07 August, 2011

ATI ALIZALIWA NA PHD??


Big up Said Michael umetisha japo nina swali moja tu dogo la msingi.Je haya ndio matumizi halisi ya Phd au ni utani tu?.Kama hio ndio maana yake basi watanzania watakua na maswali mengi sana kwa wasomi walio katika nyadhifa mbalimbali je nini mchango wao kwa serikali na jamii kwa ujumla?

No comments: