15 June, 2011

NCHI HATARI KWA WANAWAKE...

Afghanistan, Congo na  Pakistan zimetajwa kua nchi hatari sana kwa wanawake  duniani.Ripoti ya shirika liitwalo Trust Law imethibitisha kuwepo kwa vitendo vya kinyanyasaji kwa wanawake ikiwemo ubakaji wa wanawake kila siku.India na Somalia zinafuata mkumbo na hatimaye kufanya idadi ya nchi hatari kwa wanawake kufika tano.Kwa mujibu wa ripoti hio Congo imefikisha idadi ya wanawake 1150 wanao bakwa kwa siku.

Kwa habari zaidi soma HAPA




No comments: