Habari toka majuu (Kwa Malikia/UK aka Ukerewe) zinasema maelfu ya pauni za Uingereza aka Great Britain Pound (GBP) yaliyokua mikononi mwa polisi yaibiwa. Pesa hizo ni zile ambazo zilikamatwa kutokana na upatikanaji wake kuhusisha njia ya udanganyifu na kuhifadhiwa katika ghala yenye ulinzi mkali katika kituo kimoja cha polisi wakati uchunguzi zaidi ukiendelea. Watu watatu walitiwa hatiani kuhusishwa na sakata hilo.Hata hivyo pesa hizo kiasi cha 113,000£ zapotea katika mazingira ya kutatanisha.Uchunguzi unaendelea na hakuna polisi wala raia aliyetiwa hatiani kutokana na upotevu huo..Inashangaza eti pesa ikaibiwa kituo cha polisi!!.Hivi polisi hazina bank accounts?.Kweli Duniani kuna mambo!!
Kwa habari zaidi soma HAPA
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
Showing posts with label polisi. Show all posts
Showing posts with label polisi. Show all posts
10 April, 2012
06 August, 2011
EQUALITY BEFORE THE LAW!!!!!!!!!!!?????
Huyu ndio jamaa anaye sadikika kua mwizi aliye vamia Bank CRDB kwa kutumia mawe na kudhibitiwa na Polisi wanaolinda Bank hio kama unavyo waona wakimpa mateke ya uso.Sina hakika huyu anaweza kuwa jambazi anavamia Bank kwa mawe wakati anaona SMG mbele yake.kweli bongo tambarare!!.Kwa akili ambayo haihitaji kwenda darasani kama mlinzi ana SMG basi jambazi angekua na machine gun sio mawe lakini polisi wetu kama kawa nguvu nyingi bila kupima uzito wa tatizo jamaa kadhibitiwa kama unavyoona!! Hii ni usawa wa sheria (Equality before the law) ya pekee kabisa Tanzania huwezi pata namna hii hata ulaya!!
Mateke ya uso ni bora kuliko kichapo cha wananchi wenye hasira kali....
Ati huyu ndio jambazi??!!! Nadhani watanzania wangefurahi kusikia huyu ni fisadi!
Kwa picha na habari zaidi soma HAPA
Subscribe to:
Posts (Atom)

