20 July, 2010

Mwafrica azaa mzungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanandoa wawili wenye asili ya Nigeria waishio Woolwich, south London-UK walishikwa na mshangao usioisha bila kuongea chochote kwa muda usiojulikana baada ya mke kujifungua mtoto mzungu.Watalaamu wa mambo ya afya wamethibitisha kua mtoto huyo sio albino ila ni mzungu halisi.

Wanandoa hao ambao wao wanaaminiana kwa asilimia 100 kila mmoja anashangaa kilichotokea kwani katika koo zao hakuna mwenye asili ya kizungu.Hata hivyo mume wa mwanamke huyo mwenye mtoto wa kizungu anaamini mkewe hajatoka nje ya ndoa japo kua mtoto kazaliwa mzungu.kaaaaaaaaazi kweli kweli.

Zaidi soma hapa http://uk.news.yahoo.com/5/20100720/tuk-blonde-bombshell-black-couple-s-whit-45dbed5.html

No comments: