11 August, 2011

UKISIKILZA WIMBO PEKE YAKE UTADHANI CHAMELOENE


Fanya kazi
                                                                    Sweet mama

TANZANIA BILA UMEME/MAFUTA INAWEZEKANA??

Ilikua.........................

Heshima ikajengeka mjini na salamu zikatolewa kama hivi.........

Ghafla bin vuuu mara...........
Vidumu ndio mpango duh kweli Bongo Raha! hapo bado adha ya umeme,maji safi,foleni,stress binafsi n.k

Wauza wese nao wataka heshima!! sijui wanataka salamu kama hio ya Tanesco?.Hakika hivyo vituo vya mafuta  vingekua tu huku kwenye vurugu zilizo anza baada ya mtu mmoja tu kuuawa basi zingebaki historia,magofu ama kuchukuliwa mafuta yao kwa nguvu tena bure 'yaani take now don't pay later' kama ambavyo tutaona matukio zaidi yaliyo jiri hapa UK.Watu wamechoka na blah blah wakati maisha magumu.Siombei tufikie huko lakini huenda ndiko tunako elekea bila kujijua. Je viongozi wetu wanaliona hili? au wao haiwahusu? Nauliza tu!