07 August, 2011

WALIO MUUA OSAMA NAO WAUWAWA!

Habari zilizojiri ni kwamba Helicopter ya NATO aina ya Chinook iliyobeba kikosi maalum cha wanajeshi wa kimarekani zaidi ya 20 imetunguliwa na kuua watu wote huko Wardak,Afghanistan.Walio kufa katika shambulizi hilo ni pamoja na wale wanao sadikika kufanikisha kumuua Osama Bin Laden .Kundi la waasi la Taliban limekiri kuhusika na mauaji hayo. Wakati huohuo Rais wa Afghanistani  Hamid Karzai ametoa salamu za rambirambi NATO kufuatia ajali iliyo gharimu roho za watu 31 wa kikosi maalum toka Marekani na 7 kutoka Jeshi la nchi hio


            Helicopter iliyotunguliwa na Taliban


Kwa habari zaidi soma HAPA na HAPA

ATI ALIZALIWA NA PHD??


Big up Said Michael umetisha japo nina swali moja tu dogo la msingi.Je haya ndio matumizi halisi ya Phd au ni utani tu?.Kama hio ndio maana yake basi watanzania watakua na maswali mengi sana kwa wasomi walio katika nyadhifa mbalimbali je nini mchango wao kwa serikali na jamii kwa ujumla?