15 July, 2010

Wadada mna kazi....

Hivi tatizo ni nini mpaka watu (wadada) kufikia hali ya kumrekebisha Mwenyezi Mungu? Kweli kwenye miti hakuna wajenzi waliyo nayo matiti makubwa wana lalamika eti mazito ivi ni kweli au ni fix tu??? na wenye madogo wanataka yawe makubwaa, kazi kweli kweli!!! Na siri ya kuongeza makalio ndio mchina kashika soko sijui tunaelekea wapi?!


No comments: