16 August, 2011

MUWEKEZAJI AKIONA MANENO HAYA LAZIMA AKIMBIE SANA.


Au wewe unaonaje? Hii kwa muwekezaji haina maana tofauti na ile ya mzazi (anaye penda mtoto afauru) kupeleka mtoto wake shule ambayo anaambiwa haina walimu,vifaa vya kufundishia,mtoto atakaa chini (hakuna viti vya kutosha) wakati anasoma,hakuna vitabu,maktaba n.k huyu atakua mzazi wa ajabu katika dunia hii.Sasa tujiulize ni muwekezaji  gani toka ndani/nje atatamani kuwekeza nchi haina umeme,maji na mafuta??.
Kipengele cha hakuna serikali (No Government) siamini labda tuseme haijawajibika katika baadhi ya mambo.

No comments: