01 May, 2011

GADDAFI SURVIVES NARROW ESCAPE

Colonel Gaddafi is reported to have survived a narrow escape from NATO airstrike leaving his youngest son (Saif al-Arab Gaddafi, 29 ) and three grand sons dead.The Libyan government spokesman ( Mussa ) said Gaddafi and his wife were present during the attack and  survived unharmed.Moussa added that the attack is assumed 'a deliberate plan to assassinate Gaddafi.

On the other hand The Libyan government spokesman Mussa Ibrahim told a news conference. "We think now it is clear to everyone that what is happening in Libya has nothing to do with the protection of civilians''.Apparently NATO has denied targeting Gaddafi, or his family and apologies for any casualities.

The NATO's commander of Libya operations, Canadian Lieutenant-General Charles Bouchard, said the target was part of a strategy to hit command centres that threaten civilians."All NATO's targets are military in nature ... We do not target individuals," he said in a statement.

For more click here: http://thestar.com.my/news/story.asp?file=/2011/5/1/worldupdates/2011-05-01T085440Z_01_NOOTR_RTRMDNC_0_-566815-3&sec=Worldupdates and http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-13251601

UGANDA NAKO KUMEKUCHA,VICHAPO NJE NJE

Uganda nako shughuli ni watu na watu ndio hao wanapewa kichapo cha mbwa mwizi japo wanadai haki.Sasa sijajua huyu jamaa akija kuwa Rais siku moja atamfanya nini Museveni?! angalia video hapo chini polisi na wanajeshi walivyo mdhibiti kiongozi wa upinzani Dr Besigye. Shangingi wala halikusaidia kwani walivunja vioo vya gari lake na kumwagia maji yanayo sadikika kuwa na pili pili.Yaani combat ilikua unyama unyama!!
                                          Dr Kizza Besigye akidhibitiwa na wanajeshi


NTV

 Siasa za Africa zinataka moyo jamani duh! Angalia Video hii hapa chini jamaa (Dr Besigye) ana moyo sana na mvumilivu, hapa anaenda zake kazini na kakamatwa kama kibaka vile tena bara barani.Nadhani hapa ndipo vurugu zilipo pamba moto baada ya huyu kiongozi wa upinzani kukamatwa.

                                                                   NTV

WIZI HUU SIJUI UTAISHA LINI!!!!

Hawa jamaa kweli wabunifu wa wizi yaani baada ya kututumia email nyingi kua tumeshinda mamilion ya pound  au tuwasaidie kuhamisha mamilioni yaliyo kaa hayana mwenyewe kwahio tuwape majina yetu kamili,namba za simu,anuani zetu na kadhalika ili kujipatia vijisenti bure kabisa sasa wamekuja na hii:-

To apply for the Nigeria Social Insurance Trust Fund (NSITF) Recruitment 2011, Nigeria Navy, Standard Chartered Bank, International Breweries open for experienced and graduates trainees
visit: www.nigeriaonlinejobsapplication.co.cc TO APPLY


MTAKAO IBIWA HUKU MNAJUA HUU WIZI MITANDAONI SI VIBAYA MKATOA USHUHUDA ILI WATU WENGINE WAJUE KUNA WIZI WA NAMNA HII.MTAKAO TUMIWA UJUMBE KAMA HUO JUU PIA SI VIBAYA TUKAWASIKI, MIE NDIO NISHATUMIWA HIVO NA TITLE 'LATEST NIGERIA VACANCIES' SIO HUU TU KUNA WIZI MWINGINE KAMA WA KUJIFANYA WANANUNUA PAKA WA RANGI FULANI , HELA (COIN/NOTI ZA ZAMANI) HUO NI BAADHI YA UBUNIFU WA HAWA JAMAA AMBAO SASA WAPO DUNIA NZIMA WAKISAKA NOTI KWA NAMNA HALALI NA ISIYO KWAO NI MPAKA KIELEWEKE!!

TOKA ZE COMEDY ORIGINO MPAKA KUHUBIRI NENO LA MUNGU!!!

Video  ya kwanza hapa chini inaonyesha 'Masanja Mkandamizaji' anakandamiza nini mimi sijui!! au jina halisi Emmanuel Mgaya akihubiri neno na kudai yeye kaokoka na wajanja wote wameokoka (ni kweli wajanja wote wameokoka mie sijui, wajanja ni akina nani pia sijui!,yule aliyekua pembeni yake wakati akihubiri pia simjui).Ila niseme tu ni mwanzo mzuri kwa wasanii kuokoka kwani wana nafasi ya juu kabisa ya kurubuniwa na shetani kutokana na kujulikana kwao kwa jamii hii itawasaidia kama kweli wana maanisha KUOKOKA ISIWE MWAVULI WA KUFICHIA MAOVU na NI LAZIMA WAO KAMA KIOO CHA JAMII WAWE MIFANO YA KWELI NA SI VINGINEVYO !!. (ni mtazamo tu)

Baada ya kusema hayo ningependa jamii yetu ya Kitanzania kujua maana halisi ya 'KUOKOKA'.kwa kusoma na kuelewa maandiko sio tu kuamini kila tunacho ambiwa ndio ipo siku tuje kuchomana moto eti mwisho wa dunia eti Mungu kasema!! Mfano Kibwetere wa Uganda alichoma moto kanisa ndani kukiwa na waumini!! kwakua watu waliamini kila alichosema hata waka kubali kuchomwa moto.Tusiwe wavivu wakusoma vitabu vya maandiko matakatifu.

.Mimi inapofika hatua ya kuongelea imani zetu huwa sina ubishi kwakua naamini kila mtu ana imani yake na Imani ya mtu ndio inatakayo muokoa.Kama mtu hana imani ni kazi bure kusema ameokoka,vivyo hivyo kama mtu una sali kanisa fulani ambalo unadhani ukiwa huko ndio umeokoka  bila ya Imani hapo mtu unakua unapoteza muda wake bure.Au mtu kutumia kanisa fulani kama mwavuli wa kuficha maovu wakati ukweli ni kwamba umeoza!! Utakuja kuwa kuni za kuchomea wenzio huko eternal hell (kuzimu)



Nijuavyo mimi kama nilielewa vizuri mafundisho ya dini...Imani ya mtu huanza na kuamini  uwepo wa Mungu na kukili imani yako kwa kinywa chako.Ni lazima uamini Mungu katika NENO LAKE (maandiko matakatifu) pia umtumikie ndipo udai wokovu wake kwa imani uliyokua nayo. ...na hapo ndipo nguvu ya Mungu itakuokoa, itakulinda, na kukuwezesha kuishi maisha mema katika yeye muweza wa yote.Ni lazima tutambue imani ya mtu haichezewi na ni vema na haki kuiheshimu.KUOKOKA KUNA MAANA KUBWA ZAIDI YA KUONGEA.....HATA HIVYO SINA MAANA WANAO SEMA WAMEOKOKA WANA TUDANGANYA ILA KAMA WANAONGEA WAKATI MOYONI WANAJUA SIO BASI WANAJIDANGANYA WENYEWE.WALIO OKOKA KWELI MUNGU AWAJALIE.

The Bible says: 'Our hearts are deceitful, we should not trust in our hearts (Jeremiah 17:9)
                          'There are false christs,false gospels,and false spirits ( I Corinthians 11:4)
                          
So how can you be sure that you've heard of the true Gospel,received true christ and the true Holy Spirit??! Comrades we must be certain that our faith is THE TRUE FAITH IF AND ONLY IF BASED ON SCRIPTURE AND NOT THEM FALSE ONES BASED ON FEELINGS!!!

Angalia hizi Video hapa chini zinafundisha zaidi maana ya kuokoka