Aliyekua boss wa IMF akiwa anafuraha baada ya kuachiwa huru
Aliyekua mkurugenzi wa shirika la fedha duniani (IMF) bwana Dominique Strauss Kahn (62) aachiwa huru baada ya madai ya kutaka kubaka muhudumu wa Hotel May 14,2011 jijini New York kutiliwa mashaka.Uamuzi huo umetolewa na mahakama iliyokua ikisikiliza kesi hio Ijumaa ya tarehe 1 July (jana) baada ya kufanya uchunguzi wa madai na kukuta mdai amedanganya na kuchanganya maelezo kitu kinacho ashilia ni mwongo na kumfanya mdaiwa kuachiwa huru bila dhamana na kuondolewa vikwazo vyote.Aidha kesi hio ambayo inaelekea kufutwa haina haraka ya kusikilizwa tena kama mwanzo na mdaiwa ameombwa kuhudhuria mahakamani mara kesi itapo tajwa!.
Kesi zote zingekua zinasikilizwa haraka hivi watu wasingekesha na kupata shida mahabusu tena kwa muda mrefu au huyu kwasababu ana vijisenti?
Kwa habari zaidi SOMA HAPA
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
Showing posts with label 2011. Show all posts
Showing posts with label 2011. Show all posts
02 July, 2011
29 June, 2011
WAZIRI WA FEDHA UFARANSA AWA MKUU WA IMF
Christine Lagarde Boss mpya wa IMF
Hatimaye aliyekua waziri wa fedha nchini ufaransa (France) Bi Christine Lagarde, 55 awa mkuu wa IMF baada ya aliyekua mkurugenzi wa shirika hilo bwana Dominique Strauss-Kahn kujiuzulu kutokana na kashifa ya kutaka kubaka mhudumu wa hoteli nchini Marekani May 2011.
Bi Lagarde ni mwanamke pekee ambaye aliingia katika kinyang'anyiro hicho na watu wengine tisa akiwemo Mohamed El-Erian (Egypt),Stanley Fischer (Israel),Gordon Brown (UK),Kemal Dervis (Turkey),Peer Steinbrueck (Germany),Montek Singh Ahluwalia (India),Agustin Carstens (Mexico),Trevor Manuel (South Africa) na Axel Weber kutoka Ujerumani (Germany)
Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari Bi Lagarde alichuana vikali na Agustin kutoka Mexico na hatimaye kushinda baada ya kuungwa mkono na jumuiya ya Ulaya pamoja na Marekani.Bi Lagarde anatarajia kuanza kazi rasmi kama mkurugenzi wa IMF tarehe 5 July 2011.Wanawake nao wanaweza tuwape nafasi!
Kwa habari zaidi SOMA HAPA
Hatimaye aliyekua waziri wa fedha nchini ufaransa (France) Bi Christine Lagarde, 55 awa mkuu wa IMF baada ya aliyekua mkurugenzi wa shirika hilo bwana Dominique Strauss-Kahn kujiuzulu kutokana na kashifa ya kutaka kubaka mhudumu wa hoteli nchini Marekani May 2011.
Bi Lagarde ni mwanamke pekee ambaye aliingia katika kinyang'anyiro hicho na watu wengine tisa akiwemo Mohamed El-Erian (Egypt),Stanley Fischer (Israel),Gordon Brown (UK),Kemal Dervis (Turkey),Peer Steinbrueck (Germany),Montek Singh Ahluwalia (India),Agustin Carstens (Mexico),Trevor Manuel (South Africa) na Axel Weber kutoka Ujerumani (Germany)
Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari Bi Lagarde alichuana vikali na Agustin kutoka Mexico na hatimaye kushinda baada ya kuungwa mkono na jumuiya ya Ulaya pamoja na Marekani.Bi Lagarde anatarajia kuanza kazi rasmi kama mkurugenzi wa IMF tarehe 5 July 2011.Wanawake nao wanaweza tuwape nafasi!
Kwa habari zaidi SOMA HAPA
Subscribe to:
Posts (Atom)