17 May, 2010

LATEST NOKIA!!!!

Hapo lazima picha itoke very clear kama ya studio siunajua mega pixel hapo zimezingatiwa NOT LESS THAN 12 meg.pixel.....dah imenikumbusha mbali sana... zamani kulikua na siemen portable kabisa kama hio ukiwa nayo full RESPECT !!! sijui bado kuna watu wanatumia mmmh ..ivi wakumbuka simu wewe? watu waliita kila jina mshindi, sijui mbunju, ikiwa ndogo kiberiti-I miss my T600 Sony erricson enzi za meta mbeya duuh tumetoka mbali sana.Kuna mtu akiona hii post lazima aangue kicheko hehehehe!! (lol!) ...Nahisi hii itakua N 12000!!! halafu simu za hivi nimewahi ona simu moja salio laki 5 lakini simu ndo kama unavyoiona hapo akikupigia inabidi ukae na charger karibu maana itakuishia na mwingine ana Blackberry kali kweli kweli hata ku beep hai beep!!! so sad ! sijui hata hua wananunua za nini?!!

No comments: