01 May, 2011

UGANDA NAKO KUMEKUCHA,VICHAPO NJE NJE

Uganda nako shughuli ni watu na watu ndio hao wanapewa kichapo cha mbwa mwizi japo wanadai haki.Sasa sijajua huyu jamaa akija kuwa Rais siku moja atamfanya nini Museveni?! angalia video hapo chini polisi na wanajeshi walivyo mdhibiti kiongozi wa upinzani Dr Besigye. Shangingi wala halikusaidia kwani walivunja vioo vya gari lake na kumwagia maji yanayo sadikika kuwa na pili pili.Yaani combat ilikua unyama unyama!!
                                          Dr Kizza Besigye akidhibitiwa na wanajeshi


NTV

 Siasa za Africa zinataka moyo jamani duh! Angalia Video hii hapa chini jamaa (Dr Besigye) ana moyo sana na mvumilivu, hapa anaenda zake kazini na kakamatwa kama kibaka vile tena bara barani.Nadhani hapa ndipo vurugu zilipo pamba moto baada ya huyu kiongozi wa upinzani kukamatwa.

                                                                   NTV

No comments: