06 August, 2011

EQUALITY BEFORE THE LAW!!!!!!!!!!!?????

Huyu ndio jamaa anaye sadikika kua mwizi aliye vamia Bank CRDB kwa kutumia mawe na kudhibitiwa na Polisi wanaolinda Bank hio kama unavyo waona wakimpa mateke ya uso.Sina hakika huyu anaweza kuwa jambazi anavamia Bank kwa mawe wakati anaona SMG mbele yake.kweli bongo tambarare!!.Kwa akili ambayo haihitaji kwenda darasani kama mlinzi ana SMG basi jambazi angekua na machine gun sio mawe lakini polisi wetu kama kawa nguvu nyingi bila kupima uzito wa tatizo jamaa kadhibitiwa kama unavyoona!! Hii ni usawa wa sheria (Equality before the law) ya pekee kabisa Tanzania huwezi pata namna hii hata ulaya!!

Mateke ya uso ni bora kuliko kichapo cha wananchi wenye hasira kali....

Ati huyu ndio jambazi??!!! Nadhani watanzania wangefurahi kusikia huyu ni fisadi!
Kwa picha na  habari zaidi soma HAPA