15 October, 2012

ILANI INAPOKUA HAINA MAANA!!!!

Hivi maana ya matangazo kama haya ni nini? Je kuna maana yoyote kua na matangazo/ilani kama hizi ambazo hakuna mtu anaona ni muhimu ziheshimiwe?.Binafsi naona hakuna haja ya kua na ilani ambazo hakuna anayetii.Hii ni dalili au ushahidi tosha kua hii nchi ni ya wavunja sheria, hakuna anayejali.