26 January, 2011

Heshima ya mtu mweusi kwa mzungu kwishney..

Hapa chini ni picha nimetumiwa na rafiki yangu nimecheka sina mbavu jinsi weusi tunavyo dharauliwa.I hope this is a joke na sio kweli lol.Kama ni kweli inabidi kuaandamana maana hata wazungu wezi sana tu.Kuna jirani yangu wamemuibia baiskeli japo kua mfano tofauti lakini ni wizi uleule.


No comments: