10 May, 2010

Hongera sana Ernest Makulilo


(Picha toka Facebook)

Napenda kutumia fursa hii kukupa hongera Mdau Ernest Makulilo kwa hatua uliofikia ya kufunga pingu za maisha na kuachana ukapera. Japo sijajua watu ( wabongo) wanataka nini hasa waonapo mtu anafanikiwa ama kufanya jambo fulani zuri huishia kuponda na kutoa comments zinazo katisha tamaa! Yaani sasa imekua kama ndo msemo mtu akioa mzungu anataka PAPERS aka MAKARATASI!!! Hua nashindwa kupata jibu kama kwa sasa watu wameanza kupanga maisha ya mtu mwingine ama Mungu pekee ndio anaweza panga?? Na kwanini mtu aponde wakati maisha ni ya kwako si yake na wala haya mhusu?! kwanini kila asiangalie maisha yake?

Nilipoona hii '' MZEE WA NONDOZZZZZZZ ERNEST MAKULILO NA MARIE WAMEREMETA'' nilifurahi lakini nikawa na shauku kuona comments ambazo zilikua nyingi kabisa... kwa muda huo zilikua 52...nilitegemea kuona HONGERA nyingiiiii lakini cha ajabu na kilicho sikitisha zaidi karibia kila comment inasema MAKARATASI,MARA SIJUI AGE IS JUST A NUMBER!!! what is this for? kwa mtindo huu ninathubutu kusema kuna watu wataishia kusema ya watu na kushindwa kufanya yao....kwani MAKARATASI NDIO NINI? MTU BILA MAKARATASI HUWEZI ISHI? wewe maisha yake yanakuhusu nini? kwanini kama huna cha kuongea usikae kimya??!!

LAZIMA TUFIKE MAHALI TUKUBALI MATOKEO...Mtu sijui niite HATER anatoa comment kama hii '' nasikia harufu ya MAKATARATASI AU hapo hakuna kitu ila MAKARATASI halafu mwisho anamalizia HONGERA SANA!!! Kama sio unafiki ni nini??!! kwahio mtu anaponda huku anakubali kimoyo moyo..kiukweli sio nzuri wenye tabia kama hizi ni vema wakabadirika kwani ni wazi kwamba mtu ukiwa na roho ya korosho hutakaa uendelee utabaki kusema ya watu tu, fanya yako..kila mtu ana yake FANYA YAKO!! na ukiwa huna cha kuongea ni vema KUKAA KIMYAA HAIKUPUNGUZII CHOCHOTE kuliko kumaliza muda wako kuongea ya watu!! ( yani comments zimenichefua utadhani nasemwa mimi hahahhaha!!)


(Picha toka Facebook)

picha zaidi toka facebook>>>
http://www.facebook.com/photo.php?pid=12573404&id=623205200

Binafsi natumaini Mungu atakubariki zaidi na maisha yatakua mazuri kwa sasa na huko mbeleni maneno ya watu ni kama mbu nje ya net au kelele za vyura ambazo hazizuii ng'ombe kunywa maji mtoni hehehe!. Pamoja na mambo mengine umekua mtu wa kujitolea kutoa habari mbalimbali za vyuo na scholarship ambazo zimesaidia watu mbalimbali katika kujipatia habari za namna hio kupitia blog yako
ni imani yangu wapenda maendeleo watakubaliana na mimi katika kutambua mchango wako katika swala zima la elimu. Kwa kupata habari zaidi za scholarships tembelea
-------------------------------------------------------------------------------------
http://www.makulilo.blogspot.com/ na
http://scholarshipnetwork.ning.com/

06 May, 2010

Nilihisi masikio yanakosea kusikia...

Ngoja nicheke kwanza (hahahhahahhahaha uwiiiii) leo nimekutana na hii na mdhungu:-

Me: hello!
Mdhungu: hi, you alright?
Me: yeah I’m good thanks!
Mdhungu: how is your day…..busy?
Me: I’m always busy sir
Mdhungu: ok… you must be a hard working man
Me: Exactly (I laughed a bit lol)
Mdhungu: are you from Africa?
Me: yes
Mdhungu: who is the president of Africa?
Me: I was like…F**** hell, say it again (I pretended not to have heard the question very well)
Mdhungu: I said who is the president of Africa?
Me: Africa is not a country …Is a continent man (lol)
Mdhungu: really? Well ermm is there houses?
Me: (I wanted to say NO basi tu) yes better than those we’ve here
Mdhungu: No it cannot be possible, a friend of mine told me is just like a forest
Me: google it you will see….
Mdhungu: ok
Me: have you ever been outside UK?
Mdhungu: No, I can’t afford going anywhere may be Spain
Me: hahahaha ok

Yani mie sijawahi fikiria kuna wazungu wajinga kiasi hiki,mtu anajua Africa ni nchi??? Cha ajabu zaid hata haamini kama kuna Mungu duh. Ivi hawa wazungu/watu weupe si ndio walileta dini ya kanisani na misikitini kulikoni wao wanaikacha sasa hivi? Kweli duniani kuna mambo yani sikua na mbavu na huyo mzungu. Ila katika kuongea na wazungu mbalimbali inaonyesha wazungu ambao hawaja wahi toka nje ya UK ni wabaguzi kidogo

05 May, 2010

Lack of sleep 'linked to early death' wana sayansi wamesema!

Inasemekana kulala chini ya masaa sita si nzuri kwa afya yako na inapelekea mtu afe mapema. Wana sayansi hao wametoa ripoti hio baada ya kufanya tafiti 16 zilizo husisha watu/washiriki 1.5 million. Ripoti inasema 12% ya watu wanao lala chini ya masaa 6 wapo kwenye hatari ya kufa mapema zaidi kuliko wale wanaolala muda ulio shauriwa kulala.

Hata hivyo kulala zaid ya masaa 9 imehusianishwa na kudhoofika kwa afya. Hii ina maana kulala sana pia kuna pelekea kufa mapema (Professor Francesco Cappucio head of the Sleep, Health and Society Programme at the University of Warwick) amesema.

Wana sayansi hao walimaliza kwa kusema kadri siku zinavyo kwenda watu wengi wamekua wanachelewa kulala kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kujishughulisha zaidi na kazi kwa masaa mengi kutokana na msukumo wa kijamii katika swala zima la kutafuta na kumudu maisha ambayo yamekua magumu siku hadi siku. Ripoti imetolewa baada ya kujumuisha tafiti 16 zilizo fanyika UK, US, EUROPE na ASIA na kutumia zaidi ya watu 1.3 Million.

Aidha watu laki moja wame ripotiwa kufa kutokana na sababu za kutolala kwa muda unaotakiwa ama kulala sana kupitiliza muda ulio shauriwa.

Hapa lile kundi la walevi aka wanywaji au walipa kodi wakubwa kupitia pombe wako hatarini kwa sababu unakuta mtu anakunywa hadi usiku wa manane wakati huo huo asubuhi anaingia kazini.

wale wakusoma mashuleni(wale wakusoma & walimu), dukani kuuza( wafanya biashara)Internet cafe (wale wanaomiliki ama kufanya kazi aina hizo za ofisi) bila kusahau wanao penda kuchat kwa muda mrefu (msiniseme LOL..), wahudumu sehemu mbalimbali za huduma za kijamii kama Guest house, Hotels,Bar, Night/late Clubs,casino na nyingine nyingi sana waweza zitaja

Niliwahi andika article ya the Value of time nadhani inaweza kua suluhisho kwa wanao kesha bila sababu za msingi na hatimaye kuto lala vizuri kwani hakuna bank ya kuweka muda eti nitautumia baadae, hio haipo cha msingi ni kupanga mambo yako vizuri ili ikifika saa ya kulala ulale!.


unaweza soma zaidi yahoo uk news on Lack of sleep 'linked to early death'

Ash Clouds returns to the UK.

Some airspace in the UK have been closed again due to the cloud of volcanic ash from the Iceland which has once again returned leading to disrupted passengers travel plans. Flights affected of the same include those over parts of Scotland, Northern Ireland and the Republic of Ireland. Similarly, Glasgow, Edinburgh, Dublin and Belfast International are amongst the airports affected. Glasgow flights resumes on Thursday 0100 whereas Edinburgh resumes 1900 tonight. However the Civil Aviation Authority (CAA) will give updates after 1800.

Last month, the ash cloud forced the closure of much of Europe's airspace for almost a week. Thus this time, the CAA says passengers should contact their airlines to check whether their flight is operating. At the same time passengers are warned of the EMAIL SCAMS targeting passengers whom their travel plans been disrupted by the ash. Hence, they are advised to delete any message asking for personal details including passport information for refund. Instead all inquiry/claims have to be directed to the airline first for further details.

(Source: uk news/yahoo.com)

Read more at http://uk.news.yahoo.com/5/20100505/tuk-new-no-fly-zone-as-ash-cloud-returns-45dbed5.html

02 May, 2010

Juma pili njema wote

Ni matumaini yangu wote muwazima kabisa na mnaendelea vizuri na mapumziko ya mwisho wa wiki .Hali kadhalika wenye shida mbalimbali na wagonjwa nawapa pole (kama wapo). Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kila jambo maana yeye anajua hata kile ambacho hujafanya ama unakusudia kufanya. Ametoa hewa ya bure ambayo tunaivuta kila siku na maisha yana kwenda kwa namna ya pekee kwa kila mmoja wetu. Kwanini tusimshukuru? Leo sina jipya nawatakia tu jumapili njema na mmalize week end kwa aman na familia zenu au mtu yeyote aliye karibu yako katika kuimaliza hii wiki (Ndugu, jamaa na marafiki n.k). Ujumbe wa leo:-

Delight yourself in the Lord and He will give the desires of your heart.
Psalm 37:4


Ujumbe huo usindikizwe na ''Trading my sorrows'', ''Butu na moyi'' na ''around the corner''. Enjoy!







30 April, 2010

Sitaacha kusema hii....

Niseme tu mwenye kupata habari kama hizi ajaribu kuwapa na ndugu jamaa na marafiki kwani wanao ibiwa kwa mtindo huu ni wengi japo ni kimya kimya,trust me watu hawasemi kama wameibiwa.Mimi kabla sijawa mtaalamu wa internet nimewahi shuhudia watu kama watatu hivi ambao waliibiwa na wadanganyifu wa aina hii na nilijua kwani ni watu wangu wa karibu vinginevyo nisinge jua watu hawasemi haya mambo!. Kwahio namaanisha kutoa habari za aina hii ili mtu akija kuibiwa kwa style hii unless alikua hajui ila kama kapuuzia hakuna lawama, Nadhani nimeeleweka, kwahio ukiona hii jua ni wizi mtupu kwani hujashiriki LOTTERY/bahati nasibu yoyote jiulize kwanini uipate tufrom no where? hii ni kukuvuta tu ujione umenahatika na kwakua baadhi yetu tunapenda short cut katika kutafuta maisha unajikuta umeingia kwenye utapeli wa aina hii. Kama nilivyosema post zilizo pita huu utapeli unakuja kwa namna mbali mbali kwahio kua makini.Tujiunge....


The National Lottery Winner
Customer Service
PO Box 227
W10 CRUMA ROAD
BURKINA FASO.

Dear Lucky Winner
The Board of Directors, members of staff and the International Awareness Promotion Department of the BURKINA FASO National Lottery, wishes to congratulate you on your success as one of our FIVE (5) STAR PRIZE WINNER in this new years' National Lottery promotion draw held here in Burina Faso.

We are pleased to inform you that your email address has won you a consolation cash prize of 950, 000 Euro (Nine Hundred and fifty thousand euro) credited to file NL/209463-7644. We found your e-mail from an exclusive list of 52,000 e-mail addresses of individual and corporate bodies picked by an advanced automated random computer search from the internet for the e-mail ballot promotion organized for the (ECONOMY CRISES) by the National Lottery to support individuals from different part of the globe, no tickets were sold but all email addresses were assigned to different ticket numbers for representation and privacy. After this automated computer ballot, your e-mail address emerged as one of the lucky winners in the category "A".
How to claim your winning, send your information.

These are your Winning Information and Identification Numbers:
Batch Number........................ .... 123/08/09474
Winning Numbers...................... 02,07,19,24,35
Reference Number..................... YLINC/09697809
Payment No............................ .... YML27536
NAMES.....................................
ADDRESS: 3.............................
SEX.........................................
AGE.........................................
COUNTRY................................
OCCUPATION/POSITION.........
TELEPHONE NO......................
COMPANY...............................
EMAIL ADDRESS....................
Yours Sincerely,


DR WILLIAMS DUKE
Mega Millions Payment Officer.
TEL: +226 75743540

Endeavour to email your event manager the following information above including your file number (UKNL/20511465463-7644) for immediate processing, verification and legalization of claims in order for payment to be made to you as required, in accordance with our payout policy.
Congratulations once more from our members of staff.
Yours Sincerely,

Dr Williams Duke
Best Regard

(NB: Huu ni wizi mitandaoni usijibu chochote ifute tu)

26 April, 2010

Haibiwi mtu....

Nimepata hii email kutoka kwa my best friend ambaye anaishi Tanzania lakini si yeye ndiye alietuma. Hii inamaana kuna mtu anatumia account yake kutumia watu email kama hivi ili kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.Nina uhakika watu wengi sana watakua wamepata emails za mtindo huu.Ni scam tu kwa hio unless stated otherwise email za hivi ni wizi pia, mjulishe na mwenzio ukipata ujumbe kama huu

Am sorry i didn't inform you about my urgent trip to London, i don't have much time on the PC here,so i have to brief you my present situation which requires your urgent response actually,

I had a trip to London but unfortunately for me all my money got stolen at the hotel where i lodged due to a robbery incident that happened in the hotel.I had been so restless since last night because i have been without any money moreover the Hotel's telephone lines here got disconnected by the robbers and they are trying to get them fixed back i have access to only emails at the library because my mobile cant work here so i didn't bring it along,please i want you to help me with money so please can you send me 850 Pounds or any amount you can afford so when i return back i would refund it back to you as soon as i get home,Am so confused right now and don't know what to do,

I had been to the embassy and they are currently looking into my case,Please send the money through Western Union Money Transfer so i will get it immediately its sent,i want you to please transfer the money as soon as possible.Here is the details you need for the transfer below,

Receivers Names: (Jina kapuni)
Receivers Address: 328 Mile End Road
City- London
Country- UK
Zip Code- E1 4NS

Please get back to me as soon as you have the money sent,once you are done with the transfer just help me to scan a copy of the receipt given to you by Western Union or help me to write out the Money Transfer Control Number(MTCN)

I will be waiting for your help. Thank you so much

Best Regards,
(Jina kapuni).

Wizi mtupu......

Kama ilivyo ada nimekua nikitoa hapa taarifa mbalimbali kuhusiana na na wizi wa habari mitandaoni. Ifuatayo ni moja kati ya emails ambazo zinalenga kuendeleza wizi wa taarifa zako unazotumia kufungua email account yako.Unaweza shangaa kwanini taarifa za namna hii ni nyingi humu kwenye blog lakini kwa kuzingatia umuhimu wa watumiaji wa internet popote pale walipo nimekua interested kutoa taarifa za hivi kwa sababu sio wote wanajua huu ni udanganyifu ulio kithiri mtandaoni.Kwahio basi ukipata email ya namna hii wewe ifute endelea na shughuli zako wala usihangaike kwa lolote.Chini hapa ni email yanyewe ninayo zungumzia na ni vizuri kutambua email za hivi zinakuja kwa mifumo tofauti lakini ujumbe unaweza kua ule ule ama ukawa na tofauti kidogo lakini lengo ni moja tu kupata habari zako watakazo tumia watakavyo hawa hackers.

Dear User,

We are sorry to inform you that we are currently working on securing our
server, during this process accounts which are not manually verified by us
will be deleted, Please confirm and submit your information for manual
verification by one of our customer care.

Information which is to be provided is below:
User Name:
User Id:
Password:
Date Of Birth:
Country (At Sign up):

Upon confirmation of information from you, we will manually verify your
Yahoo! Account and reserve it from being deleted, we are sorry for any
inconveniences this might have caused providing your information over the
email.

Warning!!! Account owner that refuses to update his/her account after two
weeks of receiving this warning will lose his or her account permanently.
______________________________________________________________________________

Copyright © 2010 Yahoo! Inc. All rights reserved. Copyright/IP Policy
Terms of Service Guide to Online Security

NOTICE: We collect personal information on this site.

To learn more about how we use your information, see our Privacy Policy

23 April, 2010

Tuna kwenda sawa.....

Twende sawa yani pasu kwa pasu wewe chukua watoto mie nachukua dolari hehehehe kazi kweli kweli. Sasa sijui dolari hizi bata atapeleka wapi? mmmh!

22 April, 2010

your life is no longer beautiful..kanya boya please be informed!

Kama nilivyokua nikisema mara kwa mara kuhusu wizi wa taarifa zetu mbalimbali mitandaoni na hawa HACKERS ambao inasemekana wana fikiri 5 Minutes ahead of any ordinary computer (PC)/Internet user. Nimepata hii taarifa dakika chache zilizopita toka kwa rafiki yangu Deo Shakiula toka Mwanza Tanzania. Nashukuru sana mkuu.

Kanya boya yenyewe inaenda kama ilivyo hapa chini, mjulishe na mwenzio

This information arrived this morning, Direct from both Microsoft and Norton. Please send it to everybody you know who has access to the Internet..
IF A PERSON NAMED SIMON ASHTON ( SIMON25@HOTMAIL.CO.UK ) CONTACTS YOU
THROUGH EMAIL DON'T OPEN THE MESSAGE. DELETE IT BECAUSE HE IS A HACKER!!

TELL EVERYONE ON YOUR LIST BECAUSE IF SOMEBODY ON YOUR LIST ADDS HIM THEN YOU WILL GET HIM ON YOUR LIST. HE WILL FIGURE OUT YOUR ID, COMPUTER ADDRESS, SO COPY AND PASTE THIS MESSAGE TO EVERYONE EVEN IF YOU DON'T CARE ABOUT THEM AND FAST BECAUSE IF HE HACKS THEIR EMAIL HE HACKS YOUR MAIL TOO!!!!!

Anyone using internet mail such as Yahoo, Hotmail, AOL and so on is at risk. You may receive an apparently harmless e-mail titled, 'Mail Server
Report.'

If you open the file, a message will appear on your screen saying:
'It is too late now, your life is no longer beautiful.'

Subsequently you will LOSE EVERYTHING IN YOUR PC,
and this person will gain access to your name, e-mail and password.

This is a new virus which started to circulate on Saturday 6/3/10 afternoon.
AOL has already confirmed the severity, and the anti virus softwares are not capable of destroying it .

The virus has been created by a hacker who calls himself 'life owner'.

PLEASE SEND A COPY OF THIS E-MAIL TO ALL YOUR FRIENDS, And ask them to PASS IT ON IMMEDIATELY

Man u iko juu kama kawa!!

(Image from desktoprating.com)

A.K.A mashetani wekundu maarufu kama man u wazidi kung’ara. Ripoti ilotolewa na Eurosport Thu, 22 Apr 10:28:00 2010 kwa hisani ya Forbes inaonyesha Manchester United kua ni club ya kwanza yenye thamani kubwa kimichezo kwa thamani ya takribani £ 1.2 Billion na kuipita NFL the Dallas cowboys ya marekani yenye thamani ya £1.072 billion. Club inayofuata kwa utajiri kimichezo ni baseball's number one club the New York Yankees yenye thamani ya takribani £1.040 billion. Wakati huo huo ripoti hio katika Nyanja ya soka imeonyesha Man u kua ya kwanza na kufuatia na Real Madrid kwa thamani ya takribani £ 859 Million na watunza silaha maarufu kama Asernal kushika nafasi ya tatu kwa thamani ya £ 767 Million; Barca nafasi ya 4 kwa thamani ya £ 650 Million (but debt free club) unaweza malizia kwa kuangalia top 20 hapa chini.

Rank ---- Team ---- Country ---- Value
1 ---- Manchester United ---- England ---- £1,192m
2 ---- Real Madrid ----Spain ---- £859m
3 ---- Arsenal ---- England ---- £767m
4 ---- Barcelona ---- Spain ---- £650m
5 ---- Bayern Munich ---- Germany ---- £643m
6 ---- Liverpool ---- England ---- £534m
7 ---- AC Milan ---- Italy ---- £520m
8 ---- Juventus ---- Italy ---- £426m
9 ---- Chelsea ---- England ---- £420m
10 ---- Internazionale ---- Italy ---- £268m
11 ---- Schalke ---- Germany ---- £249m
12 ---- Tottenham Hotspur ---- England ---- £242m
13 ---- Lyon ---- France ---- £216m
14 ---- Hamburg ---- Germany ---- £214m
15 ---- Roma ---- Italy ---- £200m
16 ---- Werder Bremen ---- Germany ---- £178m
17 ---- Marseille ---- France ---- £170m
18 ---- Borussia Dortmund ---- Germany ---- £170m
19 ---- Manchester City ---- England ---- £168m
20 ---- Newcastle United ---- England ---- £129m
-------------------------------------------------------------------------------------
(Source:Eurosport)
Read more:- http://uk.eurosport.yahoo.com/22042010/58/premier-league-united-named-world-most-valuable-club.html

Ukisikia customer kero...

(picha toka wavuti.com)
Customer care ama customer kero? Hehehe nadhani ifike wakati sekta ya umma na mashirika yake bila kusahau sekta binafsi yaangalie utendaji kazi wa customer care zao ili zisiwe customer kero kama ilivyo kwenye cartoon. Kuangalia utendaji wake wa kazi ni pamoja nakuangalia namna mteja anaweza pewa huduma bila adha yoyote kuanzia kumpata mtoa huduma mpaka huduma yenyewe. Nadhani hili ni tatizo hata nchi zilizo endelea kwa baadhi ya makampuni na mashirika. Mfano makampuni yanayotoa huduma za internet na simu. Utakuta wameweka namba ya simu mathalani ya maulizo,mauzo n.k.


Tatizo liko hapa ukipiga hio namba unaanza kupewa matangazo kwanza then options kibao hufuata mfano: umepiga hio huduma kwa wateja/customer care unaambiwa ukitaka kuongea na technical advisor press 1,financial advisor press 2 reporting new fault press 3, reporting existing fault press 4 n.k. ukisha press hio unapewa options nyingine mfano: reporting existing fault una press 4, unapata hii if you need updates on the fault reported press 1, (unapewa na hii:- you only need to call if the solution given does not seem to sort you out…….we know you are call is very important to us and one of our advisor will be happy to help you time zinaenda hivo na mziki umewekewa), nyingine: to get updates over 1 week or so press 2, updates over 3weeks and mind you hapa hela yako inakwenda kwa speed ya ajabu and yet they are telling us hio call ni free haina charge wakati salio linaisha.


Na hapo they keep us waiting hivo usikute mpokea simu mwenyewe ndio yupo kwenye michapo isiyo husiana na kazi kama hio hapo weekend wapi, lile buzi umefanikiwa lichuna? Vipi Yule demu anaeleweka mzeya ama miyeyusho? Muda wa kazi huo na simu inaita jamaa ndio anaongea mambo hayo. Yani wizi mtupu saa nyingine mtu unajiuliza sasa hio customer care wameweka ya nini au ndio tuseme customer kero??? Naamini kila ofisi ina mwongozo na ethics za kazi kwa ujumla sasa kwanini watu wawe na tabia kama hizo?? Hata kama kampuni ni ya baba mtu afanye kazi inayotakiwa sio kuleta mapozi yasio na maana.Wahusika kwa namna yeyote katika hili tubadirike vinginevyo kama ni biashara basi itakosa wateja! .

20 April, 2010

Kwa scholarships zaidi tembelea hapa!

Kwa wale wenzetu wanaotafuta scholarships mbali mbali basi mnaweza kupitia site hii (nitaiweka hapo chini baada ya maelezo haya) kwa scholarships zaidi. Na kama utaona ipo ambayo unaitaka fanya application haraka iwezekanavyo ikiwa ni pamoja na kuzingatia masharti yaliyowekwa ili uwe na nafasi kubwa kuipata. Nasema hivyo kwasababu watu wanao hitaji scholarship ni wengi sana kwahio ni vema kufuata masharti na kuzingatia muda ulio wekwa kwa waombaji ili kujiweka katika nafasi kubwa kupata.
------------------------------------------------------------------------------------
Link ni hii hapa, kazi kwenu!! ukiiona hii mjulishe na mwenzio
http://www.wavuti.com/scholarships.html
Hii website ipo pia katika blog kwenye kipendele ''MITANDAO MBALI MBALI KWA JINA ''NUKTA77'' aidha kuna SCHOLARSHIPS hapo hapo kwa juu yake zipitieni pia pengine unaweza pata unayotaka.Pia msisahau kupitia www.makulilo.blogspot.com kwa scholarship zaidi.

19 April, 2010

Anataka mara 10 kwa siku!!!!

Maajabu yaliyotokana na wii fit , hii ni video game ilo tengenezwa na Nintendo maalumu kwa kufanyia mazoezi kwa kufuatiza video. Mwanamke mmoja yamempata baada ya kuanguka akiwa anafanya mazoezi kutumia hio wii fit video game na kuumia mshipa ambao kwa mujibu wa daktari wake mwanamke huyo atakua na misisimko ya mapenzi isiyo isha. Kwahio sasahivi mwanamke huyu ataka apewe mara 10 kwa siku.Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 24 aishie jijini manchester amekaririwa akisema kuanguka kwake kumempelekea awe mpenda ngono kupita kawaida na anataka afanye angalau mara 10 kwa siku na anaamini ipo siku atapata mwanaume mwenye uwezo huo …lol sijui kama yupo 10x a day????!! duuuh. Habari zaidi zinasema mitetemo kama ya simu, mashine ya kuosha na mingine humfanya huyo dada asisimke na kua tayari kabisa kwa tendo la ndoa.

Hata hivyo waosha vinywa hawakubaki nyuma, wamesikika wakisema lazima wawanunulie mashine ya aina hio wapenzi wao ili nao wawe wanapenda ngono kama huyo dada….sina hakika kama wanauwezo huo wa mara kumi kwa siku kama sio kua wateja wa viagra hehehe kazi kweli kweli.Aidha madai ya watu kuumia kupitia wii fit hapa UK mengi yame postiwa youtube. Kwahio watumiaji wa wii fit wameshauriwa kua makini na matumizi ya hio video game kuepuka madhara mbalimbali yanayo weza hatarisha afya zao.inaonyesha wii fit ina watumiaji wengi sana. Wii fit is an exercise game ambayo imeshika nafasi ya pili kimauzo katika Video games in history).
--------------------------------------------------------------------------------------------------

Kwa habari zaidi soma hapa: http://www.postchronicle.com/news/original/article_212295798.shtml

Kanya boya zaidi mitandaoni...

Wed, 7 April, 2010 15:17:45
DEAR FRIEND,I NEED YOUR ASSISTANCE.
From: Dr Maiga
To: . <.@yahoo.com>


--------------------------------------------------------------------------------


Greetings From Dr David Maiga

Dear Friend,
I am Dr David Maiga the manager auditing and accounting department African Development Bank.(ADB) Ouagadougou Burkina-faso in West Africa.For your kind attention,I will be very glad if you do assist me to relocate this sum of ($26.5M US dollars) to your account for the benefit of our both families.I discovered unclaimed sum of $26.5m US dollars in our bank which belonged to one of our late foreign customer who died with his entire family in Kenya plane crash on July 2003.

This is a genuine business,only that I cannot operate it alone without using a Foreigner who will stand as a beneficiary to the fund.The request of a foreigner as next of kin and beneficiary of the fund is because the foreigner will stand as next of kin to the deceased,that is why I decided to contact you in a good manner to assist me and also to share the benefit together with me.

The banking law and guideline here stipulates that if such money remained unclaimed after seven years,the money will be transferred into the bank treasury as unclaimed fund.You will be entitled to 40 % of this money as foreign partner,since you provide an account for the claim,5 % will be set aside for expenses incurred during the business and 55 % will be for me.There after I will visit your country for disbursement and sharing of the fund according to the percentages indicated if agreed.

By indicating your interest all other necessary vital information will be send to you on how the business will be executed.Please keep this proposal as a top secret and delete it,if you are not interested.

Now my questions are:
1) Can you handle this project?

Please let us get this fund transfer into your account.I look forward to receive your reply as soon as you receive this email.

All the best to you from,
Dr David Maiga.

NB: Sijawahi sikia mtu anataka msaada wa kutumia akaunti ya mtu mwingine zaidi ya hizi za wizi ulio enea mitandaoni, kaeni chonjo wadau. Wizi kama huu umeenea sana mitandaoni kwa style mbali mbali kwahio ukipata e-mail ambayo imekaa kipesa pesa basi ujue umetegwa na kama hutakua makini utaibiwa, watu wengi washaibiwa sana na watu wa design hii.

17 April, 2010

HATER vs UKWELI.....????!!!

Kutokana na kwamba mada ilopita ilikua inahusu maana ya HATER sitatoa tena maana ya neno hilo hapa.Nimekua nikipitia vyanzo vya habari mbali mbali kuhusiana na ma-celebrity wetu ( watanzania), raia wa kawaida hata viongozi pia nje na ndani ya Tanzania. Nimekua nashindwa kupata maana halisi ya HATER hasa pale mtu akisema ukweli ama kinyume kuhusu mtu mwingine ambaye kafanya kitu kwa maendeleo yake binafsi. Pamoja na hayo kuna watu wanawasema watu wengine bila kua na chanzo sahihi ama ukweli wa jambo wanalo ongelea sasa sijui hawa wanaingia kundi gani?.

Mimi kuna siku nimekutana na mtu (jina kapuni) akimuongelea celebrity mmoja wakibongo (Mwana Falsafa ama Mwana FA) eti yuko HARVARD UNIVERSITY (USA) anasoma huko masters. Nikamuuliza kama habari kapata wapi akajibu mie huyo celebrity ni rafiki yangu kaniambia mwenyewe!!! Nikamuuliza anasoma nini huko Harvard? Akajibu sijui ila ni masters degree. Nikamwambia mie huyo celeb.. unaye msema nipo naye Chuo kimoja UK ila tuko kozi tofauti na pia anaishi mji mmoja na mimi. Kabla sijamalizia kuongea nikaitwa labda kama mimi ni HATER ila jamaa anasoma states. Sasa ndio nashindwa kuelewa maana ya HATER ni ipi yaani ni Yule anayesema ukweli ama anaye danganya ama msingizia mtu???!! Na kwanini mtu ukomalie kitu usichojua ukweli halisi??

Ok! Kama nilivyosema katika pita pita vyombo mbali mbali vya habari mtandaoni nikakutana na mtandao wa ma-celebrity mtu yule yule kasemwa kwamba yuko UK anasoma masters. Wakati huo huo kuna watu wakasema ni uwongo UK hasomi kwa sababu kozi anayodhaniwa kuisoma haipo katika hicho chuo. Kama haitoshi wakaendelea kudai kwamba kasoma na kumaliza kwa certificate level pale IFM. Pamoja na kwamba haiwahusu ila wamefatiliana kupata taarifa isiyo sahihi na kwa vigezo wanavyo vijua wao wakalalama kapata CERTIFICATE tu how comes asome Masters?? Kutokana na mjadala huo mkali waungwana wakasema sio CERTIFICATE bali ni Adavanced Diploma ndio maana kapata nafasi ya kusoma COVENTRY UNIVERSITY hapa UK.

Sasa sijui hawa ambao hawakua na habari sahihi kuhusu Mwana FA tuwaitaje? Maana sina hakika kama hawakutaka jamaa asome ama vipi? ivi kwanini mtu uongee vitu kwa msisitizo wakati huna FACTS? Na asingesoma wangefurahi ama kununa na inawahusu nini? Na zaidi ya hapo wanadai kama kasoma basi wanataka ona japo picha za mahafali dahh!!. Sina hakika hata kama wanajua mahafali ni lini? Pamoja na hayo mtu kumaliza chuo sio kufikia mahafali kwa sababu mbali mbali mfano:kushindwa kuhudhuria siku ya tukio,matokeo yasio ridhisha (Failed Report/dissertation), kuto maliza kulipa ada na mengine.

ANGALIZO…. Sina maana moja ya haya yana mhusu muhusika…!!! Sasa sijui kama wasipo ona hizo picha atakua hajasoma ama ni vipi duh!! wali mwengu bana!!

Hali kadharika neno HATER limekua maarufu kwa raia tu na hata viongozi. Mtu akifanya jambo la mafanikio katika maisha yake waosha vinywa hua hawakosi jambo liwe la kujenga ama kubomoa.Mfano: kuna watu kadhaa, nitatoa mfano mmoja, mtu mmoja katika kijiji chetu ambako miaka ya mwishoni mwaka 1980 nyumba za bati zilikua za kuhesabu. Sasa huyo jamaa alikua anataka jenga nyumba ya bati alichofanya ni kujenga mpaka akamaliza ndipo akaenda kununua bati bila hata kuchukua vipimo vya nyumba yake kwa madai WANAOTENGENEZA BATI WANAJUA SIZE YA NYUMBA ZOTE IKIWEMO YAKE KWAKUA YEYE NI FUNDI KUJENGA KWAHIO HANA HAJA KUPIMA JAPO ALISHAURIWA AKABISHA NA KUTAKA KUPIGANA NA KUSEMA ‘’HATERS WANANIZONGA KISA NAJENGA NYUMBA YA BATI’’….Mbaya zaidi mambo ya shop with confidence maarufu kama mali iliyo nunuliwa yaweza rudishwa hayakuwepo ama hayapo tofauti na huku UK ambako mtu una shop with full confidence!! wakati huo huo sisi mambo haya Africa ni nadra sana sana ipo MALI ILIYO NUNULIWA HAIRUDISHWI!!

Sasa kwa huyu jamaa na umbali wa sehemu duka lilipo pamoja na gharama za usafiri ilikua ni karibia nusu ya gharama ya bati zote bila kusahau MALI ILIYONUNULIWA HAIRUDISHWI kwa maana hio alishanunua mbuzi kwenye gunia ni zake hana kwakuzipeleka!. Ikafika siku ya kuezeka kuweka bati hazitoshi ni fupi akitaka zitoshe basi apige paa iliyo flat juu na ndivyo alifanya na kuhamia kabisa katika hiyo nyumba kwa shangwe na mbwe zote eti mvua imkome hanyeshewi tena hehehhe!! in 3 weeks time zile bati ziliondolewa na upepo na kubomoa sehemu kubwa ya nyumba! Wale walioambiwa HATERS ndio ilikua kimbilio…sasa mimi bado sielewi maana halisi ya HATER ni nini, je ni yule anayesema ukweli ama mwongo???? Mnisaidie maana ya HATER please!!

Tukija kwa upande wa siasa na uongozi kila mara twasikia Fulani kala rushwa mtu akiinua mdomo kusema basi ni HATER maarufu kama ‘’MTU MWENYE CHUKI BINAFSI AMA ZA KISIASA’’ Hii ipo pia kwa watu wa kawaida mfano mtu ununue gari basi ukipita mtu utaambiwa unaringa na kama haitoshi inaweza jengwa nyumba barabara unayopita ili ukose kwa kupita na gari lako sasa sijui hapa ni HATER ni yupi?

AU unakuta mtu kanunua mziki mkubwa kama ule wa club kaweka ndani halafu anapiga sauti ya juu tena usiku watu wamelala akiambiwa apunguze anasema HATERS wameanza majungu wanaona wivu sasa wanataka nikasikilizie wapi mziki wangu kwani na wao si wakanunue? Sasa hapa HATER ni yupi kati anaye nyima usingizi watu na anaye sema punguza sauti? Msanii akiambiwa track yake mbovu atasema aliyesema hivo ni HATER tena hawa ndo kabisa wanapenda kusifiwa tu sio kupondwa ama kukosolewa, japo wapo wanaoponda kwa maana ya kua HATER lakini wapo ambao wanakosoa kwa maana yakutaka mtu ajirekebishe Ivi HATER ni nani?......visa vya ma-HATER ni vingi hata wewe msomaji wangu wavijua waweza endeleza kuandika tujumuike wote hapa ila twambie HATER ni nani ok? hehehehe!

Well, nijuavyo mimi ni kweli jamaa kasoma COVENTRY UNIVERSITY kuanzia mwanzoni mwa 2009 na kumaliza mwanzoni mwa mwaka 2010. Na ratiba ya mahafali iko hivi kwa wenye kozi ya mwaka mmoja ( Masters): wale walioanza masomo mwanzoni mwa mwaka watamaliza mwanzoni mwa mwaka kwa mwana unaofata mfano: January na February Mahafali ni July, hali kadharika walio anza September intake wanamaliza September mwaka ujao na mahafali yao ni November ya mwaka huo Mfano:kuanza September 2009, kumaliza September 2010 na mahafali November 2010 yaani miezi miwili baada ya kukusanya dissertation yako ama kumaliza chuo kwa maana ya kumaliza kazi za chuo zinazo kamilisha degree yako.

Pamoja na mambo mengine, COVENTRY UNIVERSITY ni moja wapo ya vyuo vya bei rahisi ukilinganisha na vyuo vingine hapa UK pande za WEST MIDLANDS. Na kimekua kikipata umaarufu mwaka hadi mwaka kutokana na kuchukua wanafunzi wengi toka Africa wakiongozwa na Africa magharibi, Africa mashariki ikifuata, Africa kusini, Africa ya kati na kaskazini zikimalizia na hii yote ni kutokana na urahisi wa ada,maisha na usalama katika hili jiji la COVENTRY. Na kwa wale wenzetu wanaojua UK ni London basi si haba Coventry University wana Branch huko pia japo sina hakika kama ADA kwa London itakua sawa na ya Coventry ambayo ndio main campus.

Wakusoma karibuni ulaya ila uwe na moyo wa kipiganaji usiunge tu tela eti ''Naenda ulaya''!!!!huo ndo ukweli wa mambo, nikipata muda nitaleta''maisha halisi ya ulaya'' kaa mkao wa kula. Kwa leo naishia hapa, much love to you all by rijaki

T.I.D Live in Coventry usiku huu...



Picha kutoka Michuzi Blog!

Kwa wale tunapenda kuonyesha/kujenga heshima bar basi hii ndio siku murua kabisa paleeeee PALMS BAR ambako Top In Dar (TID) atakua anawasha moto ya kitanzania.Kwakua mwaka huu party sio nyingi basi hii itakua mwake na ni weekend pia kwahio si vibaya wau kwenda kubanjuka na kutoa stress za wiki nzima maana hii nchi kama hupo makini unakua chizi bila kujijua...too much stress lol. Haya tukaruke ruke ruke huko stress zipungue

I hope ma-song atayo piga hili la ''Nyota yako'' halita kosa hehehehe, maana hili songi hata kwenye party watu hua makoti yapo viunoni...yani ni viuno kwenda mbele.cheza kidogo basi hiyo hapo.... japo napata hii sijui nani kaiiba toka EATV wapi Video orijino?? duh wabongo kwa kudesa mpaka video? lol cheza nayo hivo hivo maana inasikika tu vizuri. Mimi namtakia kila lakheri na makamuzi mazuri mtu mzima TID...

13 April, 2010

Who is a Hater?

Haters By Maya Angelou
A hater is someone who is jealous and envious and spends all their
time trying to make you look small so they can look tall.
They are very negative people to say the least. Nothing is ever
good enough!

When you make your mark, you will always attract some haters...

That's why you have to be careful with whom you share your
blessings and your dreams, because some folk can't handle seeing
you blessed...

It's dangerous to be like somebody else... If God wanted you to be
like somebody else, He would have given you what He gave them! Right?

You never know what people have gone through to get what they
have...

The problem I have with haters is that they see my glory, but they
don't know my story...

If the grass looks greener on the other side of the fence, you
can rest assured that the water bill is higher there too!

We've all got some haters among us!

Some people envy you because you can:
a) Have a relationship with God
b) Light up a room when you walk in
c) Start your own business
d) Tell a man/woman to hit the curb (if he/she isn't about the right thing)
e) Raise your children without both parents being in the home

Haters can't stand to see you happy.
Haters will never want to see you succeed.
Most of our haters are people who are supposed to be on our side.

How do you handle your undercover haters?
You can handle these haters by:

1. Knowing who you are & who your true friends are
*(VERY IMPORTANT!!)

2. Having a purpose to your life: Purpose does not
mean having a job. You can have a job and still be
unfulfilled.

A purpose is having a clear sense of what God has called you to be.
Your purpose is not defined by what others think about you.

3. By remembering what you have is by divine
prerogative and not human manipulation.

Fulfill your dreams! You only have one life to live...when its your
time to leave this earth, you want to be able to say, 'I've lived my
life and fulfilled my dreams, Now I'm ready to go HOME!

When God gives you favour, you can tell your haters, 'Don't look at
me...Look at who is in charge of me...'

Read this and share with all of your family & friends who you know are
not hating on you.Just pray for them haters,so that their life can be as fulfilled as
yours! Watch out for Haters...BUT most of all don't become
a HATER!

"Love your enemies for they are your mirror to reality..."

11 April, 2010

kichina china hapa!!

Katika shughuli/mpango mzima wakuongeza nanihii aka ndombolo kwakutumia teknolojia ya wale jamaa zetu wachina basi matokeo yake baadhi ndio kama haya. Ni vizuri watu kuchukua tahadhari unapo tumia madawa hayo ya kuongeza nanihii. Nasema hivo kwasababu mtaka yote siku zote hukosa yote.Pamoja na habari hii kuna waume kwa wanawake wengi ambao wamekwisha tumia hizi dawa za jamaa zetu wachina na wengine kwa lengo la kuongeza nanilii ila matokeo yake si kama walivyotaka. Mfano kuna mwanaume ambaye alikua na nanihii ndogo kakimbiwa sana na wake kwa udogo wa nanihii yake akaona suluhisho ni mchina matokea nanihii ilikua kubwa kupita size za kawaida kwahio akaanza kukimbiwa kwa ukubwa wa mzigo.

Hali kadhalika wanawake waliotaka kuongeza kidogo ndombolo/makalio waliharibikiwa na shepu na mpango mzima makalioni kwani panaweza ongezeka ambapo hapatakiwi hivo kuharibu mpango mzima wa eneo hilo.Tuwe makini na hizo dawa vinginevyo ukiwa kama hawa usimlaumu mtu kwani ni uamuzi wako kumkosoa muumba!



.




kazi ni kazi tu...

Ule msemo wa kazi ni kazi na riziki ni popote ili mradi mkono uende kinywani unaji dhihirisha katika picha hii. Mimi nilidhani haya mambo ni ya ngozi nyeusi tu! kumbe hata weupe wamo!! sasa tuache ubitozi tufanye kazi!!!! Katika pita pita zangu nimegundua kufanya baadhi ya kazi ulaya kumepewa jina maarufu kama KUPIGA BOX kwa baadhi ya kazi ( kama hio kazi yako........heheheh), kwahio TUPIGE BOX kama tunataka pesa of which najua kila mtu anazitaka kwahio tupige kazi kwa bidii kama huyu mama japo kwa namna mbali mbali kutokana na nafasi zetu ili tuweze peleka mkono kinywani vitu kama Burger, wings,vodka na mbege kama ipo unaweza nunua ukiwa na pesa!!! Ulaya kila kitu pesa ati!




Fanya kazi!!!!

09 April, 2010

Helpful kids......

Ni vizuri sana na ni furaha kwakweli kuona mtoto wako anakusaidia kazi za nyumbani.Japo familia nyingi wanaonekana kusaidia kazi hizo ni wasichana. Hata hivyo wapo walio sikika wakilalamika kwanini watoto wakike ndio wafanye hizo kazi hususani wale wakusoma ambao wanahitaji pata muda wa kujisomea warudipo nyumbani! kama ilivyo ada kwa watoto wakiume ambao kazi za jikoni si kawaida kuona wakisaidia.(hii ni kwa watoto walio day) mie ningetaka kusoma boarding straight kama mambo yenyewe ndo hayo hehehe japo unakua unajifunza kazi za jikoni pindi utapoa anza maisha yako.

Mtu anaweza cheka hili jambo ila ni aibu kuna watu unakuta ashakua mtu mzima hajui hata kuosha sahani ama kijiko.Zamani kuna baadhi ya shule walikua wanafundisha cookery course ambayo sijawahi ona mtoto wa kiume anasoma (Late 90s pale Njombe secondari maarufu kama NJOSS) Ila sina shaka na wale ambao wameishi ulaya maana ifikapo muda wa kurudi makwao wanakua wanakaribia kua ma-chef kabisa maana huku lazima ujue kupika ama sivyo utaishia kula burger na junk food ukaharishe vizuri nyumbani kwako hahahhahha.... Well, nilichotaka kusema hapa ni kua makini na mtoto anayekusaidia na kile anacho kusaidia vinginevyo haitakua kusaidia bali uharibifu wa vitu vyako kama ionekanavyo kwa hio picha. yaani sina mbavu na hio picha naona mama mtoto ashituka na kushindwa kushangaa....

kuwa makini na facebook maana......

yaani hii ni sawa na ile ''if walls could sing'', kuta zinaficha mengi ama kila mtu anacho fanya kingekua visible kwa wote. hehehhe nadhani watu labda watu wangekua makini na matendo yao. Kama uonavyo pichani mdada yamempata anajua mwenyewe alicho kosea lakini hayo ndo mambo yanayo jiri kwenye inbox nyingi facebook, sasa ukikosea ukaandika kwenye wall mambo yanakua kama yanavyo onekana hapo kwa picha. Tujiunge....!!






ungekua wewe ndo hii imekutokea ungefanyaje?

Pata ujumbe mzuri kwa kusoma hii

This is beautiful. Read it to the end...the message is awesome!!!

By T. D. Jakes

There are people who can walk away from you.

And hear me when I tell you this! When people can walk away from you: let them walk. I don't want you to try to talk another person into staying with you, loving you, calling you, caring about you, coming to see you, staying attached to you. I mean hang up the phone.

When people can walk away from you let them walk. Your destiny is never tied to anybody that left.

The bible said that, they came out from us that it might be made manifest that they were not for us. For had they been of us, no doubt they would have continued with us. [1 John 2:19]

People leave you because they are not joined to you. And if they are not joined to you, you can't make them stay..

Let them go.

And it doesn't mean that they are a bad person it just means that their part in the story is over. And you've got to know when people's part in your story is over so that you don't keep trying to raise the dead.. You've got to know when it's dead.

You've got to know when it's over. Let me tell you something.. I've got the gift of good-bye. It's the tenth spiritual gift, I believe in good-bye.. It's not that I'm hateful, it's that I'm faithful, and I know whatever God means for me to have He'll give it to me. And if it takes too much sweat I don't need it. Stop begging people to stay.

Let them go!!

If you are holding on to something that doesn't belong to you and was never intended for your life, then you need to.......

LET IT GO!!!

If you are holding on to past hurts and pains .......

LET IT GO!!!

If someone can't treat you right, love you back, and see your worth......

LET IT GO!!!

If someone has angered you.

LET IT GO!!!

If you are holding on to some thoughts of evil and revenge.....

LET IT GO!!!

If you are involved in a wrong relationship or addiction... ..

LET IT GO!!!

If you are holding on to a job that no longer meets your needs or talents

LET IT GO!!!

If you! u have a bad attitude.... ...

LET IT GO!!!

If you keep judging others to make yourself feel better......

LET IT GO!!!

If you're stuck in the past and God is trying to take you to a new level in Him.........

LET IT GO!!!

If you are struggling with the healing of a broken relationship. ....

LET IT GO!!!

If you keep trying to help someone who won't even try to help themselves.. ....

LET IT GO!!!

If you're feeling depressed and stressed ............

LET IT GO!!!

If there is a particular situation that you are so used to handling yourself and God is saying 'take your hands off of it,' then you need to......

LET IT GO!!!

'The Battle is the Lord's!'

During the next 60 seconds, Stop whatever you are doing, and take this opportunity.. ..

(Literally it is only ONE minute!)

All you have to do is the following:

You simply say 'The Lords Prayer' for the person that sent you this message:

The Lords Prayer

Our Father, who are in Heaven, Hallowed be Thy Name, Thy Kingdom Come, Thy Will be done, on Earth as it is in Heaven. Give us this day, our daily bread and forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us. And lead us not into temptation but deliver us from evil.

For Thine is the Kingdom, and the Power, and the Glory, forever.

Amen.

Next, send this message to everyone you know. In a while, more people will have prayed for you and you would have obtained a lot of people praying for others!

Next, stop and think and appreciate God's power in your life, for doing what you know is pleasing to Him.


If you are not ashamed to do this, follow the instructions!

Jesus said, If you are ashamed of me, I will be ashamed of you before My Father'


'Yes, I love my God. He is my fountain of Life and My Savior.

He Keeps me going day and night. Without Him, I am no one. But with Him, I can do everything, Christ is my strength.' This is a simple test.

If you love God and you are not ashamed of all the great things that He has done for you, send this to everyone you know.

God loves you and watches over you everyday

08 April, 2010

Vitu vinavyo udhi katika maisha ya kila siku

1.kutaka usalimiwe ikiwa wewe hutaki kusalimia
2.kutafsiri mtu kwa namna aonekanavyo mfano: mkimya anadharau, hapendi ongea na watu, anajiona; muongeaji sana: atasemwa mwongo, mr/miss misifa, anajifanya mjuaji (maarufu kama much know!!!); ukiwa mnene a.k.a bonge: watasema manyama uzembe, mvivu na usiombe uwe na kitambi simalizii watakayosema hehehe!! ( au sema wewe, unadhani watasemaje?)
3.kudharau mtu mwingine labda kwa kipato chake kidogo ili hali mwenye kipato cha wastani ama kikubwa hana uhusiano wowote na asiye nacho na hata kama kuna uhusiano kuwa nacho si kudharau asiye nacho kwani riziki ya mtu hupangwa na Mungu
4. Kulewa na kusumbua wengine
5.kudharau kazi, wadhifa,elimu,kipato,maisha,kabila,makazi,mavazi ya wengine
6. Kutongoza demu/mchumba/mke wa rafiki/ndugu yako (Tena bila aibu!!!!)
7.Kushika simu ya mwenzio na kuanza ku-browse phone book, gallery (kuangalia picha),kusoma meseji n.k
8. kuweka pass word kwenye simu ( hasa wapenzi!!!), unaficha nini????
9.kushika simu/computer ya mtu na kuanza kufanya settings bila ruhusa. Mfano simu: kubadiri ring tone, theme, menu n.k; Computer: kubadiri back ground,menu na kufungua files na kuanza kusoma ya humo
10.kutaka heshimiwa bila kuheshimu
11.Kuchunguza na kuzungumzia maisha ya mtu asiye kuhusu nap engine humjui na mbaya zaidi unajua haya kuhusu!
12.kumdharau usiye mjua
13. kumwelezea mtu usiye mjua kwa lolote.

Endeleza nyingine unazo zijua wewe hapo!
-----------------------------------------

29 March, 2010

Wizi mtupu..............

You're invited to Diane Atif

Date: Monday March 29, 2010
Time: 1:00 pm - 2:00 pm (GMT +00:00)

Hello!!! my name is Diane, i am tall, good looking, perfect body figure and sexy, i saw your profile and was delighted to contact you, i hope you will be the true loving, honest and caring one that I have been looking for, and i have something special to tell you about me, so please contact me directly through my email address at ( dianeatif1@hotmail.com) so that i can also send my picture directly to you regard Diane

Wale wapenda wadada wazuri wasio wajua basi hapa mtu unaibiwa simple!!! Wizi wa namna hii upo sana sasa hivi mtandaoni.Hii ni nyongeza tu ya kanyaboya zilizo pita! mwenye macho................

22 March, 2010

The reasons why students fail.

Being student is a milestone and nice stage in life regardless of the Level,Type of School/College/University etc, Field, Geographical location and others. Student life is both enjoyable and miserable at some point. Its enjoyable when you get and or achieve what was required of you at least in smooth and supporting environement. Above all the achievement embraced here have to be lucrative. Apparently, students life could be miserable when the learning environment does not support students in the process. Many developing countries including Tanzania experience this situation due to different reasons.For example budget deficits, misallocation of resources,lack of priorities and many others. Despite this fact it's of course debatable on the causes of student failures based on the learning environment and the students themselves. As such, they have been pointed to be the cause of failure not because they are not brilliant or serious but because of the following:

[1]:CARELESSNESS:Some Student are careless even in the exam hall.just because they want to be noticed,they will quickly rush through the question and submit their script forgetting to write their names,going astray thereby failling

[2]:OVERCONFIDENCE:Some students so much beliefs they know it all thereby relenting or abandon studying hard.This can also lead them into failures.(In this instance even class dodgers believe in a miracle of doing better during examinations)

[3]:INDISCIPLINE:Some student have a good reading time table,but do not make use of it,due to lack of self DISCIPLINE and taking things for granted

[4]:RESTLESSNESS:It is dangerous for a student who want to excel in his or her discipline to be restless,because it will weaken you,and you won't be able to read.Even if you try,you will definitely sleep off,or find it difficult to assimilate.Experiencing pre-occupied mind etc

[5]:PROCRASTINATION:Many people fall into this category.The reading,assignment or research they ought to do instantly is been prosponed or delayed,threfore leading to their failure.

[6] POOR TIME MANAGEMENT:some students have a careless mind when comes to time management. Student life requires proper use of time to meet course and or subject requirements

[7] LACK OF TIME TABLES: Some Students do not bother making their own self timetbles to revise or self study after classes.Lacking timetables foster failure in balancing time to read every subject, instead one can find himself/herself reading one subject everyday!!

[8] DIVERTED INTERESTS:Due to Teaching that fails to engage the students who finally will like watching movies,game station, chatting, reading story books rather than those recommended for the subject or modules resulting to poor time management.Also they hate the school or the building because for them it is boring

[9] LACK OF MOTIVATION on the student's or teacher's part, no parental involvement or encouragement, unassessed/untreated learning disabilities(poor support). It could even be drug or alcohol problems or illness .. so many factors really.

[10] LACK OF PUNCTUALITY:

20 March, 2010

kanya boya toka facebook, mwenye macho......

Hi kanya boya nimetumiwa mimi ila ni fake as usual, wizi wa habari zako kwa namna moja ama nyingine.Hii inaweza kumtokea mtu kama atafuata maelekezo wanayotoa bila tahadhari yoyote. Utapeli kama huu uko pia kwenye yahoo accounts na social networks nyingine.Ni vizuri kua waangalifu tunapotumia tarifa zetu ama kujiunga mitandao mbali mbali ya kijamii kwani 'hackers' wengi wamevamia mitandao kama hiyo kwani ni rahisi kupata habari za watu wengi kwa pamoja.Aidha information wanazo taka ni pamoja na majina yako kamili, tarehe ya kuzaliwa,anuani ya unapoishi, simu,pia bank details.Mimi nimeshawahi tumia attached file lililo tumwa na mtu ninaye mjua toka facebook lkn nikitaka kufungua lina nipa option ya INSTALL badala ya DOWNLOAD/OPEN. Nikaona si vema ku-install kitu nisicho kijua bali nikumuuliza aliyetuma kama kanitumia nini, akajibu hajatuma ujumbe wowote kwangu kupitia facebook, tuweni makini vinginevyo tutalia. chini ni mfano wa meseji nilotumiwa kuhusa facebook account na same massage nimewahi tumiwa yahoo account.


Hey rik ,

Because of the measures taken to provide safety to our clients, your password has been changed.
You can find your new password in attached document.

Thanks,
The Facebook Team.


wiziiiii mtupuuu

17 March, 2010

KANYA BOYA ZAIDI 2

SOMA HIZI ZAIDI MUHABARISHE NA MWENZIO MIE NIMEMALIZA!!
-------------------------------------------------------

1.

àéGreetings From Mr. Adamou.

Dear Friend,
For your kind attention.I will be very glad if you do assist me to relocate this sum of ( US$10.2M ) to your account for the benefit of our both families

This is a genuine business,only I cannot operate it alone without using a Foreigner who will stand as a beneficiary to the money, that is why I decided to contact you in a good manner to assist me and also to share the benefit together with me.
You will be entitled to 40 % of this money as foreign partner, since you provide an account for the claim,5 % will be set aside for expenses incured during the business and 55 % will be for me.

By indicating your interest I will send you the full details on how the business will be executed.
Please keep this proposal as a top secret and delete it, if you are not interested.
Regards,
Mr. Adamou.
------------------------------------------------------------------------------------
-------------------------------------------------------------------------------------

2.

FROM: MR PAUL
Bills & Exchange Manager
BANK OF AFRICA (BOA)
BURKINA-FASO WEST AFRICA.
0022676356285
Dear Friend,

Sorry to distract your attention, I am Mr Paul the bill and exchange manager in the bank of Africa Ouagadougou Burkina Faso. In my department, I found the deposited fund amounted $30M (Thirty Million United States Dollars) owned by a disease customer who died in the air crash with his entire family. However, I shall detail you with the full information as soon as I hear from you.
Can you be able and capable to assist me by providing me with your receiving bank account where this fund will lodge in your favour?
I shall give you 30% of the total sum as soon as this fund hits your account and I shall visit you in your country for the shearing. Please this is very confidential.
If you are interested, please forward me the bellow
information's;
Your name:
Your country:
Bank name and address
phone Number:
Your Tel/fax:
Your age:
Your occupation:

Thank for your anticipated co-operation
Contact me through this email id paul2010@voila.fr

Mr Paul
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

3.

Vous êtes invité :: Trusting to hear from you immediately
Par votre hôte: Habu Musa

Date: mercredi 3 mars 2010
Heure: 14h 00 - 15h 00 (GMT+00:00)
Rue: I am Mr.Habu Musa the manager of auditing and accounting department of BANK OF AFRICA (B.O.A) here in Ouagadougou, Burkina Faso. In my department we discovered an abandoned sum US$14million us dollars) in an account that belongs to one of our foreign customer (MR. RICHARD BURSON from Florida,USA) who died along with his entire family on November 1999 in a plane crash.Since we got information about his death, we have been expecting his next of kin to come over and claim his money because we can not release it unless some body applies for it as next of kin or relation to the deceased. unfortunately we learnt that all his supposed next of kin or relation died alongside with him at the plane crash leaving nobody behind for the claim. It is therefore upon this discovery that I now decided to make this business proposal to you,so that the money can be release to you as the next of kin. send me your contact information. 1.Age.(2)Residential adress(3) occupation(4)private telephone. to habumusa@gmail.com Thank you.

Viendrez-vous ? Répondre à cette invitation
Copyright © 2010 Yahoo! Tous droits réservés. | Conditions d'utilisation | Données personnelles
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

4.

FROM: MR.ISSAKA OUEDRAOGO.

AUDITS & ACCOUNTS DEPT

African Development Bank (A.D.B)

Ouagadougou-Burkina Faso.

PHONE NUMBER 0022678341752

Attn: Please,
This Message Might Meet You In Utmost Surprise. However, It's Just My Urgent Need For Foreign Partner That Made Me To Contact You For This Transaction. I Got Your Contact From Burkina Faso Chambers Of Commerce While I Was Searching For A Foreign Partner. I Assured Of Your Capability And Reliability To Champion This Business Opportunity When I Prayed To God Or Allah About You.

I Am A Banker By Profession From Burkina Faso In West Africa And Currently Holding The Post Of Manager Of Bill And Exchange At The Foreign Remittance Department, African Development Bank (A.D.B). I Have The Opportunity Of Transferring The Left Over Sum Of ($10.5 Million Dollars) That Belongs To Late Mr Rudi Hermanto From Indonesia Who Died Along With His Entire Family In The Tsunami Disaster In Indonesia And India 2004 And Since Then The Fund Has Been In A Suspense Account.

After My Further Investigation, I Discovered That Mr Rudi Hermanto Died With His Next Of Kin And According To The Laws And Constitution Guiding This Banking Institution Stated That After The Expiration Of (6) Six Years, If No Body Or Person Comes For The Claim As The Next Of Kin, The Fund Will Be Channel Into National Treasury As Unclaimed Fund. Because Of The Static Of This Transaction I Want You To Stand As The Next Of Kin So That Our Bank Will Accord You Their Recognition And Have The Fund Transfer To Your Account.

Hence, I Am Inviting You For A Business Deal Where This Money Can Be Shared Between Us In The Ratio Of 60% For Me And 40% For You. And Any Expenses Incidentally Occurred During The Transfer Will Be Incur By Both Of Us. The Transfer Is Risk Free On Both Sides Hence You Are Going To Follow My Instruction Till The Fund Transfer To Your Account.

Further Details Of The Transfer And Text Of Application Form Will Be Forwarded To You As Soon As I Receive Your Return Mail And You Should Contact Me Immediately As Soon As You Receive This Letter.

Your Full Name............................

Your Sex....................................

Your Age.................................

Your Country.................................

Passport / Driving License.......

Marital Status......................

Your Occupation.............................

Your Personal Mobile Number....................

Your Personal Fax Number......................


Trusting To Hear From You Immediately.


Regards,

Mr. Issaka Ouedraogo.

0022678341752.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

5.Dear friend my name is Mr Abraham Nuru; I am the manager of auditing and accounting department of BANK OF AFRICA (B.O.A) here in Ouagadougou, Burkina Faso. In my department we discovered an abandoned sum $ 9.2 million us dollars in an account that belongs to one of our foreign customer (DR. GEORGE BRUMLEY) from Florida, U.S.A) who died along with his entire family in a plane crash. Since we got information about his death, we have been expecting his next of kin to come over and claim his money because we can not release it unless some body applies for it as next of kin or relation to the deceased. Unfortunately I learnt that all his supposed next of kin or relation died alongside with him at the plane crash leaving nobody behind for the claim. It is therefore upon this discovery that I now decided to make this business proposal to you, so that the money can be release to you as the next of kin. The fund will be transferred into your account within 10 to 14 banking working days.
Upon your reply I will send you full details on how the business will be executed, send me your contact information's below;
(1) Name
(2).Age
(3) Residential address
(4) Occupation
(5) Private telephone.
Waiting to hear from you,
My Regards. Reply me if interested with this e-mail address... abraham.nuru001@sify.com
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

6.
I NEED YOUR ASSISTANCE AND TRUST PLEASE

Good day,

I am Nikolay Sintsov, personal assistant to Mikhail Khodorkovsky,once rated as the richest man in Russia and owner of YUKOS OIL (Russian largest oil company),chairman CEO: Menatep SBP Bank (a well reputable financial institution with its branches all over the world).

SOURCE OF FUNDS:

I have a profiling amount in an excess of US$40.5M, which I seek you to accommodate for me. You will be rewarded with 40% of the total sum for your partnership. Can you handle this?

As his personal assistant, I was authorized to transfer money of an American oil merchant for his last oil deal with my boss Mikhail Khodorkovsky.

The funds have since left the shores of America to a European private financial institution where the final crediting is to be carried out. While I was on the process, my boss got arrested for his involvement in politics by financing the leading and opposing political parties (the Union of Right Forces, led by Boris Nemtsov, and Yabloko, a liberal/social democratic party led by Gregor Yavlinsky), which posed as a threat to President Vladimir Putin's second Tenure as Russian president. Since then, I have placed on hold all transactions concerning this amount. You can catch more of the story on this website:

http://www.yukos.com
http://news.ft.com/cms/4bb9612a-d254-11d8-b661-00000e2511c8.html
http://www.hoovers.com/yukos/--ID__53700--/free-co-factsheet.xhtml
http://newsfromrussia.com/main/2003/11/13/51215.html

YOUR ROLE:

All I need from you is to stand as the beneficiary of the above mentioned sum and I will re-profile the funds with your data, which will enable the financial firm transfer the sum to you. I have decided to use this sum to relocate to the American continent and never to be connected to any of Mikhail Khodorkovsky conglomerates, presently I am in Switzerland in Europe, for a hide out,

The transaction has to be concluded as soon and as I confirm your readiness to proceed with me, I will provide you with details.

Contact me at my private email address: nikolaysit2009@gmail.com

Thank you very much.

Regards,
Nikolay Sintsov.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

7.
Dear Friend

I know that this message will come to you as a surprise. I am the Auditing and Accounting section manager in Bank Of Africa(B.O.A) Ouagadougou Burkina faso. I Hope that you will not expose or betray this trust and confident that I am about to repose on you for the mutual benefit of our both families.I need your urgent assistance in transferring the sum of ($8.5)million dollars to your account within 10 or 14 banking days. This money has been dormant for years in our Bank without claim.I want the bank to release the money to you as the nearest person to our

deceased customer I don't want the money to go into government treasury as an abandoned fund.So this is the reason why I am contacting you so that the bank can release the money to you as the next of kin to the deceased customer. Please I would like you to keep this proposal as a top secret and delete it if you are notinterested. Upon receipt of your reply, I will give you full details on how the business will be executed and also note that you will have 40% of the above mentioned sum while 50% will be for me, and the other 10% will be for the expencesoccur in this transaction,

if you agree to handle this business with me. I am expecting your urgent respond.

1. NAME IN FULL:................................
2. ADDRESS:.......................................
3. NATIONALITY:...................................
4. AGE:.............................................
5. Sex..............................................
6. OCCUPATION:......................................
7. MARITAL STATUS:..................................
8. PHONE............................................
9. FAX:.............................................

BEST REGARD.
MR ANNAMIKK USMAN,

--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

8.


PLEASE READ CAREFULLY AND GET BACK TO ME? PHONE NUMBER +226-78-40-21-98

FROM THE DESK OF MR. MUSA MICH.
FOREIGN REMITTANCE MANAGER,
BANK OF AFRICA ,
OUAGADOUGOU, BURKINA FASO.

Good day,

I am the manager of bill and exchange at the foreign remittance department Bank of Africa(BOA). I came to know you in my private search for a reliable and reputable person to handle this Confidential Transaction,which involves the transfer of a huge sum of money to a foreign account requiring maximum confidence. An investor(our costumer)who died without naming a next of kin to his fund in my bank.

The amount in question is a about $11.6.M(Eleven million six hundred thousand US dollars) and banking regulation/legislation in Burkina Faso demand that I notify the fiscal authorities after a statutory time.The above set of facts underscores my reason of writing and making the following proposing to present you as the next of kin.you can view the site for more details:

I have all the legal and Banking details of our deceased client that will facilitate our putting you forward as the claimant/beneficiary of the funds and ultimately transfer the money to any bank account nominated by you.I am prepared to compensate you with a 30% share of the total funds for your efforts.10 % will be set aside for expenses incurred during the business and 60 % would be for me and my colleagues.

Please contact me immediately whether or not you are interested in this deal.If you are not,it will enable me scout for another foreign partner to carry out this deal.But where you are interested, contact me through my email address for more details as time is of the essence in this business.

You should contact me immediately as soon as you receive this letter.
Trusting to hear from you immediately.

Yours faithfully,

Mr.Musa Mich.
Foreign remittance manager,
Bank of Africa.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------9.
Reply Urgently
Please Read And Confidential,
I know that this message will come as a surprise to you, since we don’t know each other, but pay attention and understand my reason of contacting you through this via email, for the purpose of introduction i am (Dr. Aburi Mark) and i am credit and audits manager and currently holding the (S.F.R.D) secretary to foreign remittance director in our bank, Also i hoped that you will not expose or betray this trust and confident that i am about to repose on you for the mutual benefit of our both families and also, my status would not permit me to Do this alone.
I have a business proposal in the tune of $5.3m, (Five million three hundred thousand united state dollars only) and now i want you to help me secure this fund to your account,after the successful transfer; we shall share in ratio of 40% for you and 60% for me.

Finally, should you be interested to help me out secure this
Golding Opportunity, please get back to me urgently by calling my private phone number and as well reply through email, after that i will provide you all details and on how we shall operate this project, and your earliest response to this letter will be appreciated, Trusting to hear from you immediately.

Please treat this business with utmost confidentiality and send me the following:
(1) Full names:
(2) Private phone number:
(3) Current residential address:
(4) Occupation:
(5) Age and Sex:
Kind Regards,
Dr. Aburi Mark
Call Me For More Information Tel: +226 78-59- 47-33.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
10.
FROM MR MADAWI ATASSI
BILL AND EXCHANGE MANAGER,
BANK OF AFRICA (B.O.A) OUAGADOUGOU,
BURKINA FASO WEST AFRICA.
RE-TRANSFER OF ($10.500.000.00 USD)
(TEN MILLION FIVE HUNDRED THOUSAND DOLLARS)

Dear,

As-Salaam Alaikum

Transfer to overseas ($ 10.500.000.00 USD) Ten million Five hundred thousand United States Dollars) from the Bank of Africa, I want to ask you to quietly look for a reliable and honest person who will be capable and fit to provide either an existing bank account or to set up a new Bank a/c immediately to receive this money, even an empty a/c can serve to receive this funds quietly.

I am MR MADAWI ATASSI, the accountant personal confidant to Dr. Ravindra F. Shah who died together with his wife Dr.Mrs. Manjula Parikh-Shah in a plane crash on the 1st Oct. 2003 on their way to attend wedding in Boston.

Mr. Rainer F. Shah, is an American, a physician and industrialist, he died without having any beneficiary to his assets including his account here in Burkina Faso which he opened in a Bank of Africa in the year 2000 as his personal savings for the purpose of expansion and development of his company before his untimely death in 2003.

The amount involved is (USD 10.500,000.00)Ten Million Five Hundred Thousand USD, no other person knows about this account, I am contacting you for us to transfer this funds to your account as the beneficiary, I want tofirsttransfer$1,500.000.00( One million five hundred thousand USD) from this money into a safeaccountabroad, after which we will transfer the remaining (9M) but I don't know any foreigner, I am only contacting you as a foreigner because this money can not be approved to a local person here, without valid international foreign passport, but can only be approved to any foreigner with valid international passport or drivers license and foreign a/c because the money is in US Dollars and the former owner of the a/c Mr.Ravindra F. Shah is a foreigner too, and as such the money can only be approved into a foreign a/c.However, I am revealing this to you with believe in ALLAH that you will never let me down in this business, you are the first and the only per son that I am contacting for this business, so please reply urgently so that I will inform you the next step to take urgently.

Send also your private telephone and fax number including the full details of the account to be used for the deposit. I need your full co-operation to make this work fine. Because the management is ready to approve this payment to any foreigner who has correct information of this account, which I will give to you, upou your positive response and once I am convinced that you are capable and will meet up with instruction of a key bank official who is deeply involved with me in this business.

At the conclusion of this business, you will be given 40% of the total amount, 50% will be for me, while 10% will be for expenses both parties might have incurred during the process of transferring. I look forward to your earliest reply. madawi_atassi1@voila.fr

Sincerely,
ALLAH BLESSES YOU.
MADAWI ATASSI
BANK OF AFRICA
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

11.
Dear friend my name is (MR HASSAN ZAKI) I am the manager of auditing and accounting department Bank of African (BOA), I need your urgent assistance in transferring the sum of ($10.5m us dollars out from the bank of Africa into your bank account in your country as the real next of kin to one of our foreign customer to enable me and my family come down to meet up in your country for my own shear from the total amount with you according to the percentage and also invest with you if your country is good for both of us to make and establishment with the fund when the fund enter into your bank account

.Age.
(2)Residential adress
(3) occupation
(4)private telephone.
I am waiting to hear from you immediately to enable me release all the secret to you immediately to assist me to claim this fund out from the bank of Africa into your bank account in your country for our own benefit.

My greetings to you and your family.

Mr Hassan Zaki
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------12.
Dear Friend

I know that this message will come to you as a surprise. I am the Auditing and Accounting section manager in Bank Of Africa(B.O.A) Ouagadougou Burkina faso. I Hope that you will not expose or betray this trust and confident that I am about to repose on you for the mutual benefit of our both families.I need your urgent assistance in transferring the sum of ($12.5)million dollars to your account within 10 or 14 banking days.

This money has been dormant for years in our Bank without claim.I want the bank to release the money to you as the nearest person to our deceased customer I don't want the money to go into government treasury as an abandoned fund.So this is the reason why I am contacting you so that the bank can release the money to you as the next of kin to the deceased customer. Please I would like you to keep this proposal as a top secret and delete it if you are notinterested. Upon receipt of your reply, I will give you full details on how the business will be executed and also note that you will have 40% of the above mentioned sum while 50% will be for me, and the other 10% will be for the expencesoccur in this transaction,

if you agree to handle this business with me. I am expecting your urgent respond.

1.. NAME IN FULL:.................................
2. ADDRESS:.........................................
3. NATIONALITY:....................................
4. AGE:..............................................
5. Sex................................................
6. OCCUPATION:........................................
7. MARITAL STATUS:...................................
8. PHONE.............................................
9. FAX:...............................................

BEST REGARD
MR ANNAMIKK YACUBU,

wiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mtupu ukiona hii!!!!

KANYA BOYA A.K.A WIZI MITANDAONI 1

UKIONA HII KIMBIA, NINA MAANA FUTA EMAIL NA UKAE KIMYAA KAMA HUJAPATA EMAIL VILE, HUU NI WIZI ULIOJAA MITANDAONI HIVI SASA. MWENYE MASIKIO AONE NA MWENYE MACHO ASIKIE. NI HAYO TU KWA LEO

FROM THE DESK OF MR HABU MUSA
AUDITING AND ACCOUNTING MANAGER,
BANK OF AFRICA (B.O.A)
OUAGADOUGOU-BURKINA FASO.

Dear Friend,

I am the manager of auditing and accounting department of BANK OF AFRICA (B.O.A) here in Ouagadougou, Burkina Faso. In my department we discovered an abandoned sum of($14m Million US dollars) in an account that belongs to one of our foreign customer (MR. RICHARD BURSON from Florida,USA) who died along with his entire family on November 1999 in a plane crash. For more information’s about the crash you can visit this site:
http://news.bbc.co.uk/2/hi/americas/502503.stm

Since we got information about his death, we have been expecting his next of kin to come over and claim his money because we can not release it unless some body applies for it as next of kin or relation to the deceased as indicated in our banking gildings and laws but unfortunately we learnt that all his supposed next of kin or relation died alongside with him at the plane crash leaving nobody behind for the claim. It is therefore upon this discovery that I now decided to make this business proposal to you, so that.

The money can be release to you as the next of kin or relation to the deceased for safety and subsequent disbursement since nobody will come for it and we don't want this money to go into the bank treasury as unclaimed dormant fund.

The banking law and gridline here stipulates that if such money remained unclaimed after nine years the money will be transferee into the bank treasury as unclaimed dormant fund. The request of foreigner as next of kin in this business is occasioned by the fact that the customer was a foreigner and a Burkina be like me can not stand as next of kin to a foreigner.

I agreed that 30% of this money will be for you as a respect to the provision of a foreign account, 10% will be set aside for expenses incurred during the business and 60% would be for me. Thereafter, I will visit your country for disbursement according to the percentage indicated Therefore, to enable the immediate transfer of this fund to you arranged, you must apply first to the bank as relation or next of kin to the deceased customer with a text of application that I will send to you, but before I send to you the text of application form, I will like you to send me the following information’s

1.NAME IN FULL:................................
2.ADDRESS:.........................................
3.NATIONALITY:.....................................
4.AGE:.............................................
5.Sex................................................
6.OCCUPATION:........................................
7.MARITAL STATUS:....................................
8.PRIAVTEPHONENO..............................................
9.PRIVATE FANO:.............................................

so i will like you to send to me those information for easy effectivecommunication.Upon receipt of your reply, I will send to you by fax or email the text of the application form. I will not fail to bring to your notice that this transaction is hitch-free and that you should not entertain any atom of fear as all required arrangements have been made for the transfer. You should contact me immediately as soon as you receive this letter, if only you are interested and ready to help.

Trusting to hear from you immediately through my alternative email address:
habu.musa@voila.fr ,And call me 00226 78 05 23 49.

Yours Faithfully,
Mr Habu Musa

Ukiona hiii jua ni kanyaboya, mie nimepata thousands of them WALA HATA USISUMBUKE KUJIBU KAA KIMYA TU HAWA WEZI TU!

15 March, 2010

JOB INTERVIEW MISTAKES

Job interview success in today’s job market has become complex due to different reasons. Depending on time, place/location, organization culture, nature of job, type of interview method used, and many others. Job seekers need to abide to things that would give them better chance of grabbing jobs in this fragile job market of its own kind. Karen Burns has pin pointed at least 50 worst job-interview mistakes which if not observed leads to failure in getting job. The things pointed out includes:-
1. Arriving late.
2. Arriving too early.
3. Lighting up a cigarette, or smelling like a cigarette.
4. Bad-mouthing your last boss.
5. Lying about your skills/experience/knowledge.
6. Wearing the wrong (for this workplace!) clothes.
7. Forgetting the name of the person you're interviewing with.
8. Wearing a ton of perfume or aftershave.
9. Wearing sunglasses.
10. Wearing a Bluetooth earpiece.
11. Failing to research the employer in advance.
12. Failing to demonstrate enthusiasm.
13. Inquiring about benefits too soon.
14. Talking about salary requirements too soon.
15. Being unable to explain how your strengths and abilities apply to the job in question.
16. Failing to make a strong case for why you are the best person for this job.
17. Forgetting to bring a copy of your resume and/or portfolio.
18. Failing to remember what you wrote on your own resume.
19. Asking too many questions.
20. Asking no questions at all.
21. Being unprepared to answer the standard questions.
22. Failing to listen carefully to what the interviewer is saying.
23. Talking more than half the time.
24. Interrupting your interviewer.
25. Neglecting to match the communication style of your interviewer.
26. Yawning.
27. Slouching.
28. Bringing along a friend, or your mother.
29. Chewing gum, tobacco, your pen, your hair.
30. Laughing, giggling, whistling, humming, lip-smacking.
31. Saying "you know," "like," "I guess," and "um."
32. Name-dropping or bragging or sounding like a know-it-all.
33. Asking to use the bathroom.
34. Being falsely or exaggeratedly modest.
35. Shaking hands too weakly, or too firmly.
36. Failing to make eye contact (or making continuous eye contact).
37. Taking a seat before your interviewer does.
38. Becoming angry or defensive.
39. Complaining that you were kept waiting.
40. Complaining about anything!
41. Speaking rudely to the receptionist.
42. Letting your nervousness show.
43. Overexplaining why you lost your last job.
44. Being too familiar and jokey.
45. Sounding desperate.
46. Checking the time.
47. Oversharing.
48. Sounding rehearsed.
49. Leaving your cell phone on.
50. Failing to ask for the job.

Karen Burns is the author of career advice book The Amazing Adventures of Working Girl: Real-Life Career Advice You Can Actually Use, recently released. She also blogs at www.karenburnsworkinggirl.com

Also available @ http://finance.yahoo.com/news/50-Worst-of-the-Worst-and-usnews-3658564314.html?x=0