Habari zilizojiri ni kwamba Helicopter ya NATO aina ya Chinook iliyobeba kikosi maalum cha wanajeshi wa kimarekani zaidi ya 20 imetunguliwa na kuua watu wote huko Wardak,Afghanistan.Walio kufa katika shambulizi hilo ni pamoja na wale wanao sadikika kufanikisha kumuua Osama Bin Laden .Kundi la waasi la Taliban limekiri kuhusika na mauaji hayo. Wakati huohuo Rais wa Afghanistani Hamid Karzai ametoa salamu za rambirambi NATO kufuatia ajali iliyo gharimu roho za watu 31 wa kikosi maalum toka Marekani na 7 kutoka Jeshi la nchi hio
Helicopter iliyotunguliwa na Taliban
Kwa habari zaidi soma HAPA na HAPA
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
Showing posts with label Afghanistan. Show all posts
Showing posts with label Afghanistan. Show all posts
07 August, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)