09 April, 2010

kuwa makini na facebook maana......

yaani hii ni sawa na ile ''if walls could sing'', kuta zinaficha mengi ama kila mtu anacho fanya kingekua visible kwa wote. hehehhe nadhani watu labda watu wangekua makini na matendo yao. Kama uonavyo pichani mdada yamempata anajua mwenyewe alicho kosea lakini hayo ndo mambo yanayo jiri kwenye inbox nyingi facebook, sasa ukikosea ukaandika kwenye wall mambo yanakua kama yanavyo onekana hapo kwa picha. Tujiunge....!!






ungekua wewe ndo hii imekutokea ungefanyaje?

No comments: