05 August, 2011

ORIJINO KOMEDI MPOO?? BASI TUJIUNGE!!!!

Ushawahi sikia ule usemi wa unaruka mkojo  halafu unakanyaga...... basi ndio hapa bonyeza icheze!!
Sir Charlie Chaplin alikua balaa katika uchekeshaji.Na hii style sijui kaiga wapi maana mzaha mzaha mtu unaweza jikuta unaliwa  na simba badala ya watu kucheka wataanza kuomboleza.Nisimalize utamu click and watch for yourself hahahaa!!

Mbinu za masumbwi hahahha sina mbavu unaweza dhani ni rahisi kiasi hicho nawewe ujaribu halafu ukatolewa meno ya barazani yote (Don't try this i'm warning you!).Ila nimependa he is stylish and humorous yaani mbavu zangu hapa zinauma!

No comments: