Showing posts with label UK.. Show all posts
Showing posts with label UK.. Show all posts

10 April, 2012

KUMBE POLISI NAO HUIBIWA!!!

Habari toka majuu (Kwa Malikia/UK aka Ukerewe) zinasema maelfu ya pauni za Uingereza aka Great Britain Pound (GBP) yaliyokua mikononi mwa polisi yaibiwa. Pesa hizo ni zile ambazo zilikamatwa kutokana na upatikanaji wake kuhusisha njia ya udanganyifu na kuhifadhiwa katika ghala yenye ulinzi mkali katika kituo kimoja cha polisi wakati uchunguzi zaidi ukiendelea. Watu watatu walitiwa hatiani kuhusishwa na sakata hilo.Hata hivyo pesa hizo kiasi cha 113,000£ zapotea katika mazingira ya kutatanisha.Uchunguzi unaendelea na hakuna polisi wala raia aliyetiwa hatiani kutokana na upotevu huo..Inashangaza eti pesa ikaibiwa kituo cha polisi!!.Hivi polisi hazina bank accounts?.Kweli Duniani kuna mambo!!

Kwa habari zaidi soma HAPA

29 April, 2011

LEO MAMBO YOTE ROYAL,KAZI TUTAFANYA AKISHAOA!!

                                                                      Kate & William

Ni ile siku iliyokua ikisubiriwa kwa hamu ambayo mjukuu wa Malikia Elizabeth wa pili Prince William anamuoa mchumba wake wa siku nyingi Kate Middleton.Ni siku ya kihistoria zaidi ambapo maandalizi ya harusi hii ya  familia ya malikia yamechukua muda mrefu kutokana na uzito wa tukio lenyewe.Katika kuwahi kujionea tukio live (sikwamba hawana Tv nyumbani) waingereza wengi wamekesha katika Tents nje ya jengo ambapo wawili hao wataoana mapema leo.

Katika tukio hilo ambalo litakua katika ulinzi mkali watu zaidi ya million moja wanatarajia kuhudhuria katika eneo hilo na watu Billion mbili wataona/sikia tukio hilo kupitia vyombo mbalimbali ikiwemo Live Tv,Internet,Radio etc.Habari zaidi zinasema wengine wata jiachia kwa party za mitaani katika kusherekea siku hii ya mapumziko wakati prince William anaoa  jijini London mapema leo. SI VIBAYA KWA WENYE MA HOTELI TANZANIA NA MAHALI PENGINE KUZINGATIA UMUHIMU WA SIKU  HII  KWA KUWABURUDISHA WATEJA WAO (WAINGEREZA) AMBAO KWA TANZANIA WAKO WENGI TU ILI WASIJIONE WAKO MBALI WAKATI WENZAO HUKU (UK)  WALA BATA SIKU NZIMA!

                               Mke na Mme watarajiwa Kate & William                                               

Wageni rasmi katika harusi hii ni 2000 na katika hali isiyo ya kawaida, pamoja na ukaribu uliopo kati ya UK na USA Rais Obama haja alikwa!! Kwa maana hio naye ataona kwenye Tv kama mimi (kama atakua na muda) hii kali  lol.

Kupata Ratiba ya Royal Wedding ingia hapa: http://www.theroyalweddingwilliamkate.com/the-wedding-day-schedule

Kuangalia ROYAL WEDDING LIVE ingia hapa: http://www.royalweddinglive.tv/kate-and-william-wedding-day/

23 March, 2011

PROPER SCRUTINY UNDERWAY ON STUDENT VISA INTO THE UK

The rules for student visas into the UK are to be much tougher - after fears that this route of entry is being used dishonestly. The Home Secretary Theresa May said student visas were being abused and "too many were here to work and not to study". To start with, she announced plans to cut quarter (80,000) of the current number of students entering the UK.
Mrs May told the House of Commons that the misuse of student visas had become a "symbol of a broken and abused immigration system". On the other hand Shadow Home Secretary Yvette Cooper warned that rules must not damage an industry worth £5bn a year.
Accordingly, to tighten the process language rule will be used. Students must be able to speak English. Besides that, students must at least be able to describe their courses to be pursued. That according to her will make the most in the best interests of legitimate students only.
Also tighter regulations will be introduced on the dependants of students to join them in the UK plus less flexibility in the number of years that overseas students can spend after graduation.
On top of that overseas students will have limits on hours of paid work.