo inashangaza kwa Tanzania nchi changa kabisa kua na kiasi kikubwa cha mashoga....hali kadhalika wale wa kusagana nao wazidi ongezeka sijui tunaelekea wapi?!..well turudi kwenye track/muziki huu wa kizazi kipya.

Wanasema penye nia pana njia pamoja na kwamba vijana wengi wanapenda kuingia katika muziki bahati mbaya wachache ndio wana ng'ara siku hadi siku wakati wengine ndio wanapotea.Lakini ni mambo ya kujipanga tu wazuri katika fani hii wata ng'ara na wale wasiojipanga watapotea KIMYA KIMYA...Hivi yule Mr Nice na takeu style yuwapi? Alitamba na vibao ''FAGILIA,KIDALI POA,YEBO YEBO na nyingine nyingi. Wapi Hard blasters? Uswahilini matola waliwahi tamba na kibao 'KOSA LA MAREHEMU', wapi Mwana wa komba (Caz-T)- aliwahi tamba na kibao ''NAKUHITAJI'' n.k aaah nimesahau wengine wengi nikikumbuka nitawataja au kama vipi nitajie lol.




Ujumbe huhusu simu za mkononi hahahah hawa jamaa nyimbo zao hua sina mbavu, wasikie mwenyewe mimi sina la kuongeza zaidi ya kusema tu kua makini na simu yako maana wewe ndo waijua namna unavyoitumia na namna inavyokusaidia kwa ishu zako za kila siku.

Yanayo jiri kwenye inbox zetu..

Dearest,

I am writing this mail to you with tears and sorrow from my heart.I will really like to have a good relationship with you, and i have a special reason why i decided to contact you.

I decided to contact you because of the urgency of my situation here ,I am Miss jenet Harry Johnson 25years old girl from Liberia,the only daughter of Late prince Harry Johnson the deputy minister of national security under the leadership of president Charles Taylor who is now in exile after many innocent soul were killed ,My father was killed by government of Charles Taylor ,he accuse my father of coup attempt.

I am constrained to contact you because of the maltreatment I, am receiving from my step mother. She planned to take away all my late father's treasury and properties from me since the unexpected death of my beloved Father.Meanwhile I wanted to escape to the Europe but she hide away my international passport and other valuable travelling documents.

Luckily she did not discover where I kept my father?s File which contains important documents. So I decided to run to the refegee camp where I am presently seeking asylum under the United Nations High Commission for the Refegee here in Ouagadougou, Republic of Burkina Faso. I wish to contact you personally for a long term business relationship and investment assistance in your Country.My father of blessed memory deposited the sum of US$5, 7,Million Dollars in Bank with my name as the next of kin.However,

I shall forward you with the necessay documents on confirmation of your acceptance to assist me for the transfer and investment of the fund.As you will help me in an invsetment, and i will like to complete my studies, as i was in my ist year in the university, when the crisis started.It is my intention to compensate you with 10% of the total money for your services and the balance shall be my investment capital.

This is the reason why I decided to contact you.Please all communications should be through this email address only for confidential purposes.As soon as I receive your positive response showing your interest I will put things into action immediately In the light of the above, I shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to handle this transaction sincerely. iam staying at the female hostel. Awaiting your urgent and positive response.Please do keep this to yourself and every cummicationshall be made throuh this email address alone for comfidetial purpose and you should notdisclose it till i come over , once the fund has been transfered.

Thanks,I will send you my pictures as soon as i Read from you again please tell me more about yourself.
Yours Love Sincerely,
Miss Jenet Harry Johnson.


NB: Huu ni wizi tu hakuna kitu hapa, ukipata hii as usual delete tu halafu kaa kimya