Baada ya Babu wa Loliondo kuvuma kwa kasi ya ajabu tukasikia wa Rombo (fundi baiskeli) bahati mbaya hakuvuma!!!,kaja dogo wa Mbeya Mabatini, mara dada wa Tabora wote bei ya KIKOMBE ILIKUA Tshs 500/= na sasa ni Dada wa Morogoro!!. Tena huyu kaja na 'sale' KIKOMBE 200/=. Toka tusikie KIKOMBE watu Kibao wapo bize na Vikombe sasa mie sijui ngoja tuone mwisho itakuwaje HUU MWAKA WA VIKOMBE, inatishaa..
Kwa habari zaidi tembelea kero nyingi blog hapa: http://keronyingi.blogspot.com/2011/03/breaking-news-kuna-dada-wa-mji-kasoro.html
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
Showing posts with label KIKOMBE MORO. Show all posts
Showing posts with label KIKOMBE MORO. Show all posts
31 March, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)