17 April, 2010

T.I.D Live in Coventry usiku huu...



Picha kutoka Michuzi Blog!

Kwa wale tunapenda kuonyesha/kujenga heshima bar basi hii ndio siku murua kabisa paleeeee PALMS BAR ambako Top In Dar (TID) atakua anawasha moto ya kitanzania.Kwakua mwaka huu party sio nyingi basi hii itakua mwake na ni weekend pia kwahio si vibaya wau kwenda kubanjuka na kutoa stress za wiki nzima maana hii nchi kama hupo makini unakua chizi bila kujijua...too much stress lol. Haya tukaruke ruke ruke huko stress zipungue

I hope ma-song atayo piga hili la ''Nyota yako'' halita kosa hehehehe, maana hili songi hata kwenye party watu hua makoti yapo viunoni...yani ni viuno kwenda mbele.cheza kidogo basi hiyo hapo.... japo napata hii sijui nani kaiiba toka EATV wapi Video orijino?? duh wabongo kwa kudesa mpaka video? lol cheza nayo hivo hivo maana inasikika tu vizuri. Mimi namtakia kila lakheri na makamuzi mazuri mtu mzima TID...

No comments: