16 February, 2011

Mabomu yalipuka Gongo la mboto jijini Dar

Imeripotiwa kutokea mlipuko wa mabomu jijini Dar es salaam eneo la Gongo la mboto.Watu kadhaa walisambaa eneo hilo wakikimbia huku na kule kunusuru maisha yao.Hata hivyo bado haijajulikana chanzo cha mlipuko huo na hata maafa yaliyotokea.Hali kama hii imewahi tokea mwaka 2009 Mbagala ambako ghala la mabomu lilipuka na kusababisha uharibifu mbali mbali katika eneo hilo.Stay tuned Kwa habari zaidi nini chanzo cha mlipuko huo na hata madhara yaliyotokea.

Moja ya taswira ya mlipuko wa mabomu kwa mbali:


Taarifa ya polisi katika video kupitia ITV.Too many questions to ask watu watatuliaje mbele ya bomu? Ye mwenyewe asingeweza kutulia hapo ITV akisikia kuna bomu
Anyway msikilize mheshimiwa akitoa taarifa