12 August, 2011

...............NEW GADDAFI IN TOWN!!!!!!




Gaddafi Chameleone (LOL)
Msanii nguli wa miondoko ya ragga  nchini Uganda bwana  Joseph Mayanja aka Jose Chameleon ambaye pia anajiita dactari wa muziki abadili dini yake Catholic na kua Muislam.Mwanamziki huyu ambaye miaka michache iliyopita alioa na kufunga harusi katika dini ya kikristo na hata kuokoka (SOMA HAPA) amewaacha watu wengi midomo wazi baada ya uamuzi wake huo wa ghafla.
                                    Gaddafi Chameleone akifuatilia maelezo
Leo Ijumaa ya tarehe 12/08/2011 Chameleone ambaye jina lake kwasasa ni Gaddafi Chameleon ameonekana msikiti wa Kibuli akihudhuria swala ya Ijumaa.Hivi Gaddafi ni jina la kiislam?? Anayejua atujulishe!


Zaidi soma HAPA

No comments: