09 August, 2010

Polisi UK wala bata kazini

Hapa UK polisi wa usalama barabarani hawajua kuchomwa na jua ni kitu gani kwani imekua tofauti kabisa na Tanzania ama nchi nyingi zinazo endelea ikiwemo Africa.Wenyewe vidhibiti mwendo ni kama inavyo onekana kwenye picha hapo chini.Ukitembea mwendo usio ruhusiwa basi risiti ya fine utatumiwa nyumbani kwani hio camera inapiga picha gari zote zinazo tembea kwa speed hatarishi/isio ruhusiwa kuanzia motor ways mpaka barabara za kawaida.Kwa maana hio hakuna haja traffic kujificha porini na camera kwani wanaweza hata liwa na simba (L0l-joke)

Mbali na hivyo vitendea kazi walivyo navyo mfano magari ni dalili tosha kwamba serikali yao iko makini katika ulinzi na usalama kwani magari wanayo ya uhakika mfano BMW X5, D529, Range Rover, Hummer,lambourgini, Lotus, Lexus,Jaguar,Ford,Astra, Landrover Deffender, Mecerdes Benz na nyingine nyingi bila kusahau helicopter ambazo zina nembo ya polisi na nyingine hazina ukitaka kuona picha zaidi ingia hapa http://www.google.co.uk/images?hl=en&source=imghp&biw=1276&bih=605&q=police+cars+UK&gbv=2&aq=f&aqi=g1&aql=&oq=&gs_rfai=
Pia kujua kama gari lako lipo barabarani kimakosa mfano kutokua na insurance, gari la wizi n.k sio lazima polisi akusimamishe akiwa kwenye gari lake either mbele au nyuma yako basi anaweza jua gari lako lina makosa na ukasimamishwa kwa mahojiano zaidi.


(camera ya kudhibiti mwendo na uhalifu barabarani-UK )


Aidha polisi ni washikaji/rafiki wa kila mtu na hawaogopwi kama wetu huko Africa, hawa wa huku UK unaweza hata ukaomba hata lift hawana noma provided makaratasi yako yapo valid maana unaweza kua kama panya alie ingia zizi la paka bila kujali litakalo tokea. Pia ukienda club wanakuwepo wengi tu nje pamoja na Ambulance tayari kuwabeba walio zidiwa na pombe (hahaha).Zaidi ya hayo wapo askari wa doria ambao wanazunguka mtaani kwa magari na baiskeli, pia kwa miguu.Changamoto yetu hapa ni serikali zetu kua makini na vitendea kazi vya maafisa wetu wa kulinda usalama mahali popote nchini

(Gari la polisi aina ya Range Rover)

Hii inakuaje wadau!!!!!!!

Mimi sina comment kuhusiana na hili na sio hater wa Asernal ila nauliza utani huu ni inakuaje? Je huku sio kukatishana tamaa?

Wakenya nao hawapo nyuma mambo ya 419

Hello Dear

Good day to you and how is everything? honestly I am glad to write you this letter and I hope everything is ok with you over there. My name is Anita Kipkalya Kones from Kenya,i am 24 years old and the daughter of the former Kenyan road minister late Dr Kipkalya Kones who died on Tuesday 10th June 2008 along the Cessna 210 plane crash which was heading to Kericho in a remote area called Kajonga in western Kenya as You can read more on the crash below:

http://edition.cnn.com/2008/WORLD/africa/06/10/kenya.crash/index.html

Although we are just getting to know each other please consider it as a divine wish and accept it with a better understanding,I believe you have come to hare the good life with me because i am very lonely where i am,i just need your honest attention as you will consider me to be your closest friend. Ernestly i am writing this mail with tears and sorrow from my heart due to the condition i find myself after the passing away of my parent and nothwithstanding the whole tragic situation my step mother made me feel mallested and rejected without any cause simply because my mum had died earlier and i am from a polygamous family.

Thereafter the funeral of my late dad,my stepmother and my uncle with their african mentality conspired and sold off my father's properties worth milions of dollar to an italian expertrate and shared the money among themselves living me with nothing.

One faithful morning as i tried to open my father's briefcase,i found an important documents with which he had deposited some money in my name as the next of kin at the African development bank,Burkina Faso. I had travelled down to Burkina Faso to withdraw some of the money to take good care of my self because i am in difficulty but the Bank Director whom I met in person highlited me on my father's instruction to the bank concerning the money and how it should be withdrawn that only on the account that i am married or i should present to the bank an honest,responsible and worthy trustee whom will assist me in reclaiming the fund into safe hands and transfer it for an investment as i finish up my education.

In my search for a reliable person i have found you a man i can count on and I believe that you will not betray my trust on you but rather take me as your own sister or closest friend because right now i am suffering terribly here in Burkina faso in the refugee camp as i have no body to rescue me from this strange situation in a foreign land.

I have chosen you to be my best companion and in my prayers i am convinced that you will be the true one to rescue me from this trouble as my husband or trustee and i am having the trust that wih you i will accompish this successfully. I have the money confirmed in the bank $7.2 million in their records as unclaimed bill in my father account and i have the death certificate and the deposit certificate of the fund to state as proof of my geneuity.

I shall compensate you as you want from the whole money in as much as you could help me make the transfer of this money into your account successfully. I wait upon your positive response showing your interest and ability to stand for me in this situation and carry to carry out this transaction and in the light of the above i shall appreciate your urgent message indicating your willingness to help me with all your mind to achieve this successfully with a better details about yourself ok. Thanks and God bless you as i look forward to seeing your reply.

Miss Anita Kipkalya

Sitaki kuamini wadhungu pia design wamo!!!!

My name is David Blake I am from Scotland Please take this serious,
I am taking this liberty anchored on strong desire to ask for your
assistance for help. Your consent and urgent attention will greatly be
needed, devoid of apprehensions.

I have been diagnosed with Esophageal cancer. It has defied all forms of medical treatment, and right now I have only about a few months to live, according to medical experts My family and few friends have betrayed me, I have 5 million dollars which i want you to help me distribute to charity in your country and for research into the cure of cancer. I am ready to give you a percentage of the money for your time and efforts. Please get back to me via this email address
dblake881@yahoo.com
for more details

David


---------------------------------------------------------------------
------------------------------------------------------------------------------
CONFIDENTIALITY NOTICE: This e-mail message, including any attachments, is for the sole use of the intended recipient(s) and may contain confidential or legally privileged information. Any unauthorized review, use, disclosure or distribution is prohibited. If you are not the intended recipient, please contact the sender by reply e-mail and destroy all copies of this original message.
==============================================================================

05 August, 2010

so does he?

Based on the interview it looks like he knows how hard the real life is in The United Replublic Tanzania, so my question is how far has he tried to alleviate the problems he himself has experienced?.Does he have any dedicated team to support him? As such in my view no president in the world shall be seen and of course be in the certification of highly defined competence without a genuinely formed,broad minded,positive,ethical,trustwothy,patriotic,focused and well dedicated team to deliver.No way!!! what do you think??

Me I think akiondoa ushikaji kwenye vitengo he is best namkubali ni kuwa makini tu na utendaji wa wasaidizi na wanaozingua wapumzishwe bila kujali ukada ama uzoefu kwani mwisho wa siku wakiharibu lawama hubebwa na mkuu wa kitengo ambaye kwa Tanzania ni Mh Dr Jakaya.Ni imani yangu ataendelea kung'ara term hii japo ni wazi kampeni za nguvu zote zanatakiwa na ni ukweli usiopingika kwamba viti vya upinzani vitaongezeka bungeni.Kwa maana hio tutakua na hot bunge this time!.Mungu ibariki Tanzania.

20 July, 2010

Mwafrica azaa mzungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanandoa wawili wenye asili ya Nigeria waishio Woolwich, south London-UK walishikwa na mshangao usioisha bila kuongea chochote kwa muda usiojulikana baada ya mke kujifungua mtoto mzungu.Watalaamu wa mambo ya afya wamethibitisha kua mtoto huyo sio albino ila ni mzungu halisi.

Wanandoa hao ambao wao wanaaminiana kwa asilimia 100 kila mmoja anashangaa kilichotokea kwani katika koo zao hakuna mwenye asili ya kizungu.Hata hivyo mume wa mwanamke huyo mwenye mtoto wa kizungu anaamini mkewe hajatoka nje ya ndoa japo kua mtoto kazaliwa mzungu.kaaaaaaaaazi kweli kweli.

Zaidi soma hapa http://uk.news.yahoo.com/5/20100720/tuk-blonde-bombshell-black-couple-s-whit-45dbed5.html

Kanya boya...

Account Alert

Dear Valued Member,


Due to the congestion in all Yahoo users and removal of all unused Yahoo Accounts,Yahoo would be shutting down all unused Accounts,You will have to confirm your E-mail by filling out your Login Info below after clicking the reply botton, or your account will be suspended within 48 hours for security reasons.

FullName: ....................
UserName: ...................
Password: .......................
Date of Birth: ......................
Country Or Territory : ...................
Occupation: ...........................


After following the instructions in the sheet, your account will not be interrupted and will continue as normal. Thanks for your attention to this request. We apologize for any inconvenience.


Warning!!! Account owner that refuses to update his or her account before two weeks of receiving this warning will lose his or her account permanently.

Difficult Interview questions...3



15 July, 2010

Ukisikia 419....

Kwa wale tunaopenda kwenda naija land au popote utakapo kua duniani ukisikia 419 jua ndo wezi wa mtutu pamoja na wale wezi kupitia internet kama ilivyo kwenye post inayo fuata hapa chini in RED kuonyesha msisitizo!. Hawa jamaa hawaoni kazi au aibu kusema umeshinda pound million mia au wana hitaji pound laki moja ku activate account yenye mamilioni na baada ya hapo unapata 30% ya hela iliyomo kwenye account.Hio ndio 'rejesta' yao chunga vijisenti vyako!




Urgent Response Needed.

From: Mr Saidou Keita Ali.

African Development Bank (A.D.B)

Ouagadougou-Burkina Faso

Attn: Please,
This Message Might Meet You In Utmost Surprise. However, It's Just My Urgent Need For Foreign Partner That Made Me To Contact You For This Transaction. I Got Your Contact From Burkina Faso Chambers Of Commerce While I Was Searching For A Foreign Partner. I Assured Of Your Capability And Reliability To Champion This Business Opportunity When I Prayed To God Or Allah About You.

I Am A Banker By Profession From Burkina Faso In West Africa And Currently Holding The Post Of Manager Of Bill And Exchange At The Foreign Remittance Department, African Development Bank (A.D.B). I Have The Opportunity Of Transferring The Left Over Sum Of ($1.2 Million Dollars) That Belongs To Late Dr.Schett Forzewt a German nationl Who Died Along With His Entire Family.

After My Further Investigation, I Discovered That Late Dr.Schett Forzewt Died With His Next Of Kin And According To The Laws And Constitution Guiding This Banking Institution Stated That After The Expiration Of (6) Six Years, If No Body Or Person Comes For The Claim As The Next Of Kin, The Fund Will Be Channel Into National Treasury As Unclaimed Fund. Because Of The Static Of This Transaction I Want You To Stand As The Next Of Kin So That Our Bank Will Accord You Their Recognition And Have The Fund Transfer To Your Account.

Hence, I Am Inviting You For A Business Deal Where This Money Can Be Shared Between Us In The Ratio Of 60% For Me And 40% For You. And Any Expenses Incidentally Occurred During The Transfer Will Be Incur By Both Of Us. The Transfer Is Risk Free On Both Sides Hence You Are Going To Follow My Instruction Till The Fund Transfer To Your Account.

Further Details Of The Transfer And Text Of Application Form Will Be Forwarded To You As Soon As I Receive Your Return Mail And You Should Contact Me Immediately to this Adders( saidoukeitaali2010@centrum.sk )As Soon As You Receive This Letter.

Your Full Name............................

Your Sex....................................

Your Age.................................

Your Country.................................

Passport / Driving License.......

Marital Status......................

Your Occupation.............................

Your Personal Mobile Number....................

Your Personal Fax Number......................

Trusting To Hear From You Immediately

Regards,

Mr Saidou Keita Ali.





Nyingine hii hapa ................................................!!!!



Dear: e-Mail Winner,

Winning Notification
Your email address as indicated was drawn and attached to Ticket
no:56475600545188 with Serial no:2113-05 and drew the lucky numbers
9-21-17-39-23-13(20) which subsequently won you 1,000,000.00 (One

Million Great Britain pounds) as one of the 10 jackpot winners in

this draw.
contact our fiduciary agent for claims with the contact below.

Agent Name: Mr Robert Goldsmith.
Email:robertgoldsmith20@live.co.uk
Telephone: +447010040973

**Full Names
**Residential Address
**Occupation
**Age
**Company Name
**Phone
**Gender
**Country

Sincerely,
Mr. Johnson White.

Difficult Interview questions...2

If you are a job seeker make sure you understand what has been asked and try to be succinct while answering.If you've not heard what has been asked try to beg a pardon!.

Most people think if they expose their weaknesses that means a disqualification but in essence employers seek to hear the best position of yours by accepting weakness as a challenge and being eager to improve.No person is perfect in this world however skilled.Nevertheless this can be linked with the ability to solve problems.Most employers prefer employing people who are problem solvers despite their weaknesses and focus to get things done with great performance.

It is clear no employer would expect to hear bad things, but with the support of how are you going to improve or how you've been striving to get rid of the weakness you've that will convince the employer to give you job if and only if you've demosntrated the skills, the experience,the way you can handle problems, the best of you in an organization and many more which are of value to the organization.



Wadada mna kazi....

Hivi tatizo ni nini mpaka watu (wadada) kufikia hali ya kumrekebisha Mwenyezi Mungu? Kweli kwenye miti hakuna wajenzi waliyo nayo matiti makubwa wana lalamika eti mazito ivi ni kweli au ni fix tu??? na wenye madogo wanataka yawe makubwaa, kazi kweli kweli!!! Na siri ya kuongeza makalio ndio mchina kashika soko sijui tunaelekea wapi?!


14 July, 2010

Burudani yasogea Coventry na Mb Dogg..

Bongouk this time naona wamechachamaa na kuleta wasanii wa kibongo hapa UK.Kwa kua stress ni nyingi inchi hii bila shaka ni jambo jema kupata burudani za hapa na pale kupunguza stress ambazo zina changia kwa kiasi kikubwa watu kuzeeka kabla ya umri wao.Ni imani yangu kua hilo limezingatiwa kitu ambacho kita leta utofauti na wenzetu wazungu ambao kila siku wengine hujirusha kwenye mito na kufa ama kupigana risasi kutokana na stress za hapa na pale hata kwa kisa kidogo kabisa.

Kwa waliopo UK nadhani hili sio jambo geni japo natambua hata waliopo bongo wanaona kupitia vyombo mbalimbali mbalimbali vya habari namna watu wanavyo chukua sheria mkononi kutokana na stress. Pamoja na kupunguza stress matamasha ya muziki kama haya yanawezesha kukutanisha ama kufahamiana kwa watanzania wengi waliojaa na kuendelea kuja nchi hii.Pamoja na mambo mengine Coventry ni mji wenye watanzania wengi ambao kwa bahati mbaya wengi wao hawafahamu ama hawataki kuwafahamu watanzania wenzao kwahio ni imani tu kupitia matamasha kama haya wanaotaka kufahamiana watafahamiana vizuri.

Kwa mujibu wa habari zilizo nifikia ni kwamba MB Dogg atakua LIVE in Coventry jumamosi ya tarehe:17.07.2010 mahali ni 116 Forgosford street:Palms Bar iliyopo CV1 5EA katika jiji la Coventry-United Kingdom.wapenda burudani wote mnakaribishwa kiingilio ni 10£ tu. Muda kuanzia 9Pm- 4Am.

Difficult Interview questions ...1

Watch this video clip thoroughly well, I hope it will be of great help to job seekers when prepares for an interview.Keep in touch with 'The Network' blog for more interview tips




(Jobstreet.com)

Ushawahi sikia Radio Mbao???!!!

Kuna kipindi nilisoma mahali kua kuna Radio inatarajiwa kuanzishwa na inaitwa Radio mbao nikadhani ndio zile kama wanavyoita magazeti ya udaku.Lakini nimejaribu isikiliza kwa wale wanao sikiliza Bongo Radio basi Radio mbao haitakua na tofauti kubwa kwani zote ni Internet based Radio. Pamoja na jina la Radio hio kua la ajabu nina imani watu wengi wamevutika kuisikiliza na kwa wale tunaopenda muziki basi ukifungua 'Radio Mbao' utaburudika vya kutosha.

Na kwa wale waliokua hawajui kama iko LIVE HEWANI basi mnaweza isikia wenyewe hapa
http://cp.radiostreamhost.com/radio/player.php?station=kpentertainment&nc=5976812

07 July, 2010

Easy Money trap......

UNITED KINGDOM NATIONAL LOTTERY AWARDS 2010. YOUR EMAIL ADDRESS HAS WON £500,000.00GBP Date of draw: 30/06/2010 Date of release:06/07/2010 Winning Number:9-6-1-6-0-9-8 Batch Number: 8056490911/858 Reference Number:UK/HW47509/2010

Contact Dr. Steven Wilson for payment indicating your names,phone number and country: uk.lottoagentdrsteve@gmail.com uklottoagent@london.com Your cash prize will be paid to you from any recogized government bank affiliated to UK Banks only. Sincerely, Mrs Clara Johnson, Financial Director. SET FOR HAPPY HOME! UK National Lottery,All right reserved.

Amazing trick for responsible men.......

hello
My Name is tracy i am a very beautiful young girl, I saw your profile today in this site and i stopped to take avery good look at it. I want you to know that i will be intrested to know you better because you sound very sweet and nice in your profile so i will like us to become friends and know each other the more.Here is my email address(tracyloves4me@hotmail.com)

send me an email today and i will send you my pictures and tell you more about me please!(Remember that distance,age or colour does not matter in a reall relationship but love matters alot).I am waiting for your reply now! here is my email again
(tracyloves4me@hotmail.com)
Yours forever,
tracy

Hong Kong PhD Fellowship Scheme

Overview

Established in 2009 by the Hong Kong Research Grants Council (RGC), the Hong Kong PhD Fellowship Scheme (HKPFS) aims at attracting the best and brightest students in the world to pursue their PhD programmes in Hong Kong's institutions.

Eligibility

Those who are seeking admission as new full time PhD students in Hong Kong institutions funded by the University Grants Committee (UGC), irrespective of their country of origin and ethnic background, should be eligible to apply. Applicants should demonstrate outstanding qualities of academic performance, research ability / potential, communication and interpersonal skills, and leadership abilities.

The Fellowship

The Fellowship provides a monthly stipend of HK$20,000 (approximately US$2,600) and a conference and research related travel allowance of HK$10,000 (approximately US$1,300) per year for the awardees for a period of three years. About 135 PhD Fellowships will be awarded each academic year1. For awardees who need more than three years to complete the PhD degree, additional support may be provided by the chosen institutions. For details, please contact the institutions concerned directly.

1 Academic year in Hong Kong normally starts in September.

Selection Panels

Shortlisted applications, subject to their areas of studies, will be reviewed by one of the two HKPF Selection Panels with experts in the relevant broad areas -- one for science, medicine, engineering and technology and another one for humanities, social science and business studies.


Selection Criteria

While the academic excellence is of prime consideration, the Selection Panels will take into account, but is not limited to, the four yardsticks below for the selection of candidates:

Academic excellence;
Research ability and potential;
Communication, and interpersonal skills; and
Leadership abilities.
Application Process

Applicants may choose up to two programmes in one or two institutions for PhD study in their HKPFS applications. They are also required to submit application(s) for PhD admission to the relevant institution(s) directly for their selected programme(s). Applicants are therefore required to fully comply with the admission requirements of their selected institutions and programmes. The HKPFS 2011/12 will call for applications in September 2010. Detailed arrangements for the application process will be announced later.

Admission requirements of individual institutions are as follows:

The Hong Kong Institute of Education
(http://www.ied.edu.hk/acadprog/rpg/prog_info.htm)

The Hong Kong Polytechnic University
(http://www.polyu.edu.hk/ro/hkphd-fellowship/)

City University of Hong Kong
(http://www.cityu.edu.hk/sgs/hkphd/index.htm)

Hong Kong Baptist University
(http://www.hkbu.edu.hk/~gs/hkpfs/ent_req.html)

Lingnan University
(http://www.ln.edu.hk/reg/info/phd/require.php)

The Chinese University of Hong Kong
(http://www2.cuhk.edu.hk/gss/entry.php)

The Hong Kong University of Science and Technology
(http://www.ust.hk/hkpfs/how.html)

The University of Hong Kong
(http://www.hku.hk/gradsch/web/apply)
Individual institutions may conduct interviews with applicants as part of the assessment for selection. Candidates not selected for the HKPFS may also be accepted by the concerned institution for admission and offered with postgraduate studentship of the institutions.

Postgraduate Studies in Hong Kong

For more information on postgraduate studies in Hong Kong, please visit the Joint Institutions homepage at http://www.grad.edu.hk/grad/ and the website of Immigration Department at http://www.immd.gov.hk/ehtml/faq_ipoe.htm for details concerning the immigration policy on study in Hong Kong.

Inquiries
For enquiries about the Hong Kong PhD Fellowship Scheme, please address your questions to HKPF@ugc.edu.hk.

For enquiries about the PhD programmes and admission requirements, please contact the respective institutions directly. Contact details of each institution are as follows:

City University of Hong Kong
Chow Yei Ching School of Graduate Studies,
Flat 7B, Block 1, To Yuen Building,
City University of Hong Kong,
Tat Chee Avenue, Kowloon, Hong Kong
Telephone number: (852) 3442 9076
Fax number: (852) 3442 0332
Email: sgfellow@cityu.edu.hk

Hong Kong Baptist University
Office of Graduate School,
Level 7, Fong Shu Chuen Library,
Ho Sin Hang Campus,
Hong Kong Baptist University,
Kowloon Tong, Kowloon, Hong Kong
Telephone number: (852) 3411 5127
Fax number: (852) 3411 5133
Email: hkpfs@hkbu.edu.hk

Lingnan University
Registry,
Lingnan University,
Tuen Mun,
Hong Kong
Telephone number: (852) 2616 8750
Fax number: (852) 2572 5178 or (852) 2463 9104
Email: rpgadm@LN.edu.hk

The Chinese University of Hong Kong
Graduate School,
Room G01, G/F, Academic Building No.1,
The Chinese University of Hong Kong,
Shatin, N.T., Hong Kong
Telephone number: (852) 2609 8976
Fax number: (852) 2603 5779
Email: gradschool@cuhk.edu.hk

The Hong Kong Institute of Education
Graduate School,
The Hong Kong Institute of Education
10 Lo Ping Road, Tai Po,
New Territories, Hong Kong
Telephone number: (852) 2948 8939 or (852) 2948 6611
Fax number: (852) 2948 6619
Email: rpg@ied.edu.hk

The Hong Kong Polytechnic University
Research Office,
Room M501, Li Ka Shing Tower,
The Hong Kong Polytechnic University,
Hung Hom, Kowloon, Hong Kong
Telephone number: (852) 3400 3635
Fax number: (852) 2355 7651
Email: roro@polyu.edu.hk

The Hong Kong University of Science
and Technology
Postgraduate Admissions Team
Admissions, Registration and Records Office
Room 1381, Academic Building
The Hong Kong University of Science and Technology
Clear Water Bay, Kowloon, Hong Kong
Telephone number: (852) 2623 1120
Fax number: (852) 2358 2463
Email: hkpfs@ust.hk

The University of Hong Kong
Graduate School,
Room P403, Graduate House,
The University of Hong Kong,
Pokfulam, Hong Kong
Telephone number: (852) 2857 3470
Fax number: (852) 2857 3543
Email: gradsch@hku.hk

Scam..................

Dear HSBC client,

You card may have been used by a third party. For your protection, we
decided to suspend ATM access.

To remove the suspension, please confirm that your card was not stolen.
To do this, please download and complete the attached html form.


We are sorry for the inconvenience, but your security is our top priority.


Kind Regards,
Customer Service

Copyright © 2010 HSBC

06 July, 2010

Nauliza hivi.......

Kuna penzi la mbali? Nina maana 'penzi la dhati' la mbali.Mfano mke yuko anaishi Africa na mume yuko Ulaya.Mimi naona ni sawa na kujaribu kula ugali kwa picha ya samaki!!!.Wewe je unadhani inawezekana? Kama ndio twambie kwanini na kivipi!

Hapa Big Sylla Ft Ali Kiba And Mr Mim wenyewe wanasema 'Penzi La Mbali......' shuka nayo hapo chini uwasikie mwenyewe!

Sikia ''Hadithi'' ya Ali kiba...

05 July, 2010

Ukiona hii jua ni wizi....

Fraud has for years been rapidly developing in both developed and developing counntries due to Globalization.Despite this fact, the development of different technologies has to a large extent facilitated fraud in one way or the other .For example the increased use of Internet and telecommunications has simplified fraud operations due to increased interactions of people in the current Globalized World.

Accordingly,fraud has been designed to operate in different ways where by the whole deal focus to capture core interests of people who strives day and night to win life.This is why it's manned in a very sophisicated way whereby any person can fall prey unkowingly.So hereunder could be among the ways to trap people in this filthy business.So Watch out folks!!!!


Hello!!!
My name is Jane, i saw your profile today and became interested in you,i will also like to know you the more,and i want you to send an email to my email address so i can give you my picture for you to know whom i am.


Here is my email address (janefugar20104love@hotmail.com) believe we can move from here!I am waiting for your mail to my email address above.(Remember the distance, color or language does not matter but love matters allot in life. please write to me in this email id not in other email ok, janefugar20104love@hotmail.com

Katuni ya Leo..

Wanawake wote wangekua kama huyu basi ngono zembe kwishney!

03 July, 2010

Huyu ndiye aliyekua Loon.....

Wakati wasanii wetu wengi wa muziki wa kibongo wanachukua video kwenye nyumba,magari ama maeneo mazuri kwa ujumla hali iko tofauti kwa msanii Loon alipotembelea Bongo.Msanii huyo ameonekana katika Video yake kwa jina 'Distracted' akiwa bongo ambako mazingira aliyo chukulia video ni sambamba na hali halisi ya makazi ya walio wengi bongo/Tanzania.Zaidi angalia video hii hapa chini.

Hata hivyo msanii huyo ambaye sasa katoka kivingine kabisaaa kwa kuwaunga mkono Busta Rhyms,Napoleon,Akon,Ice Cube, na wengine wengi ambao wameukacha Ukisto na kua waislam.Kama Video ya pili inavyo onyesha hapa chini.

Si vibaya zote ni imani tu ili mradi kote wana amini Mungu yupo.Kwa upande mwingine mashabaki wanauliza kwa mtindo wa kutoa maoni hasa 'YOUTUBE' na kushangaa zile ndevu kama ndio kua na imani kali ama laa na wengine kushangaa mtu mweusi kuiga style za waarabu kwa kufuga ndevu kiasi kile kwani anatisha.Wakati huu Loon anasema yeye ni good boy na sio bad boy tena kama alivyokua under bad boy Records.Kazi kweli kweli.



Loon wa sasa ndio huyu

01 July, 2010

Vituko vya customs...

Kama hauendani na picha uliyoweka kwenye passport yako basi hii ndo utakutana nayo customs.

30 June, 2010

Sikiliza Antvirus ya Sugu A.K.A Mr II

Hi ndio antvirus ya MR Sugu ambaye siku za karibuni aliwekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa mahojiano kwa kilicho daiwa 'kutaka kuua kwa maneno'' kama vyombo mbalimbali vilivyo ripoti. Hata hivyo bwana Sugu amedai kuachiwa kwa kujidhamini yeye mwenyewe.Pamoja na mambo mengine watu wengi wanasema kukamatwa kwake ni kutokana na kua mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kwani kuua kisanii ama kimuziki ni neno la kawaida mfano: jamaa kaua leo stejini/jamaa kavunja mbaya... yaani kaimba vizuri zaidi au sasa nakuchana live ikiwa na maana 'sasa nakusema hadharani'

Hata hivyo hakuna anaye jua ukweli halisi ulioko nyuma ya pazia katika zogo hilo japo kua watu wame chanwa live katika huu wimbo maarufu kwa jina la antvirus.Binafsi pamoja na kuheshimu haki za binadamu (freedom of expression/freedom of speech) naona nyimbo iligusa zaidi maisha binafsi ya watu kwa mtindo wa kukashifu na sio kutoa ujumbe unao kemea uonevu ama ukandamizaji wa baadhi ya vituo vya Radio kwenye tasnia ya muziki maarufu kama bongo flava/hip hop.Ni mtazamo tu zaidi sikiliza wimbo then toa maoni yako kama jamaa yuko sawa au(sio sawa) na harakati za kuikomboa tasnia hio inayo daiwa kujaa unyonyaji wa hali ya juu,upendeleo na udididmizi wa chini chini.

Mjue demu wa Jaffarai....hahahahah

Huyu ndio demu wa Jaffarai yaani sina mbavu dakika ya 1:28-30 na 1:52.yeye anasema hata akitumia hela kibao kwa 'huyo demu wake' hakuna noma na haoni shida. Je wangapi tuna mademu wa hivi? Je ni kweli ukiwa na demu unakua stress free? Na je pombe inafaa kufananishwa na demu? Kama jibu ni hapana toa sababu za msingi na Kama jibu ni ndio, je ni kweli kwamba inaondoa stress kama wengi wanao kunywa na kusema wanaondoa stress?

object width="480" height="385">

More from my inbox....

NB:Whenever you see an e-mail of this kind in you are inbox just delete or spam it.Be informed!


DEAR,

I AM MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO.I WORK IN THE REMITTANCE DEPARTMENT OF AFRICAN DEVELOPMENT BANK, OUAGADOUGOU BURKINA FASO.I HAVE A BUSINESS WHICH WILL BE BENEFICIAL TO BOTH OF US.

THE AMOUNT OF MONEY INVOLVED IS [$36.2MILLION US DOLLARS] WHICH I WANT TO TRANSFER OUT OF THE COUNTRY TO YOUR BANK ACCOUNT, ALL TO MY FINANCIAL BENEFIT AND YOURS TOO AND ALSO TO FLY MY WIFE TO UNITED STATE OF AMERICA FOR TREATMENT OF LUNG/BREAST CANCER, THIS MONEY IS OWNED BY A MAN CALLED [JAMES HEBREW] A BUSINESS COMMERCIALIST IN WEST-AFRICAN REGIONS. HE HAS BEEN DEAD SINCE TWO YEARS AGO AND SINCE THEN NO CLAIM HAS BEEN PLACED ON HIS BANK ACCOUNT BALANCE.

I WANT TO TRANSFER THIS MONEY OUT OF THE COUNTRY BUT SUCH FUND CAN NOT BE TRANSFERRED WITHOUT A NEXT OF KIN ATTACHED TO THE FUND. THE FUND COULD BE TRANSFERRED IN THESE WAY; [YOU SHALL PRESENT YOURSELF AS A RELATIVE & BUSINESS ASSOCIATES TO THE DECEASED PERSON [JAMES HEBREW] DETAILS SHALL BE THAT YOU ARE THE CARE-TAKER TO MR.JAMES HEBREW PROPERTIES.

I SHALL MAKE AVAILABLE TO YOU MATERIALS AND INFORMATION WITH WHICH A SUCCESSFUL CLAIM SHALL BE PLACED ON THE FUND. I SHALL BE YOUR GUIDIANCE AND INSTRUCTOR THROUGHOUT THE DURATION OF THIS TRANSACTION SO AS TO ENSURE A SWIFT AND SURE TRANSFER OF THE FUND TO YOUR BANK ACCOUNT.

AS TO YOUR BENEFITS, YOU SHALL BE ENTITLED TO 40% OF THIS FUND, FOR YOUR CO-OPERATION IN THIS TRANSACTION. SO IF YOU ARE INTRESTED, SEND A REPLY TO ME IN YOUR REPLY PLEASE INCLUDE YOUR [PRIVATE PHONE AND YOUR FAX NUMBERS] URGENCY HAS TO BE IMPLIED AND THIS BUSINESS MUST STRICTLY BE A DEAL BETWEEN BOTH OF US.

BEST REGARDS,
MR.MUSTAFA ALUSI GAMBO
+22678300289