01 May, 2011

WIZI HUU SIJUI UTAISHA LINI!!!!

Hawa jamaa kweli wabunifu wa wizi yaani baada ya kututumia email nyingi kua tumeshinda mamilion ya pound  au tuwasaidie kuhamisha mamilioni yaliyo kaa hayana mwenyewe kwahio tuwape majina yetu kamili,namba za simu,anuani zetu na kadhalika ili kujipatia vijisenti bure kabisa sasa wamekuja na hii:-

To apply for the Nigeria Social Insurance Trust Fund (NSITF) Recruitment 2011, Nigeria Navy, Standard Chartered Bank, International Breweries open for experienced and graduates trainees
visit: www.nigeriaonlinejobsapplication.co.cc TO APPLY


MTAKAO IBIWA HUKU MNAJUA HUU WIZI MITANDAONI SI VIBAYA MKATOA USHUHUDA ILI WATU WENGINE WAJUE KUNA WIZI WA NAMNA HII.MTAKAO TUMIWA UJUMBE KAMA HUO JUU PIA SI VIBAYA TUKAWASIKI, MIE NDIO NISHATUMIWA HIVO NA TITLE 'LATEST NIGERIA VACANCIES' SIO HUU TU KUNA WIZI MWINGINE KAMA WA KUJIFANYA WANANUNUA PAKA WA RANGI FULANI , HELA (COIN/NOTI ZA ZAMANI) HUO NI BAADHI YA UBUNIFU WA HAWA JAMAA AMBAO SASA WAPO DUNIA NZIMA WAKISAKA NOTI KWA NAMNA HALALI NA ISIYO KWAO NI MPAKA KIELEWEKE!!

No comments: