14 July, 2010

Ushawahi sikia Radio Mbao???!!!

Kuna kipindi nilisoma mahali kua kuna Radio inatarajiwa kuanzishwa na inaitwa Radio mbao nikadhani ndio zile kama wanavyoita magazeti ya udaku.Lakini nimejaribu isikiliza kwa wale wanao sikiliza Bongo Radio basi Radio mbao haitakua na tofauti kubwa kwani zote ni Internet based Radio. Pamoja na jina la Radio hio kua la ajabu nina imani watu wengi wamevutika kuisikiliza na kwa wale tunaopenda muziki basi ukifungua 'Radio Mbao' utaburudika vya kutosha.

Na kwa wale waliokua hawajui kama iko LIVE HEWANI basi mnaweza isikia wenyewe hapa
http://cp.radiostreamhost.com/radio/player.php?station=kpentertainment&nc=5976812

No comments: