Ni matumaini yangu wote muwazima kabisa na mnaendelea vizuri na mapumziko ya mwisho wa wiki .Hali kadhalika wenye shida mbalimbali na wagonjwa nawapa pole (kama wapo). Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kila jambo maana yeye anajua hata kile ambacho hujafanya ama unakusudia kufanya. Ametoa hewa ya bure ambayo tunaivuta kila siku na maisha yana kwenda kwa namna ya pekee kwa kila mmoja wetu. Kwanini tusimshukuru? Leo sina jipya nawatakia tu jumapili njema na mmalize week end kwa aman na familia zenu au mtu yeyote aliye karibu yako katika kuimaliza hii wiki (Ndugu, jamaa na marafiki n.k). Ujumbe wa leo:-
Delight yourself in the Lord and He will give the desires of your heart.
Psalm 37:4
Ujumbe huo usindikizwe na ''Trading my sorrows'', ''Butu na moyi'' na ''around the corner''. Enjoy!
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
Showing posts with label Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.. Show all posts
Showing posts with label Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.. Show all posts
02 May, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)