KUTOKANA NA MATATIZO YA FOLENI ZA HAPA NA PALE JIJINI DAR ES SALAAM PIKIPIKI (MAARUFU KAMA BODA BODA) IMEKUA KAMA MKOMBOZI JAPO KUNA TATIZO.HIVI HAWA WAENDESHAJI PIKIPIKI LESENI WANAPATA ZA HALALI? KAMA NI HALALI KWANINI AJALI NI NYINGI? NADHANI KUNA HAJA YA WATU WANAOFANYA BIASHARA HII KUA NA MAFUNZO MAALUMU YA LAZIMA KULINDA MAISHA YAO PAMOJA NA ABIRIA AMBAO WANAWABEBA.ALIYETENGENEZA HII PICHA HAJAKOSEA NI KWELI SASAHIVI KUA/KUPANDA PIKI PIKI NI SAWA NA KUTAFUTA ULEMAVU TENA WA KIZEMBE KABISA.WAJIBU WA SERIKALI HAPA NI KUTOA LESENI HALALI NA KUZIKAGUA MARA KWA MARA, PIA MTUMIAJI WA CHOMBO KAMA HIKI THAMINI MAISHA YAKO KWANINI UENDESHWE NA MTU ALIYELEWA,HANA UZOEFU AU ANAPITA SEHEMU YA HATARI NAWEWE UNAMUANGALIA TU? SERIKALI HAIWEZI FANYA KILA KITU KUA MWANGALIFU!!
Chuo United Kingdom (UK) au Gari i.e.Vogue 4x4, Toyota VX,Lexus,Rav4,Avensis Saloon BMW X5,Jaguar,Vw Touareg Passat,Golf,Ford,Land Rover TDi;TD5-6,Freelander, Honda-CRV, Nissan, Mercedes Benz,Q7/AUDI,Suzuki Vitara,Grand Vitara,Volvo,Cadillac,etc,Scania 113,124 n.k. Burudani i.e Original Plasma TV, Powerful Home Theatres,Projectors,Speakers, Dj Mixers,Digital Cameras, Laptops, Massive Data Storage Facilities(External/Internal HDD).Contact me via rijaki@ymail.com
20 October, 2011
CHANGAMOTO YA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment