19 April, 2010

Anataka mara 10 kwa siku!!!!

Maajabu yaliyotokana na wii fit , hii ni video game ilo tengenezwa na Nintendo maalumu kwa kufanyia mazoezi kwa kufuatiza video. Mwanamke mmoja yamempata baada ya kuanguka akiwa anafanya mazoezi kutumia hio wii fit video game na kuumia mshipa ambao kwa mujibu wa daktari wake mwanamke huyo atakua na misisimko ya mapenzi isiyo isha. Kwahio sasahivi mwanamke huyu ataka apewe mara 10 kwa siku.Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 24 aishie jijini manchester amekaririwa akisema kuanguka kwake kumempelekea awe mpenda ngono kupita kawaida na anataka afanye angalau mara 10 kwa siku na anaamini ipo siku atapata mwanaume mwenye uwezo huo …lol sijui kama yupo 10x a day????!! duuuh. Habari zaidi zinasema mitetemo kama ya simu, mashine ya kuosha na mingine humfanya huyo dada asisimke na kua tayari kabisa kwa tendo la ndoa.

Hata hivyo waosha vinywa hawakubaki nyuma, wamesikika wakisema lazima wawanunulie mashine ya aina hio wapenzi wao ili nao wawe wanapenda ngono kama huyo dada….sina hakika kama wanauwezo huo wa mara kumi kwa siku kama sio kua wateja wa viagra hehehe kazi kweli kweli.Aidha madai ya watu kuumia kupitia wii fit hapa UK mengi yame postiwa youtube. Kwahio watumiaji wa wii fit wameshauriwa kua makini na matumizi ya hio video game kuepuka madhara mbalimbali yanayo weza hatarisha afya zao.inaonyesha wii fit ina watumiaji wengi sana. Wii fit is an exercise game ambayo imeshika nafasi ya pili kimauzo katika Video games in history).
--------------------------------------------------------------------------------------------------

Kwa habari zaidi soma hapa: http://www.postchronicle.com/news/original/article_212295798.shtml

No comments: