18 June, 2011

KWELI WALIPA KODI WAKUBWA HATUPENDWI!!!

Nasema hivi kwa sababu wanywaji (sio walevi lol) ndio wanao lipa kodi sana kwa kunywa pombe.Sasa hio parking yao ndio sijaelewa maana hapo hata kama hujanywa hii haiwezi kuwa maegesho ya gari lakini ukisoma hayo maandishi parking imekua reserved for drunk drivers!! kazi kweli kweli..