Habari zaidi zinasema kuwa kambi ya Gongo la mboto ndio inayo hifadhi silaha nzito za kijeshi kwahio madhara ya mlipuko wa mabomu hayo huenda ikawa kubwa zaidi ya ile ya April 2009 kambi ya Mbagala

Nyumba iliyo dhurika kwa bomu
(Picha kwa hisani ya The Habari.com)

bomu katika makazi ya watu (Star Tv)

Darasa lililo bomolewa na bomu Pugu sec (Star Tv)

Kipande cha bomu kilichotua mtaani

msururu wa watu wakijaribu kuokoa roho zao
Rijaki blog inatoa pole kwa waathirika wa mlipuko huo wa mabomu Gongolamboto,ndugu,jamaa, marafiki na Mungu azilaze mahala pema peponi roho za walio tangulia mbele ya haki katika tukio hilo.
No comments:
Post a Comment