04 August, 2012

KISA CHA MSICHANA ALIYESAMBAZA UKIMWI MAKUSUDI

Nimeona si vibaya wasomaji wangu mkaipata hii habari japo imepita muda lakini HIV/AIDS bado tunayo katika jamii na mtu kama huyu ni mfano tu.Ni wazi kua japo ni siri kubwa lakini kuna watu wenye magonjwa kama huyu dada wanaojua ni wagonjwa (mabibi kwa mabwana) wanaambukiza wengine kwa maksudi.Baadhi yetu tunawajua ila tuna kaa kimya na kuona kama haituhusu, lakini ukweli ni kwamba inatuhusu sana maana ile ni 'chain' tu hata wewe unaweza pata UKIMWI kupitia mtu huyohuyo unaysema hakuhusu.Naomba nieleweke kua wale wanaowajua wathirika na wanasambaza virusi vya 'UKIMWI'  kwa makusudi walipotiwe kwenye vyombo vya dola ili wachukuliwe hatua za kisheria kwani si ustarabu.


Kusoma kisa kilichonifanya niandike haya  bofya HAPA

ETI MBONA HUKUI KULIKONI?